Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

Watu awamu ya tano imewavuruga vya kutosha, soon mtaanza kufuga majini ya kuuza
 
Mhmm kumbe uongozi wa magufuli utapelekea kweli watu kuwa wabunifu tutafupa mpaka siafu mwaka huu
Hahahaaaaa naomba mkuru akaze Kabisa kamba watu tuanzishe hadi kilimo cha kunguni
 
Max kuanzisha jf unatuletea balaa, samahani mleta mada wenzio tupo kwa anko magu we baki hukohuko china kwa hu ji ntao
 
Safi sana, kwa hii rangi tutafahamu mambo mengi mazuri yatakayo tupa jina katika nyanja mbali mbali
 
Mkuu mbona hujatutajia pia HASARA ya kufuga nyoka? Hasara kubwa ya kufuga nyoka ni kwamba nyoka mwenye sumu anaweza kukugonga wewe mmiliki, shamba boy wa shamba lako nyoka au mtu yeyote atakayekutana naye (mtoto wako, mama yako, mke/mume wako, nk) na kupoteza maisha ndani ya dakika 5 tu hata kabla hujapatiwa huduma ya kwanza au kufikishwa hospitalini. Kwa hiyo, nyoka ni kiumbe hatari sana...ukimuona popote muue na kumtupia mbali kabisa.
 



mkuu nimekua nikipata mafunzo mbali mbali juu yA hii mifugo at the end of this year nitakua mekamilisha taratibu zote na mifugo itakua mabandani
 
Huu mradi ni mtihani. Ni kama kumkamua simba wa porini maziwa
 
Ahsante kwa wazo la fursa lakini HAPANA!! Si kheri ungeniambia nifuge akina Faru John... nyoka?! Hapana aisee!!!!

Navuta picha siku limetokea janga lolote lile kisha nyoka wote haoooooo; nje ya banda!!!!
 
Kama naanza kukuelewa, nimegundua hata tatizo la mboga nyumbani litaisha!
 
Uzi wa kipekee kbs huu..
Dondoo ulizotoa ni nzuri na zinatia Hamasa ya kufanya hki kilimo..
Sema Hujasema pengine mtaji wa Kuanzia ni km kiasi gani hv?..
Na Hli suala linahitaji UJASIRI SIO KIDOGO, Ukizingatia wengi hatujakuzwa ktk mazingira ya kuwachukulia nyoka km RAFIKI na sio MAADUI
hvyo akili zishakua nA hali ya TAHARUKI juu ya hawa VIUMBE
Na yapaswa kufunDishwa kabisa kwa muDa Mrefu sio kitoto
[HASHTAG]#Thanx[/HASHTAG]
 
Mie babu yangu anafugaga majini mpaka sasa yanafika majini 7860 je tunaweza kupata mteja tufanye nae biashara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…