TAKUKURU haiwezi na haina mamlaka ya kubambikizia mtu kesi

TAKUKURU haiwezi na haina mamlaka ya kubambikizia mtu kesi

Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.

Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.

Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.

Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.

Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.

Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.

Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.

Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.

Mimi sijawahi kusikia hata moja.

Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?

Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.

Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.
Unachekesha kweikwei wewe! Kwani kuna sheria iliyokuwa inafuatwa wakati wa serikali ya Jiwe?! Si ni matamko na kubambika kesi basi! Lakini watu wengi wameteseka hivyo hivyo! Na ndio hizo zilizofutwa, mimi ni mhanga wa kesi za aina hiyo!

Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
 
Hizo kesi 147 nimeuliza ziko mahakama ipi, nitajie walau moja tu.
Mtu anaweza kuambiwa kachukua rushwa na anachunguzwa na takukuru na yuko mahabusu bado upelelezi unaendelea, ukikamilika file linaenda kwa DPP ili ipelekwe mahakamani
 
Ndiyo nataka mnisaidie ni kama ipi. Mnasema kuna kesi za nama hiyo kumbe hata moja hamuwezi kuitaja.

Watu wa ajabu kweli nyinyi.

Mtu anaweza kuambiwa kachukua rushwa na anachunguzwa na takukuru na yuko mahabusu bado upelelezi unaendelea, ukikamilika file linaenda kwa DPP ili ipelekwe mahakamani
 
Afadhali wewe naweza kukuelewa kwamba kuna watu waliwekwa huko bila kufuata sheria yoyote japo hunitajii jina la hata mmoja kati ya hao 147.

Unachekesha kweikwei wewe! Kwani kuna sheria iliyokuwa inafuatwa wakati wa serikali ya Jiwe?! Si ni matamko na kubambika kesi basi! Lakini watu wengi wameteseka hivyo hivyo! Na ndio hizo zilizofutwa, mimi ni mhanga wa kesi za aina hiyo!

Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
 
Madhara ya bangi za usiku kuvutia chooni haya.

Kwa ufupi, kipindi cha utawala wa mwendazake "DPP, TAKUKURU, TRAFIC POLICE, WAKUU WA MIKOA/WILAYA, MGAMBO, MAHAKAMA, WANAJESHI, TCRA" zilikua ni branch za TRA kukusanya mapato kwa njia yoyote ile, iwe kudhulumu au kudanganya au kutapeli au kuiba au kubambikiza kwa wananchi.

Hakuna sheria iliokua inafuatwa.
Someni upya
 
Kesi ya ruge na seth ni ngumu,ile chanzo chake ni tume ya bunge
 
Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.

Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.

Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.

Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.

Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.

Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.

Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.

Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.

Mimi sijawahi kusikia hata moja.

Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?

Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.

Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.



Unaongelea sheria kwenye utawala wa dicteta jiwe?
 
Madhara ya bangi za usiku kuvutia chooni haya.

Kwa ufupi, kipindi cha utawala wa mwendazake "DPP, TAKUKURU, TRAFIC POLICE, WAKUU WA MIKOA/WILAYA, MGAMBO, MAHAKAMA, WANAJESHI, TCRA" zilikua ni branch za TRA kukusanya mapato kwa njia yoyote ile, iwe kudhulumu au kudanganya au kutapeli au kuiba au kubambikiza kwa wananchi.

Hakuna sheria iliokua inafuatwa.
Ndiyo maana wanajeshi wakaenda kununua korosho?Hiyo ndiyo kazi yao kweli au kuvamia maduka ya fedha Arusha?
 
Ndiyo nataka mnisaidie ni kama ipi. Mnasema kuna kesi za nama hiyo kumbe hata moja hamuwezi kuitaja.

Watu wa ajabu kweli nyinyi.
Serikali haijazitangaza moja moja imetoa inform of list kuwa zipo 147 Sasa tuzijue ili iweje kwani kesi zote uwa tunaambiwa zinapofunguliwa....hili swali ulitakiwa ulielekeze kwa waziri,mkurugenzi wa takukuru na wote waliopo kwene mfumo wa takukuru wa zilisti sisi tumetajiwa kwa idadi na ni kawaida kwa serikali
 
Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.

Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.

Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.

Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.

Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.

Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.

Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.

Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.

Mimi sijawahi kusikia hata moja.

Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?

Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.

Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.


Mkuu hili swali lingeelekezwa direct kwene mamlaka husika Kama unataka kuzijua kwa tittle hizo kesi maana ni wazi unajua kabisa serikali imezitangaza kwa idadi na sio kwa listing....na tumepokea taarifa ya serikali Kama ilivo
 
Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.

Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.

Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.

Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.

Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.

Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.

Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.

Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.

Mimi sijawahi kusikia hata moja.

Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?

Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.

Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.



Political pressure? Incompetence? What was the reason behind the cases?
 
Nahisi we mleta mada huelewi kes nyingi Takukuru huwa zinapelekwa mahakamani bila idhini ya Dpp hasa zile za kukamatwa na rushwa,lakini pia kesi zote zinazohusiana na polis huwa zinapelekwa moja kwa moja kwa moja mahakamani bila kupitia kwa Dpp na hizo ndio nyingi hubambikia watu kesi za uongo,kesi zinazoenda kwa dpp ni zile ambazo huwa zinahitaji uchunguzi kwanza

Kama huelewi kwamba magereza yamejaa watu wa kubambikiwa kesi za uongo za uhujum uchum na utakatishaji basi we haupo nchi hii labda,utakuwa unaishi sayari ya mars
Hivi unajua mtu anapokamatwa na rushwa, kuna kuwa na mashahidi wangapi wanaokuwepo eneo LA tukio?sasa hapo mtu anabambikiwaje kesi? Yaani ukamatwe kwa rushwa, wachukuliwe mashahidi walioshuhudia zile Pesa ulizokamatwa nazo, zikaguliwe namba, wao wakiona... Wapelekwe wahojiwe watoe maelezo... Then Uje useme umebambikiziwa kesi?

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Hivi unajua mtu anapokamatwa na rushwa, kuna kuwa na mashahidi wangapi wanaokuwepo eneo LA tukio?sasa hapo mtu anabambikiwaje kesi? Yaani ukamatwe kwa rushwa, wachukuliwe mashahidi walioshuhudia zile Pesa ulizokamatwa nazo, zikaguliwe namba, wao wakiona... Wapelekwe wahojiwe watoe maelezo... Then Uje useme umebambikiziwa kesi?

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Ndio hivyo ndugu yangu awam iliyopita walikuwa wanalazimisha kukushikisha rushwa kwa nguvu au kukurushiwa rushwa kwenye gari ilimradi wakubambike kesi ili wapate sifa mbele ya mwendazake!!! Mie nimeshuhudia hayo kwa macho yangu mara hii lakini waliofanyiwa hivyo mahakamani walishinda
 
Na takokukuru wenyewe wanavyopenda media sasa utawaona kila siku mbere ya kamera mara tumekamata huyu,mara yule,mara tumepeleka mahakamani kumbe uongo tu kubambikizia watu kesi
 
Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.

Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.

Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.

Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.

Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.

Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.

Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.

Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.

Mimi sijawahi kusikia hata moja.

Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?

Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.

Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.




Mama Rais wa JMT kasema wamefuta kesi 147 za kubambikia.

Hivi mnatudhania sisi ni mazwazwa eeh?
 
Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.

Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.

Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.

Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.

Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.

Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.

Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.

Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.

Mimi sijawahi kusikia hata moja.

Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?

Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.

Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.


Kwahiyo unashindana na TAKUKURU wenyewe waliosema hayo?
 
Back
Top Bottom