Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2]umenikumbusha mbali sana mkuu hii comment yako,by the way hata Mimi sometimes nikitaka nimchane live mtu ninaemheshimu huwa namnywea za kutosha halafu namchana mbaya ,kesho huyoo mwenyewe anasepaMnywee pombe then mchane asepe
Eti baraka 😀😀waafrika na fikra za ajabuKawaida iyo unakuta mtu kapigika baraka iyo muulize zaid
Na ndo inatakiwa ivoo..mtu umekuja c kwamba unasoma au kuna issue serious imekuleta...unakuja na kukaa kwa mme wa dada yako wk nzimaa..sion kama ni ustaarabu...hii nmeiona sanaa usukumanKUNA JAMAA MMOJA WA KIPARE NAMJUA
KWAKE MLANGONI KUNA TANGAZO KABISA
KUHUSU NDG,WAGENI WAKIJA
KATIKA MAKAUZU HUYO NI KAUZU
AISE😂😂
ova
Haya mambo uchagani huwez yakutaa..japo wengi watasema ni uchoyo ila ni tabia ilijijenga tuExtended family inatutesa sana Africa, ndiyo maana hatuendelei maana akitoka huyo atakuja Shangazi then Mjomba
Ewaaa kwako ni wapi nije kutembelea huko nikae miez hat 6 nirepee afya hii na huu ukata wa maishaWiki mbili mbona chache sana, mpe miezi mitatu bwana abadilishe upepo. Mgeni ni baraka, hakikisha anapata maandazi na mkate wenye blueband.
Wapare wachoyo sana, hata akiwa na vingi yaani hadi akupe anaumia kama anakata roho
Mkuu tafuta fremu mjini hapo ulipo anzisha kibanda/duka au tafuta laini za uwakala M-Pesa, tigo pesa & Airtel Money siku hizi ni masaa 2 tu kutengeneza laini za uwakala ukiwa na documents zote weka vitu sawa i mean mtaji na mkabidhi awe busy na ofisi, kama unajiweza zaidi mpangishie na chumba kabisa hata cha 20k-30k aanze maisha..Ni takribani wiki 2 zilizopitata nilipata ugeni wa kaka yake mke wangu na tulimpokea vizuri tu.
Alifika mida ya saa 2 bila taarifa na niwe muwazi kwamba hata mgao wa chakula ulivurugika.
Usiku ule ule tukiwa chumbani nilikuwa namhoji wife kwanini ndugu yake kaja bila taarifa ila nikapotezea nikijua labda atakaa siku 2 au 3.
Kuna vyumba vya wageni vimejitenga na nyumba kuu ndiko tulipompa hifadhi, na choo / bafu ni humo humo.
Sasa ni takribani wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye akitafuta hata shughuli, yani yupo tu.
Wife akimuuliza hali, yeye anasema kaja kutusalimia na binafsi sina tatizo na hilo bali huyu ni mtu mzima ambaye pengine ilibidi awe anafanya shughuli za kumuingizia kipato.
Mwanaume mlaze chumba cha watoto wa kiume na mke wake mlaze chumba cha watoto wa kike wawe wanakutana sebuleni tu na muda wa kula, wala hawawezi kukaa muda mrefu wataondoka.
Nyumba mkiishi family kubwa inachangamka sana,wengine tushazoea kupokea wageni. Maana wengine siyo ndugu lakini huko kijijini wanaambizana ukienda mjini kutafuta maisha kafikie kwa mama fulani,,,hivyo yaani amani tupu[emoji120],We jamaa ungekua ndo mzee wangu mbona ungekufa kama sio kuzirai kabisa,
Nakumbuka mwaka 2009 kipindi tupo shy town mzee alikuwa ni askari na familia yetu kiujumla ilikuwa na watu takribani 7 hvi mara akaja babu yetu na familia yake ya watu 6 kukaa home hapo hapo wazazi wa mke mdogo na mzee nao wakatia timu wakiwa na watoto wao wa2 haya kama haitosh kina binamu watoto wa shangazi nao hawa hapa wa 2 lets calculate 7+6+4+2=19 na mtu anaelisha familia ni mmoja tu broh ungekuwa wewe ungekufaga mazima na iliwachukua takribani miezi zaidi ya miwili mpaka kuja kuondoka.
HaaahEti baraka 😀😀waafrika na fikra za ajabu