Shida siyo CCM muwe mnaelewa, shughulika na walio nyuma ya ccm, hivi ccm ndio huwa wanavuruga uchaguzi? Ukitaka kuondoa tatizo deal na chanzo cha tatizo usipoteze muda kushughulikia matokeo ya tatizo..ccm ni matokeo ya tatizo si chanzo cha tatizo.Shida ni hapo kwenye kuitoa CCM.
Hii tabia ya kubebana bila kuangalia weledi inatupeleka pabaya sana!Na kusimamia mitihani ya darasa la 7 na kidato cha nne. Anakuja DSO kabisa kusaini ile bahasha kuwa haijafunguliwa😃😃
Mkuu, mimi nimeangalia TV Series ya Homeland, The Americans, The Spy na kuona namna Secret Service wanavyokua wazalendo kwa nchi zao na namna wanavyopambana kupata habari za kiuchumi au hata kuharibu uchumi wa washindani wao ili nchi itoboe..dah yaani mpaka naona aibu kusema kuwa Tanzania tuna idara inaitwa usalama wa Taifa.Sajo,
Tatizo ni kubwa. Unacheka kama mazuri.
Nimekumbuka kitu... Mtihani wenyewe wa Hisabati Darasa la 7 ni multiple choice (wa kuchagua).
Imagine kitu kama hicho kilipata 'clearance' ya watu wa TISS huko , Hisabati mtihani wa kuchagua, kweli?!
Leo nchi tuna watoto hawajui kuhesabu, wame pass.
Kama hujawahi pita kwenye idara nyeti za kiserikali huwezi elewaSasa tunafanyaje?
Kwani hawako trained?!
Kwa hiyo viapo vyao vya usalama wa nchi vinapuuzwa?!
Rais ameahauriwa avunje TISS yote na kuweka mpya ya kwake na kuitaka iwe loyal kwa nchi na sio kwake.Msiishie kulalamika tu mtoe na solutions
Ndipo hapo hapo nilipopata Huduma bora kabisa,tena kwa haraka.,sorry vituo huwa vinanichanganya,ni ukonga,Mombasa!Kwanza hakuna ofisi za NIDA UKONGA, zipo gongo la mboto (kituo panaitwa MOMBASA) .
Sasa ukitaka niandike mazito ya hapo utajuta.
Nitaleta mrejsho hapa hapa.Subiri wiki 2 ziishe utuambie kama umepata namba.
Pa moto wa mafuta! Aje na mchanga!....humu
Mwezi Februali nilipita hapo nikiwa Kwenye Bodaboda mpaka tukawa tunashangaa mimi na boda boda wangu.Hawa jamaa wanaitwa SINOHYDRO ni Wala rushwa balaaa, Sasa viongozi wengi Sana wakifika wanapewa Chao wanaishia kupiga mkwara fake na kuondoka, mnakumbuka Yule DC Gondwe? Alienda akapiga mkwara Yule mbongo akawa anacheka TU?
Ujenzi wowote nchini ulio chini ya SINOHYDRO au STECOL (NDIO Huyo huyo SINOHYDRO) ni mibovu balaaa na hawajawahi kumaliza on time.
Wana kashfa za kuwanyanyasa wafanyakazi Sana na wale jamaa wa TAMICO hawana Cha kufanya.
Huu mradi wa BRT waliwahi kupata kashfa ya kutumia lami ambayo source yake ilikua nchi ambayo imewekewa vikwazo.
Na NDIO hawa hawa wamepewa SGR bila kutumia utaratibu wa manunuzi, yaani single source, Kuna siku Tanzania itaomboleza wallah.
Wewe uko wapi ndugu?Kaombeni visa ya ujerumani au ufaransa iwe gateway ya kufika/kuingia kwingineko duniani... muhame huko na muhamishe na watoto... afrika sio pa kuishi, ni bara la laana! Kila kitu kipo ila majitu yanazidi kuwa mazwazwa na mabazazi kila kukicha. Ule msemo wa mkataa kwao mtumwa tuutathmini na tuutengue rasmi. Sometimes kukataa nyumbani ni chaguo pekee bora lililobaki.
Lakini wewe si Mwanaccm? Kwa hiyo unaikosoa serikali yako mwenyewe?Asante kwa kuongeza hii.
Najua wengi walichomekwa kule kufanya kazi ya utambuzi, uchakataji na kulinda maslahi ya wazawa ila kwa kinachoendelea huko, ni aibu hata kusimulia sana.
DuuhTanzania kwamba kuna usalama wa taifa au waganga njaa
Mtu anawaza kujenga kwao, anawaza kusomesha watoto wake na ndugu, madeni utawaza kulinda nchi?
Wakubwa ndio wanakula, nchi yetu mishahara bado sana
CCM hii yenye wenyewe. . .!!Lakini wewe si Mwanaccm? Kwa hiyo unaikosoa serikali yako mwenyewe?
Sasa hawa ndio wamepewa SGR Tena Kwa single source hahahaaahhaMwezi Februali nilipita hapo nikiwa Kwenye Bodaboda mpaka tukawa tunashangaa mimi na boda boda wangu.
Yaani ile njia ya Magari mwendo kasi(lane) imeshakamilika lakini imeshaanza kubanduka cement.