TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada.

TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada.

Wanarukia kashfa za zamani wanaacha za boat...nyumba za serikali....au kashfa za mkaguzi mkuu wa mahesabu kwenye wizara ujenzi....lugumi ana kashfa 3...wizara moja.......EPA na Richmond mbona za zamani kuliko hizo??? Boat ya Bagamoyo ni ya karibuni!!!!!
 
Ni ulaghai tu kama zile ripoti za magwangala (makinikia). Waseme bado wanapika data na siyo eti wanafanya uchunguzi. Hata kesi zake ni za kilagai tu na visasi. Mnaoandamana ili magufuli aongezewe muda lazima ni wagonjwa wa akili. Angalau mliugua kwashiokor na marasmus.
 
Watajua wenyewe na mambo yao. Kwani hivyo vitu ndiyo vimesababisha mzunguko wa pesa kutokuwepo???
 
Soon mtaelewa tu kwanini wakati wa awamu ya 4 kulikuwa na uteuzi mwingi wa Majaji.
Mtajua tu muda si mrefu
 
Ni jambo Jema, sema fukuafukua hizi sidhani kama zitawaacha marais waliopita salama. Bora tungeachana na yaliyopita tukaweke mifumo mipya ikiwa ni pamoja na katiba mpya.
Uzuri tu kuwa hata kama hawatafungwa lakini ukweli utajulikana na wale wakuru walio na kinga wataaibishwa pia nadhani baada ya hapo kutakua na adabu.
 
N
This makes sense; watu ni lazima waogope mali ya umma!

Ni kweli kabisa mali za umma zote zikiwemo zile nyumba zetu zilizouzwa kwa bei ya kutupwa, ile scraper ya kwenda Bagamoyo, zile barabara za ubuyu na vingine vyote vitapaswa kuchunguzwa ili wote tuogope mali za umma.
 
Ni jambo Jema, sema fukuafukua hizi sidhani kama zitawaacha marais waliopita salama. Bora tungeachana na yaliyopita tukaweke mifumo mipya ikiwa ni pamoja na katiba mpya.

Kwanini marais wa zamani tu? Huyu wa sasa wakati hayo yanatendeka alikuwa wapi?
 
Safi sana Tuanzie na Richmond, EPA, Kivuko, Nyumba za selikari, Mikataba ya ujenzi wa bara bara na Lugumi kisha tumalize na Escrow upande wa Simba Trust
 
Makinikia yamewashinda..
Wameanza kutafuta kiki za kutokeaa
Hahahahahaaaaa
 
Mamvi atasalimika kweli?
JK je? Ikiwezekana, Itafika mahali kinga yake itabatilishwa kwa mabadiliko ya katiba na hakuna rangi ataacha kuona! Hapo ndo nitamkubali JPJM! Time will tell!
 
watanua magoli utawajua tu.IPTL ni Rugemalira,angekamatwa chenge ungesema kaonewa dagaa kaachwa Rugemalira,hamjui mtakalo
Umelogwa na chenge unaona chenga maana jamaa ame change!!
 
Kwa speed hii ya ufukuaji wa makaburi simuoni JHMK akipona, japo nafikiri hawa wazee wangeachwa wapumzike tu na namna nzuri ya kuwaacha wapumzike ni kuyaacha makaburi yawe yalivyo!
 
Back
Top Bottom