Takriban vijana 700,000 wameikimbia Urusi hawataki kupelekwa kwenye vita

Takriban vijana 700,000 wameikimbia Urusi hawataki kupelekwa kwenye vita

'
20230119_083609.jpg
 
Atahama tu ni suala la muda

Hehehe yaani nikikumbuka nyuzi zilivyokua zinarindima siku ya kwanza ya haka ka-operation, jameni mpaka nikajua kiama cha Ukraine kimefika, halafu nione mnavyoandika mwaka mmoja baadaye mkiwa wanyonge kihivi nacheka sana
 
Hehehe yaani nikikumbuka nyuzi zilivyokua zinarindima siku ya kwanza ya haka ka-operation, jameni mpaka nikajua kiama cha Ukraine kimefika, halafu nione mnavyoandika mwaka mmoja baadaye mkiwa wanyonge kihivi nacheka sana
Msaidizi wa Zele kaachia ngazi huko
 
Putin anaendelea kuachiwa apambane na hali yake, wanaume, wengi wao wakiwa vijana barubaru wameikimbia nchi..... Maana hawaoni tija ya kuburuzwa kwenda kupigana na jirani ambaye hana uadui na wewe....

Young Russians refusing to fight in Ukraine have been fleeing to Istanbul since Moscow announced its partial military mobilization.
Almost a year ago, Russian President Vladimir Putin's forces invaded Ukraine. Veniamin remembers February 24, 2022, like it was yesterday.

"It was a big shock. The worst thing that could happen had happened. I was paralyzed."

The 28-year-old says he never thought war could break out despite increasing political tensions and repression. After that morning, when he woke up to videos of Russian missile attacks shared on group chats, nothing was the same.

Just like his classmate Alexander, another later date would also change Veniamin's life forever: September 21, 2022. That was the day Russia declared its partial military mobilization.

We are having Turkish tea in a shopping mall in downtown Istanbul with Veniamin and Alexander. The two young men studied political science at the Higher School of Economics in Moscow, one of the top universities in Russia. They are among the roughly 700,000 people who have fled the country since the mobilization according to Kremlin sources cited by Forbes Russia.

Before coming to Turkey in October, Veniamin was working in the eSports market whereas Alexander had a job in a big energy company.
Habari za Urusi siyo saizi yako, zimekuzidi sana. Nakushauri tu kapambanie kombe pale Migingo Island kabla Gen. Muhozi Kainerugaba hajakiwasha mpaka Nairobi.
 
Propaganda as usual
Kaka bubuji kwahiyo hakuna raia wa urusi waliokimbia kuogopa kuandikishwa jeshini???????Na siku ile rais putin anatoa hotuba kwenye telwvisheni ya taifa na kusaini huu mswada ulipata nafasi ya kutazama RT??????Sio kila kitu propaganda kuna mengine ni ukweli na kuna mengine ni uongo na propaganda!!!!Lakini hili ni ukweli madogo wengi wamevuka mpaka nakukimbilia Georgia!!!
 
Habari za Urusi siyo saizi yako, zimekuzidi sana. Nakushauri tu kapambanie kombe pale Migingo Island kabla Gen. Muhozi Kainerugaba hajakiwasha mpaka Nairobi.
Muhozi a.k.a mtoto wa mama🤣🤣🤣🤣Nasikia kuna wakora pale dandora walimpiga na ndio maana ana machungu na wakenya
 
Kaka bubuji kwahiyo hakuna raia wa urusi waliokimbia kuogopa kuandikishwa jeshini???????Na siku ile rais putin anatoa hotuba kwenye telwvisheni ya taifa na kusaini huu mswada ulipata nafasi ya kutazama RT??????Sio kila kitu propaganda kuna mengine ni ukweli na kuna mengine ni uongo na propaganda!!!!Lakini hili ni ukweli madogo wengi wamevuka mpaka nakukimbilia Georgia!!!
Kukimbia nchi ni kitu cha kawaida kabisa nchi zinapokuwa vitani. Hata Mohamed Ali alikataa kujiunga na jeshi la USA 🇺🇸 kipindi cha vita ya Vietnam 🇻🇳
 
Kukimbia nchi ni kitu cha kawaida kabisa nchi zinapokuwa vitani. Hata Mohamed Ali alikataa kujiunga na jeshi la USA 🇺🇸 kipindi cha vita ya Vietnam 🇻🇳

Hehehe pro-Russia mumeanza kukiri nchi iko vitani, sio special operation tena, maana kawaida kwenye special operation raia huwa hawakusanywi mitaani.
 
Kukimbia nchi ni kitu cha kawaida kabisa nchi zinapokuwa vitani. Hata Mohamed Ali alikataa kujiunga na jeshi la USA 🇺🇸 kipindi cha vita ya Vietnam 🇻🇳
Sasa hii habari ni kweli kaka sio propaganda!!!!!Japokua hatuwapendi wamagharibi na vombo vyao vya habari katika mengi!!!!Lakini sio kila kitu(Habari) ni propaganda msomi
 
Back
Top Bottom