Hawa jamaa wanaitwa SINOHYDRO ni Wala rushwa balaaa, Sasa viongozi wengi Sana wakifika wanapewa Chao wanaishia kupiga mkwara fake na kuondoka, mnakumbuka Yule DC Gondwe? Alienda akapiga mkwara Yule mbongo akawa anacheka TU?
Ujenzi wowote nchini ulio chini ya SINOHYDRO au STECOL (NDIO Huyo huyo SINOHYDRO) ni mibovu balaaa na hawajawahi kumaliza on time.
Wana kashfa za kuwanyanyasa wafanyakazi Sana na wale jamaa wa TAMICO hawana Cha kufanya.
Huu mradi wa BRT waliwahi kupata kashfa ya kutumia lami ambayo source yake ilikua nchi ambayo imewekewa vikwazo.
Na NDIO hawa hawa wamepewa SGR bila kutumia utaratibu wa manunuzi, yaani single source, Kuna siku Tanzania itaomboleza wallah.