TAKUKURU mchunguzeni Mkuu wa Wilaya Morogoro, anaitumia ofisi yake vibaya

Napia atenguliwe wakati uchunguzi ukiendelea.
Viongozi wengi wanaiba pesa za umma/wananchi.
Wezi hawakubaliki katika namna yeyote ile.
 
Napia atenguliwe wakati uchunguzi ukiendelea.
Viongozi wengi wanaiba pesa za umma/wananchi.
Wezi hawakubaliki katika namna yeyote ile.

Kwa kweli tuhuma hizi ni nzito na zinaleta taswira mbaya kwa Serikali, ikibidi kupisha uchunguzi itakuwa vizuri zaidi.
 
haya, hapo kimesanuka usemi wa akina mjukuu

WanaJF walianza kunusa hili jambo since day one alipotangaza. Ilionekana ni scheme ya kupiga hela. Inawezekana ni kweli.
 
Ni muhimu TAKUKURU wachunguze madai yote kwa kina. Ni hatari sana mtumishi wa umma kutajwa tajwa kwenye mambo kama haya.
Anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Moja yawez kubwa majungu kama majungu meengine., Pili Kama alikopa hizo fedha mkataba c ilikuwa halmashaur itamrudishia, Kwan Miradi mingapi ambayo halmashaur wanakopa na wanarudisha fedha hizo. Ukwel yeye alibeba dhamana kupitia mshahara wake Ili wamachinga wapate maeneo ya kufanya biashara.

Kulipwa ni Haki yake. Mlipeni achen Janja Janja ya kumchafua.
 
Ni muhimu TAKUKURU wachunguze madai yote kwa kina. Ni hatari sana mtumishi wa umma kutajwa tajwa kwenye mambo kama haya.

Majizi Yapo Ndugu Zangu Kitendo Cha Kutajwa Tu Mwenyekiti Wake Na Chongolo, Shaka Wangemweka Kando Ila Wanaye Tu, Ccm Imeoza Jamani

 

Hayo unayosema sio yake. Yeye alinukuliwa akisema anajitolea mshahara wa uDC na hatarajii malipo. Leo anakuja kudai kwa nguvu na vitisho juu ndio inatia mashaka. Na hajahukumiwa, nimewaomba TAKUKURU wachunguze, hilo lina ubaya gani?
 
Wewe itakuwa nii CHAWA wa Msando.
 
Msando mzee wa deal. Watu hawajui pesa anatoa wapi! Acheni wivu mwacheni DC apige kazi acheni majungu! Kama alitoa pesa zake kusaidia watu sasa akizidai kuna ubaya gani? kwani ye padri!! wamlipe tu.
 
Haikuwa busara kuanzisha mradi ule pale kwenye like Soko Kwa sababu kutokana na hivyo vibanda vya Msando Frem zisizo Ndani ya Soko kuu zimekosa wateja na pia kuongeza msongamano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…