Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,593
- 8,595
Umekurupuka mzee Kuna sababu nyingi na Hali nyingi.... Ushawahi jiuliza Kama ni mfanya kazi yupo kikazi mikoani huko vijijini kaamua kuomba likizo ili aje apunge hewa huko unako ishi Kama ni mjini lkn Sasa hapo kosa lake Nini......?Nikiwa kama kichwa cha familia, nyumbani kwangu ni sheria zangu, na linapokuja swala la sheria kwa wageni huwa zimekazwa mno kwa wageni wa kiume ambao ni miaka 28+ maaana hawa tayari ni wanauume na asili yetu ni kupambana ili kujitegemea......changamoto za kimaisha na harakati za kiupambanaji wakati mwingine zinapelekea kujikwaa lakini ni mwiko kukata tamaa kusimama kwenye asili yetu huku mipango na malengo vinabakia vichwani mwetu.
Au Kama ni mkulima kalima zake huko kamaliza kulima Hadi kavuna Sasa mazao yapo ghalani na huko bush watu wakisha vuna ndio wanaingia likizo na kutafuta sehemu za kwenda kupata upepo na wengi wao wanakimbilia dar kusubiri msimu mwingine wa kilimo Sasa hapo kosa lake Nini......?
Au viugali anavyo kula hapo vinakuuma .....?