Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

Bei ya sumu hutofautiana kulingana na nyoka.mfano

1.Gram ya puff adder venom ni $202

2.Boomslang bei yake ipo juu kuliko nyoka yeyote yule $4800

3.koboko $500

Hivyo bei ya venom hutofautiana na aina ya nyoka,sasa kazi ni wewe kupata license na kuchagua aina ya nyoka unaowahitaji au kuona watakuletea faida kubwa.

Aidha kuhusu namna ya kutoa sumu ,nyoka hukamatwa kwa ustadi kupitia kifaa special ,fimbo special yenye kibanio na pia nyingine iliyochepuka ambayo husaidia kumbana nyoka shingoni karibu na kichwa ,ukishamkamata nyoka kichwa hatua inayofuata ni kutafuta chombo special cha kuwekea sumu hiyo.mfano umechukua bakuli dogo,au chombo chochote kile unafunga plastic juu yake kama vile mfuniko huku ukiwa umemshika nyoka kichwa na wakati huo mdomo wa nyoka utakuwa wazi usiokuwa na madhara kwako wewe kisha unamuinamisha kwenye chombo husika na fangs za nyoka zitagonga au kuchoma plastic uliyoiweka juu na kumwaga sumu ndani,njia zipo nyingi tu





Soko ya venom ipo USA ,India ,China ,S.Africa

Lakini wengi hupeleka China sababu huko wengi ndio wanahitaji kwa wingi.

Unapeleka na ufuate utaratibu na sheria mfano December 2016 India waliwakamata smugglers 5 waliokuwa na venom yenye thamani ya $30Million ,walikuwa wanasafirisha kimagendo na walikuwa wanawauzia druglords ambao pia hutumia venom kutengenezea drugs


 
Hii miaka mitano ikipita tutaona maajabu kila sekta
 
mkuu ninapoishi wapo wengi hadi natamani lukimbia mji.Kwakunisaidia weka kapicha jinsi unavyo wahudumia
 
nitajaribu bahati yangu hapo.. maana kila biashara ninayoanzisha inabuma "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…