Godman
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 423
- 650
Unajua kuna wakati Wanawake wanazingua sana alafu ndiyo hupata Watetezi wengi sana, ukute huyo Mwanamke ndiyo chanzo cha kuomba taraka na huenda ameshawishika kuomba hiyo taraka kutokana na hizo Mali ili wagawane, kwani Mwanaume akiwa na kimada ndiyo sababu ya Mwanamke kuomba taraka?Kama Haujatidhika na maamuzi ya Uyo Hakimu Kata rufaa sio kupiga kelelee Hata uyo DC awezi batilisha iyo Hukum ispokua Mahakama ya Juu.Sasa kama mama alikua Mama wa Nyumbani ulitaka apewe nini???Nyie ndio mnao tupa wanaume shida na Mahaki yenu hayo.Sasa endeleeni Kupiga keleee JF badala ya kukata rufaa afu muda upite ndo Mtajua ignorance of Law has no excuse