Huyu ni wivu tu.Hii inaitwa second hand information, umeambiwa na ww unatuambia, swali, Takukuru wakikuambia uthibitishe hii taarifa upo tayari ?? Takukuru wanafanya kazi scientifically , mtoa taarifa ndie anaeithibitishia, upo tayari ?
Sasa kwenye taasisi mmeanza leo kuyasikia hayoo? Na je kwani Dr siyupo chini ya bodi ya wakurugenzi? Mbona msilaum bodi nzima?. Tulizeni mshono kama hamna viwango kuleni hicho mlichojariwa na muumba## wambili havai 1.Hiyo ni taasisi
Ha ha ha ha waulize na wewe
Angempata hixo sehem adingeongea hayo atakuwa alimpata baaHuyu ni wivu tu.
Kwani kuna sheria inazuia mtu kufanya kazi na mke au mpenzi wake,?
Yeye mke wake au mume wake kampata wapi? Kama sio shule,chuo au mahala pa kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata nimeshangaa Sana yatu watu Wana mavyeti makubwa na mavyeo makubwa halafu mshahara haufiki hata 3.0m dah nimechoka kabisa.Dah Maisha haya, una degree na CPA mshahara 2.8mil.. Itafika mahali vijana hawata ona umuhimu wa kusoma tena..
Jiweke katika nafasi ya aliyetajwa hapo kwenye uzi, utajisikiaje unakuta mtu kakuandika hafu anelekeza mamlaka zikushughulikie kwanini ameshindwa kuwaandikia huko direct.
Sent using Pole yako
Mlama ni wapi tena mkuu
AIseeeeeeeeeeeee Phd ,Experience 18 yrs ,Salary < 2.8m??
Mi nadhani ungepeleka ushahidi Takukuru kuliko kuandika humu ni kuzalilishana tu nachokiona, msigeuze JF ionekane kama ni kijiwe cha mtu kuandika mabaya na kutaja Majina ya watu tuwe tunapeleka hayo mambo idara husika.
Sawa mkuu ila kwa kifupi serikalini hakuna mishahara mikubwa ya kuanzia ni sehemu chache sana ndo zina mishahara mikubwa...Binafsi mkuu sio serikalini.
Baada ya kuuliza kumbe anajuana na BOSS.Alijua namna ya kujieleza na msimamo wakudai malipo maana wengine ukiulizwa anadhani mshahara utahitaji kiasi gani unasema wowote! Hafu mnabaki kuchungulia na kufungua salary slip za wenzenu nakuanza kupika majungu km haya ooh anatoka na bosi ooh mweupe oooh anainyeee ooh ananyodo. Kama kunawakati muhimu ktk kazi nikujua masrahi yako be4 na kujiamini kudai kile unachoamini kitakufanya uipende kazi yako. Nyie mnaopiga kelele mliliwa siku yakuulizwa mshahara wengine hata hawaulizi anadubiri mwisho wa mwezi .ndo kundi hili lawapika majungu.
Hao hamna kitu. Majungu tuNyie wote niwalewale mnajitekenya wenywe na kucheka wenyewe.
Hapo UCC wamejaa Ishomile na huyu MD wao ni Mangi, nakuambia huyo mama lazima ataondoka tu.
Ishomile na ma -PHD wanalipwa < 2.8 ni bora nikalime zangu au nikaweke kijiwe cha kahawa pale Posta au nje ya Bunge Dodoma.
Engineer soma hiyooo
Hii si bora akalime tu, au akaanzishe coffee shop town?mbona kuna mkuu wa idara ambaye ana PhD na yuko kwenye senior position kwa zaidi ya miaka 18 kama mkuu wa idara, lakini mshahara wake hauzidi milioni 2.8.
Hapa ndio mahai pake. Kama na wewe unafaidika namna moja au nyingine jipange mambo yameanza kiharibika.Mi nadhani ungepeleka ushahidi Takukuru kuliko kuandika humu ni kuzalilishana tu nachokiona, msigeuze JF ionekane kama ni kijiwe cha mtu kuandika mabaya na kutaja Majina ya watu tuwe tunapeleka hayo mambo idara husika.