Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza anauhakika kama ni kaka wa mkewe kweli,maana inawezekana kuwa ni mpenzi wake wa zamani huko kijijini kamuita aje mjini wakumbushie.Si unajua wanawake akili zao zilivyo.Dah aiseh,wengine wanaweza dhani ni uchoyo,taarifa muhimu
Kwanza anauhakika kama ni kaka wa mkewe kweli,maana inawezekana kuwa ni mpenzi wake wa zamani huko kijijini kamuita aje mjini wakumbushie.Si unajua wanawake akili zao zilivyo.
Hata Mimi Nimeshangaa Sana.Nini shida Bro.
Jambo dogo hili mpaka uje umseme mke wako mitandaoni?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]shemeji mkubwa ni baba mkweSi ni ndugu wa Mke wako? Maisha yetu Watz ni kwenye Lindi la umasikini hivyo mvumilie na ukiweza mchukue sehemu muongee kiume. Huyu unayetaka arudi alikotoka ndio alimlinda mke wako asiwe KAHABA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wiki mbili mbona chache sana, mpe miezi mitatu bwana abadilishe upepo. Mgeni ni baraka, hakikisha anapata maandazi na mkate wenye blueband.
Akili hiiToka out na shemeji yako mkapige story mbili tatu jaribu kumdodosa utamuelewa tu...
Kama issue ni kupigika, kama una uwezo muwezeshe apate cha kufanya then mtafutie chumba uswazi kodi ya 30k mlipie 6 month achana naye...
Sana, na kukaa na ndg huondoa uhuru wa familiaDah aiseh,wengine wanaweza dhani ni uchoyo,taarifa muhimu
Phaller wewe, nimecheka sana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wiki mbili mbona chache sana, mpe miezi mitatu bwana abadilishe upepo. Mgeni ni baraka, hakikisha anapata maandazi na mkate wenye blueband.
Dunia ya sasa upendo umekwisha.Mimi napenda Sana wageni.Afu ndugu hawatumiagi akili,maisha ya sasa si ya kuganda kwa MTU muda wote huo afu utashangaa alikuja bila hata taarifa.Kwa kias fulan pia wanachangia kuvuruga amani ya ndoa za watu.Si wanandoa wote wanaweza stahimili kuishi na MTU nje ya wanaomhusu kweli tena kwa muda mrefu