FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Wanawake watafute vya kwao, dawa ni hiyoAhaaa siwezi kutetea mwanamke mimi,atafute vyakwake
Ya kubrashia viatu🏃🏃🏃mwingine yupo mahakama ya mwanzo bunda mjini,rushwa kwake ni kama posho;
Siku yakimfika Dada ako au ndugu yako wa karibu wa kike urejee hii kauli yako.Ahaaa siwezi kutetea mwanamke mimi,atafute vyakwake
Dada zangu wapambanaji na mali zao zina majina yao na waume zao zingine hawazijuiSiku yakimfika Dada ako au ndugu yako wa karibu wa kike urejee hii kauli yako.
Wengine wanajiandikia tuu mkuu.Siku yakimfika Dada ako au ndugu yako wa karibu wa kike urejee hii kauli yako.
Ujinga maisha ni duaraAhaaa siwezi kutetea mwanamke mimi,atafute vyakwake
Tafuta mwanasheria au hakimu mwingine tofauti na bwana Rajabu, mwelezee akupe muongozo nini cha kufanya..Naomba nianze kwa kusema mahakama zetu kuna wakati zinajishushia heshima kwa kujitakiaa
Mh Rajabu kuna mtu uliamua kesi yake ya ndoa ambaye anafahamika kwa jina la Agata kuhaga,mwanamke huyu ameendelea kunyanyasika sana na amekuwa akikufuata mara nyingi lakini inaonekana aliekuwa mume wake ANAJIGAMBA kukuhonga fedha ili usimpe haki mtalaka MWENZIE.
Kwenye maamuzi yako uliofanya magari 3bajaji 4pikipiki hakuna hata kimoja alichopata huyo dada .kinacho sikitisha ni kwamba hata viwanja viwili Kati ya 3 ulivyompa navyo ananyang'anywa na mtuhumiwa .kwa mujibu wa mtuhumiwa anakuhonga wewe ili usiisimamie hukumu ulioitoa.
Takukuru & jeshi la polisi Iringa fuatilieni suala hili,maana huyu dada kaachwa na watoto wadogo kwa mwanaume kupata kimada mwingine.
Sasa Kisheria hakimu anahusika vipi na hukumu alishatoa akampa hivyo viwanja?Muda wa kukata rufaa umekwisha kimsingi mwanaume anatumia nguvu kuchukua hata haki aliyopewa na mahakama.
Nipo single namwomba huyo mamaNafikiri Kanuni zipo wazi, kama Mtu hajaridhika na hukumu akate Rufaa kwenda Mahakama ya juu yake, bila shaka hiyo ni Mahakama ya mwanzo hivyo akate Rufaa kwenda Mahakama ya Wilaya.
Sa kwanini asitafute vyake..Siku yakimfika Dada ako au ndugu yako wa karibu wa kike urejee hii kauli yako.
Inasadikika huyu mama mama anaporudi mahakamani anaambiwa amkublie mtalaka mwenzie na wakati hukum haisemi hivyo.na mtuhumiwa amekuwa akimtumia Hakim kama kinga yake.Sasa Kisheria hakimu anahusika vipi na hukumu alishatoa akampa hivyo viwanja?
Kama mwanaume anamnyanga'nya hiyo ni kesi ya Polisi sio hakimu, ni uvamizi kama uvamizi wa mtu mwingine yeyote
Dm kama unaweza kumsaidiaTafuta mwanasheria au hakimu mwingine tofauti na bwana Rajabu, mwelezee akupe muongozo nini cha kufanya..
Nawasilisha..
Hao hawako kifamilia ni tegesha. Ukielewa maana ya ndoa ndio utajua.Dada zangu wapambanaji na mali zao zina majina yao na waume zao zingine hawazijui
Ndoa za siku hizi kuviziana tuHao hawako kifamilia ni tegesha. Ukielewa maana ya ndoa ndio utajua.
HeeeeMleta mada ni mp....bavu kila mwezi laki moja ni kubwa mno tena sana je? umeuliza kuwa hizo mali walichuma wote au huyo mama alikuwa mama wa nyumbani tu.
Ni vizuri umesema inasadikika, mambo ya kusadikika ni umbea usio na ushahidi.Inasadikika huyu mama mama anaporudi mahakamani anaambiwa amkublie mtalaka mwenzie na wakati hukum haisemi hivyo.na mtuhumiwa amekuwa akimtumia Hakim kama kinga yake.