Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

Yaani nyoka hata kwenye biblia amelaaniwa eti wewe ndio unataka awe rafiki yetu?
 
Yaani bola nikalime Senene huko Bukoba kuliko hawa wadudu.mtoa mada naomba uje na jambo jingine na si hawa Nyoka aisee..khaaaaaaa!
 
View attachment 502154
Kilimo cha nyoka ni moja ya kilimo yenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya "snake venom" ipo juu sana.Sumu ya nyoka inatumika kwa wingi kwenye viwanda vya famasia na viwanda vya vipodozi hivyo thamani ya "snake venom " ipo juu sana kutokana na uhitaji wake.
View attachment 502152
Gram moja ya "snake venom " kwa soko la kimataifa inauzwa $1880 ,na kwenye soko la Afrika kusini inauzwa kwa makadirio ya Rand 25,000

*Kama unafikiria kuanzisha shamba lako la nyoka ,yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kupata faida ya kutosha kutokana na venom wanayozalisha Nyoka

1.zingatia hali ya joto na hewa .
View attachment 502150
Nyoka wanahitaji joto ya kiwango cha 24-29 degrees Celsius nyakati ya siku na 21-24 nyakati za usiku,

2.mabanda na nyumba za nyoka zinahitaji kusafishwa mara kwa Mara

Hali hiyo itasaidia kukuza uzalishaji wa nyoka kwa wingi.Nyoka wanahitaji kuwekwa mahali salama kuzuia matatizo yeyote ile ya kiafya kuwapata.

3.Nyoka kwa kawaida hula panya 3-4 na hulishwa kwa wiki 3-4 .Nyoka hula panya walio hai lakini wanaweza kula waliokufa pia ,Nyoka hupenda kucheza na panya mwanzo kabla ya kuwala hivyo ni vema kuwapatia walio hai.


Faida 3 za ufugaji wa nyoka

1.uzalishaji wa venom ambayo ukiuza unapata kiasi kikubwa cha pesa.

2.hupunguza na kutokomeza wadudu waharibifu kama panya nk.Nyoka chakula chao kikuu ni panya hivyo husaidia kutusafishia shamba au nyumba kwa kuwamaliza wadudu hawa.

Dawa ya kuua sumu ya nyoka itengenezwayo kutoka kwa sumu ya nyoka, yaani anti-venom, ndiyo tiba bora pekee ya kuumwa na nyoka.
View attachment 502151
**Mwisho nawashauri ndugu zangu sio kila tukiwaona nyoka tunawaua ,nyoka ni rafiki zetu na sio maadui.Tuwatumie ipasavyo watatusaidia sana.

Mhhhh kama mambo ni hivi kwaheri utajiri
 
Npo tear kufa masikini
Nyoka sifugi
Endelea kufa masikini choice yako

Ndio maana wazungu wamepiga hatua kubwa kimaendeleo na kisayansi sababu they take risk na risk takers huwa hawafeli either wafanikiwe au wajifunze na wapate uzoefu
 
NATAKA KUWA TAJIRI HILI NI SWALI LIKO KWA VICHWA VYA WENGI LAKINI HUU NI UHAKIKA

NAITWA DR, MDIRO namba 0746223645. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU UTAJIRI NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) NIPIGIE 0746223645. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.(TAFADHALI PIGA SIMU UKIWA NA NIA YA DHATI)
 
Hawa wata ndo wanafanya watu wasiamini kwenye kilimo
 
Hii ni laana ya kutawaliwa na ccm, Mungu mwenyewe alishasema naweka uadui kati yao uzao wako na uzao wa nyoka, ww unatuaminisha si maadui, aiseeee acha ujinga na upotoshaji pia uachega uongo
 
NATAKA KUWA TAJIRI HILI NI SWALI LIKO KWA VICHWA VYA WENGI LAKINI HUU NI UHAKIKA

NAITWA DR, MDIRO namba 0746223645. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU UTAJIRI NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) NIPIGIE 0746223645. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.(TAFADHALI PIGA SIMU UKIWA NA NIA YA DHATI)
Hizo pesa wewe huzitaki?
 
NATAKA KUWA TAJIRI HILI NI SWALI LIKO KWA VICHWA VYA WENGI LAKINI HUU NI UHAKIKA

NAITWA DR, MDIRO namba 0746223645. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU UTAJIRI NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) NIPIGIE 0746223645. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.(TAFADHALI PIGA SIMU UKIWA NA NIA YA DHATI)
Tapeli kama matapeli wengine?
Ukoo wako mzima mbona hujawatajirisha mpka utufuate huku JF
 
Marehemu aliendekeza uzungu mwingi, akagongwa na nyoka akafa!
 
Back
Top Bottom