GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Leo nasema (naandika) hapa wazi wazi kabisa kuwa Ligi Kuu ya Tanzania NBC Premier League imeshaharibiwa kwa Rushwa zilizovuka Viwango ambavyo GENTAMYCINE siogopi na sioni Aibu kusema kuwa zimechochewa na Utajiri wa hawa Matajiri Watatu Gharib na GSM yake, Yusuf na Azam yake na Mo na Mohammed Enterprises yake.
TAKUKURU ni kwamba Yanga, Simba na Azam Wanashinda Kuhonga kwa sasa ila kuna Timu Mbili zinafaidika na Kuhonga Kwao huko kwani pamoja na Kuhonga ila wana Timu Imara ila ipo Moja hata kkihonga bado kwa Wachezaji wake wa Kubahatisha na wa Bei Nafuu Matokeo yao huwa ni Kufungwa, Kutoka Sare na Kushinda kama leo.
Sijawataja Wizara chini ya Waziri Mchengerwa (mwana Yanga SC) na Shirikisho la Soka nchini Tanzania kupitia Rais Karia (mwana Simba SC) nikiamini kuwa hawa Wawili hawana Ubavu wa Kukemea kwani nao huwa ni sehemu za Mikakati ya Ushinci kwa hizi Timu zao Kubwa Mbili za Kariakoo.
NBC Premier League imeharibika. Kuna Timu ilipewa Penati ya Uwongo Mwanza, kuna Timu juzi ilizawadiwa Goli la Offside na kuna Timu leo Refa kwa Kuona Matokeo ni 2 kwa 2 na tayari ameshahongwa Pesa akaamua Kuchezesha Mechi kwa dakika 103 badala ya halali 93 (90 za Mchezo na 3 za Nyongeza) mpaka Mhongaji apate Goli lake la Tatu (3) na la Ushinci.
Nimeshawaambia Kazi Kwenu sasa!
Cc: Mwishokambi
TAKUKURU ni kwamba Yanga, Simba na Azam Wanashinda Kuhonga kwa sasa ila kuna Timu Mbili zinafaidika na Kuhonga Kwao huko kwani pamoja na Kuhonga ila wana Timu Imara ila ipo Moja hata kkihonga bado kwa Wachezaji wake wa Kubahatisha na wa Bei Nafuu Matokeo yao huwa ni Kufungwa, Kutoka Sare na Kushinda kama leo.
Sijawataja Wizara chini ya Waziri Mchengerwa (mwana Yanga SC) na Shirikisho la Soka nchini Tanzania kupitia Rais Karia (mwana Simba SC) nikiamini kuwa hawa Wawili hawana Ubavu wa Kukemea kwani nao huwa ni sehemu za Mikakati ya Ushinci kwa hizi Timu zao Kubwa Mbili za Kariakoo.
NBC Premier League imeharibika. Kuna Timu ilipewa Penati ya Uwongo Mwanza, kuna Timu juzi ilizawadiwa Goli la Offside na kuna Timu leo Refa kwa Kuona Matokeo ni 2 kwa 2 na tayari ameshahongwa Pesa akaamua Kuchezesha Mechi kwa dakika 103 badala ya halali 93 (90 za Mchezo na 3 za Nyongeza) mpaka Mhongaji apate Goli lake la Tatu (3) na la Ushinci.
Nimeshawaambia Kazi Kwenu sasa!
Cc: Mwishokambi