Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Kwa hali hii watu tutaacha kupata magonjwa ya tumbo, kuhara au hata kipindupindu?
Uongozi wa Soko hauoni hii hali na kushughulikia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh mkuu upo ndotoni ama mie ndio nimelala??Amos Gabriel Makala, huu mkoa umekushida mapema sana. Dar es Salaam imekuwa ya hovyo sana. Hebu angalia soko la Ilala ofisi zako metre 50 toka lilipo soko. Nina imani halufu mbaya inayo toka pale inaingia kwenye ofisi zenu. No wonder Ndiyo maana wakati wote mmefunga madirisha yenu. Mh Makala amka, Tembelea jiji uone shida zetu.
Hii ndio tafsiri halisi ya watanzania wengi hawawezi kujisimamia pasipo kushurutishwa.View attachment 3006650View attachment 3006651View attachment 3006652Hali halisi ya Mtaani wa Msimbazi B Kariakoo
Kwa hali hii watu tutaacha kupata magonjwa ya tumbo, kuhara au hata kipindupindu?
Uongozi wa Soko hauoni hii hali na kushughulikia?
Hiyo ndio daisalaama ya chalamala sijawahi fika!View attachment 3006650View attachment 3006651View attachment 3006652Hali halisi ya Mtaani wa Msimbazi B Kariakoo
Kwa hali hii watu tutaacha kupata magonjwa ya tumbo, kuhara au hata kipindupindu?
Uongozi wa Soko hauoni hii hali na kushughulikia?
Ulikuwa jela au ulikuwa kwenye coma sasa ndio unazinduka!Amos Gabriel Makala, huu mkoa umekushida mapema sana. Dar es Salaam imekuwa ya hovyo sana. Hebu angalia soko la Ilala ofisi zako metre 50 toka lilipo soko. Nina imani halufu mbaya inayo toka pale inaingia kwenye ofisi zenu. No wonder Ndiyo maana wakati wote mmefunga madirisha yenu. Mh Makala amka, Tembelea jiji uone shida zetu.
Ndg unaandika kwa uchungu kweli ila sasa haujui hata RC wa Dar ni naniAmos Gabriel Makala, huu mkoa umekushida mapema sana. Dar es Salaam imekuwa ya hovyo sana. Hebu angalia soko la Ilala ofisi zako metre 50 toka lilipo soko. Nina imani halufu mbaya inayo toka pale inaingia kwenye ofisi zenu. No wonder Ndiyo maana wakati wote mmefunga madirisha yenu. Mh Makala amka, Tembelea jiji uone shida zetu.
Ndugu yangu matatizo ya Dar ni mengi mno yametupasua vichwa. Ni nani mkuu wa mkoa?...... Ahaa Albert Chalamila. Ana maneno meeengi sana huyu vitendo vidogoNdg unaandika kwa uchungu kweli ila sasa haujui hata RC wa Dar ni nani
DAR ni pasua kichwa.... Ni ChalamilaDuuh mkuu upo ndotoni ama mie ndio nimelala??
Makala si ni katibu wa itikadi na uenezi huko CCM kwa sasa?
Na Albert Chalamila kawa nani kwa sasa huko Dar es salaam?