Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Hayo unayosema sio yake. Yeye alinukuliwa akisema anajitolea mshahara wa uDC na hatarajii malipo. Leo anakuja kudai kwa nguvu na vitisho juu ndio inatia mashaka. Na hajahukumiwa, nimewaomba TAKUKURU wachunguze, hilo lina ubaya gani?
Hakuna cha bure kila siku huwa tunasema humu mpaka tunamnanga Rais kwamba anakopa na kutafuta misaada ajue hakuna cha bure
Sasa nyie mnatala Msando atoe bure ili iweje? Uchumi gani wa kibwege namma hiyo?
Serikali ndo Serikali lakini wananchi wanalipia kupita daraja la Kigamboni, Pantoni za Serikali lakini wananchi wanalipa kuvuka.
Nyie vipi yaani Msando afanye bure baba yenu au nini? Acheni ubwege. Msando ni lawyer hawezi kuwa fala kiasi hicho.
Tuelezane ukweli tu mtu akope 106M akatwe salary kabisa alaf asidai? Mtakiwa mmerogwa nyie.
Alipwe chake kwani machinga siwanafanya biashara wanaingiza hela kwanini yeye ajenge bure?? Uchumi wa kiboya huo haupo duniani hapa