Takriban wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye kutafuta hata shughuli, yaani yupo tu

Umekurupuka mzee Kuna sababu nyingi na Hali nyingi.... Ushawahi jiuliza Kama ni mfanya kazi yupo kikazi mikoani huko vijijini kaamua kuomba likizo ili aje apunge hewa huko unako ishi Kama ni mjini lkn Sasa hapo kosa lake Nini......?

Au Kama ni mkulima kalima zake huko kamaliza kulima Hadi kavuna Sasa mazao yapo ghalani na huko bush watu wakisha vuna ndio wanaingia likizo na kutafuta sehemu za kwenda kupata upepo na wengi wao wanakimbilia dar kusubiri msimu mwingine wa kilimo Sasa hapo kosa lake Nini......?

Au viugali anavyo kula hapo vinakuuma .....?
 
Duuh
 
Cha Kwanza tafuta uhakika kuwa ni shemeji yako wa kweli ama umehifadhi x WA mkeo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pili ongea nae kiuchunguzi kama ni shemeji yako je, atokako ni heri? Maana ujio wa ghafla bila taarifa ni kama mtu amekimbia tukio.

Ikiwa ni mtu amekuja kwa amani na ni mtu mwema ok,mtoe out ongea nae kiume, usikie ratiba zake kama anaonekana hana mipango yoyote ya kuondoka sawa,mtumie kwa faida yako
Inategemea uko wapi unaweza mfyatulisha matofali na kuchoma then kuyauza, ama kwa mjini kanunue viatu vya mtumba mpe akauze aakazungushe, kwa kutembeza ama kumwaga chino mahali fulani,kuanzia Mchana mpk saa 4 usiku
Kama akikomaa miezi sita mtafutie chumba mlipie kianzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…