TAKUKURU mchunguzeni Mkuu wa Wilaya Morogoro, anaitumia ofisi yake vibaya

TAKUKURU mchunguzeni Mkuu wa Wilaya Morogoro, anaitumia ofisi yake vibaya

Hayo unayosema sio yake. Yeye alinukuliwa akisema anajitolea mshahara wa uDC na hatarajii malipo. Leo anakuja kudai kwa nguvu na vitisho juu ndio inatia mashaka. Na hajahukumiwa, nimewaomba TAKUKURU wachunguze, hilo lina ubaya gani?

Hakuna cha bure kila siku huwa tunasema humu mpaka tunamnanga Rais kwamba anakopa na kutafuta misaada ajue hakuna cha bure
Sasa nyie mnatala Msando atoe bure ili iweje? Uchumi gani wa kibwege namma hiyo?
Serikali ndo Serikali lakini wananchi wanalipia kupita daraja la Kigamboni, Pantoni za Serikali lakini wananchi wanalipa kuvuka.

Nyie vipi yaani Msando afanye bure baba yenu au nini? Acheni ubwege. Msando ni lawyer hawezi kuwa fala kiasi hicho.

Tuelezane ukweli tu mtu akope 106M akatwe salary kabisa alaf asidai? Mtakiwa mmerogwa nyie.

Alipwe chake kwani machinga siwanafanya biashara wanaingiza hela kwanini yeye ajenge bure?? Uchumi wa kiboya huo haupo duniani hapa
 
Hakuna cha bure kila siku huwa tunasema humu mpaka tunamnanga Rais kwamba anakopa na kutafuta misaada ajue hakuna cha bure
Sasa nyie mnatala Msando atoe bure ili iweje? Uchumi gani wa kibwege namma hiyo?
Serikali ndo Serikali lakini wananchi wanalipia kupita daraja la Kigamboni, Pantoni za Serikali lakini wananchi wanalipa kuvuka.

Nyie vipi yaani Msando afanye bure baba yenu au nini? Acheni ubwege. Msando ni lawyer hawezi kuwa fala kiasi hicho.

Tuelezane ukweli tu mtu akope 106M akatwe salary kabisa alaf asidai? Mtakiwa mmerogwa nyie.

Alipwe chake kwani machinga siwanafanya biashara wanaingiza hela kwanini yeye ajenge bure?? Uchumi wa kiboya huo haupo duniani hapa

Pengine huelewi au umeamua kubishana for the sake of kubishana. Kukopesha ni ruhusa, kwanini hakutumia njia sahihi na kudeclare kuwa ni mkopo?

Yaani aseme anatoa msaada, halafu baadae aanze kudai, utaratibu wa wapi huo?

Yeye alisema ni msaada ndio maana hakuhojiwa kuhusu tender process, leo anadai mpaka malipo ya tender, huoni utapeli hapo?

Think.
 
Wanaomjua vzr jamaa wala hawaumiz akili .....

Ova
 
Hata wazo lenyewe halikuwa sawa kabisa. Vile vibanda vimekuwa uchafu pale sokoni (NB: Uchafu ni kitu kinachokaa mahala pasipo sahihi)
Havijasaidia kwa lolote kabisa.

Kwanza vimehujumu mradi mkubwa wa soko kubwa la chief Kingalu.

Fremu nyingi ziko wazi kwasababu ya hivyo vibanda na wenye frem ndani hawapati wateja kwasababu ya vibanda vinavyolizunguka soko kwa nje

Pili hakuna alichotatua kwa ujenzi wa vile vibanda kwasababu ikifika jioni wafanyabiashara wengine wanamwaga bidhaa zao chini mbele ya hivyo hivyo vibanda sehemu iliyotengwa kwa ajili ya parking

Binafsi naona ile project ya vibanda ingekuwa ya manufaa kama vingejengwa eneo la sabasaba panapofanyika mnada kila jumapili.

Hii ingewalazimisha wafanyabiashara wote wa mitumba kuhamia sabasaba na kulifanya kuwa soko rasmi la kudumu la kila siku kwa wafanyabiashara ndogondogo ikiwemo mitumba kuliko huu utamaduni wa mnada Jumamosi eneo la kikundi na Jumapili kuhamia eneo la sabasaba.

Yaani kwa kifupi sabasaba ingeweza kuwa Kama ilivyo karume kwa Dar es Salam halafu chief Kingalu ingeachwa kuwa Kama ilivyo Kariakoo.

Hatuwezi kuendelea kwa kufanya mambo yale yale kila siku.

Huu utamaduni wa siku za minada uachwe huko vijijini ambapo wananchi wako bize na shughuli za kilimo lakini sio Morogoro mjini. Hii ni kuendelea kudumaza mji.
 
Ukiachana na maneno ya kwenye majukwaa...kwani mikataba inaeleza nini ??
 
Hata wazo lenyewe halikuwa sawa kabisa. Vile vibanda vimekuwa uchafu pale sokoni (NB: Uchafu ni kitu kinachokaa mahala pasipo sahihi)
Havijasaidia kwa lolote kabisa.

Kwanza vimehujumu mradi mkubwa wa soko kubwa la chief Kingalu.

Fremu nyingi ziko wazi kwasababu ya hivyo vibanda na wenye frem ndani hawapati wateja kwasababu ya vibanda vinavyolizunguka soko kwa nje

Pili hakuna alichotatua kwa ujenzi wa vile vibanda kwasababu ikifika jioni wafanyabiashara wengine wanamwaga bidhaa zao chini mbele ya hivyo hivyo vibanda sehemu iliyotengwa kwa ajili ya parking

Binafsi naona ile project ya vibanda ingekuwa ya manufaa kama vingejengwa eneo la sabasaba panapofanyika mnada kila jumapili.

Hii ingewalazimisha wafanyabiashara wote wa mitumba kuhamia sabasaba na kulifanya kuwa soko rasmi la kudumu la kila siku kwa wafanyabiashara ndogondogo ikiwemo mitumba kuliko huu utamaduni wa mnada Jumamosi eneo la kikundi na Jumapili kuhamia eneo la sabasaba.

Yaani kwa kifupi sabasaba ingeweza kuwa Kama ilivyo karume kwa Dar es Salam halafu chief Kingalu ingeachwa kuwa Kama ilivyo Kariakoo.

Hatuwezi kuendelea kwa kufanya mambo yale yale kila siku.

Huu utamaduni wa siku za minada uachwe huko vijijini ambapo wananchi wako bize na shughuli za kilimo lakini sio Morogoro mjini. Hii ni kuendelea kudumaza mji.

Well said
 
Kazi ipo! Sasa alivyokuwa anadai amejitolea mshahara wake kuwaboreshea mazingira wajasiriamali kumbe ilikuwa mbinu tu ya kilaghai
kama kweny kwaya tu kanisani, kuna timing ya kuidaka kolasi.
 
Msando ni kibaka sugu,huko ccm ataiba sana mana kukuta falsafa ya kula urefu wa kamba yako...ulikua ukiacha docs yako ofisini kwake anauza ardhi yako mnaanza kusumbuana kukulipa
[emoji1][emoji1] huyu jamaa tangu enzi za akina Nyaga pale kwa MAWALLA alikua janjajanja sana.
 
Ni muhimu TAKUKURU wachunguze madai yote kwa kina. Ni hatari sana mtumishi wa umma kutajwa tajwa kwenye mambo kama haya.
[emoji1][emoji1] uzuri yeye mwenyewe anamiliki law firm,mtakutana mahakamani.
 
Siku huyu bwana alivyongazwa kuwa Ni mkuu wa wilaya nilishtuka Sana yaani mtu aache dili zake zinazomuingizia mabilioni ya pesa aende kuwa dc ameacha the don na mke mzuri kweli kwenda kuwa dc Tena wa morogoro niliona Kuna kitu kitafanyika mnk huyu jamaa pesa anazo eti Sasa huu udc kwake CYO kitu Ni Kama cheo tu Ila akiki zake zote zipo ktk dili zake za uwakili
[emoji1][emoji1] Wewe ndio unamuona Ni mke mzuri,kamuulize Gigi Money [emoji1][emoji1]
 
Kazi ipo! Sasa alivyokuwa anadai amejitolea mshahara wake kuwaboreshea mazingira wajasiriamali kumbe ilikuwa mbinu tu ya kilaghai
Kiongozi serikalini kujitolea namna ile ilikuwa ni makosa. Ilitosha kumtumbua kwa kitendo kile cha kudai kukarabati miundombinu ya Soko la umma Kwa hela yake ya mfukoni. Serikali inafanya kazi kwa makaratasi ili kuweka kumbukumbu kufuatana na kanuni zilizopo.

Hiyo ziada ya yeye kutumia kujenga miundombinu ya Serikali anatoa wapi wakati pato lake linajulikana? Unawezaje kuchukua mkopo binafsi kujenga miundombinu ya Serikali? Kiongozi asiyetaka kufuata utaratibu wa Serikali huyo hafai, tapeli na mwizi.
 
[emoji1][emoji1] uzuri yeye mwenyewe anamiliki law firm,mtakutana mahakamani.

Kumiliki law firm ndio sababu ya kuvunja sheria na kufanya ulaghai? Unajua hii ishu iko serious sana na pengine ikamgharimu nafasi yake? Umeandika kama ni jambo la mzaha vile
 
Kazi ipo! Sasa alivyokuwa anadai amejitolea mshahara wake kuwaboreshea mazingira wajasiriamali kumbe ilikuwa mbinu tu ya kilaghai
Mbona unaleta hoja halafu ni wewe huyo huyo unajibu na kutetea hoja? Nina mashaka na wewe utakuwa umetumwa.

Sisi wanyonge ametundea makubwa na tunamshukuru mno. Endelea kuhongwa na wanasiasa wanaohofia ubunge wao
Niliwahi kusikia pia kuwa hakuwa mwaminifu kwenye masuala ya fedha. Leo yanapoibuka haya basi yasipuuzwe. Vibanda zaidi ya 500 ni vingi sana kama kiongozi atavitumia kwa maslahi yake binafsi. Suala hili lazima lifanyiwe kazi haraka.
 
Kiongozi serikalini kujitolea namna ile ilikuwa ni makosa. Ilitosha kumtumbua kwa kitendo kile cha kudai kukarabati miundombinu ya Soko la umma Kwa hela yake ya mfukoni. Serikali inafanya kazi kwa makaratasi ili kuweka kumbukumbu kufuatana na kanuni zilizopo.

Hiyo ziada ya yeye kutumia kujenga miundombinu ya Serikali anatoa wapi wakati pato lake linajulikana? Unawezaje kuchukua mkopo binafsi kujenga miundombinu ya Serikali? Kiongozi asiyetaka kufuata utaratibu wa Serikali huyo hafai, tapeli na mwizi.

Wewe umeelewa vema sana sababu ya kupigia kelele na kuitaka Takukuru kuingilia kati. Alichokifanya DC hakikubaliki hata katika misingi ya utawala bora. Ni hatari sana mwakilishi wa Rais kwa ngazi ya wilaya kuwa tapeli tapeli.
 
Back
Top Bottom