Wew hongera una kijana wakumaliza form 4 eehhhhMwanangu na yeye mhanga, kapoteza vitabu 2 hivyo leaving yake wameizuia. Ananidai mimi sasa elfu 40 za vitabu vya library. Walau yeye kasema ukweli wake
Kaka mbona pesa yenyewe ndogo Jamaniii anzeni na mafisadi wa juu hukoo bwanaaaWalimu nao wameona wajilipe Kwa namna hyo eti hivi ni haki kweli, imagine nchi Ina wafanyakazi wa Takukuru lkn hawafanyi chochote. Ivi ni lini umeskia Takukuru wamekamata mtu Kwa Rushwa ivi karibuni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ya kubrashia viatuOlasitti Sec School kule Arusha nao rushwa ya hivi imewanoga sana mpaka kutowatambua wazazi ...wao wanataka mwanafunzi Tu afuate Cheti na wamkamue
Wa huku dodoma wanarushiwa kama mbwa wanaokotaHome Boy... Juzi nimeliona Hilo police wa Tz wana hatari sana
Rushwa kama chai kila basi kubwa .
Utaona konda anashuka na kutoa 10k kila sehemu.
Balaa tupuWa huku dodoma wanarushiwa kama mbwa wanaokota
The day mmeona hvyo nilijiskia vibaya kaahh ..yaani pesà inarushwa km mbwa anakimbilia anaokota
Siku zote vyetu vya kuhitimu elimu ya sekondari, chuo kikuu, nk huchukuliwa na mhitimu mwenyewe. Na wala siyo mzazi. Hivyo hakuna cha ajabu hapo. Maana huo ndiyo utaratibu miaka nenda, miaka rudi.Olasitti Sec School kule Arusha nao rushwa ya hivi imewanoga sana mpaka kutowatambua wazazi ...wao wanataka mwanafunzi Tu afuate Cheti na wamkamue
Achaga hizo we jamaaStory kama hizi hazi ingii akilini
Kwa kawaida Mwalimu hawezi kudai mwanafunzi rushwa eti ampe leaving certificate ya kidato cha nne?
Isije kuwa wanafunzi wanadaiwa kutokana na uharibifu mbalimbali walifaonya shuleni au upotevu wa vitabu/vifaa vya shule ambapo ni utaratibu wa kawaida
Yaani aibu nikawaza mke au mume WA mtu yule na mzazi kabisa kaahBalaa tupu
Kwenye pesa hakuna aibu MkuuYaani aibu nikawaza mke au mume WA mtu yule na mzazi kabisa kaah
Hii ni ukweli sio hata uongo mm mwaka flan nikienda magomeni pale turiani waalimu wakakataa kunisainishia na skwenda na hela kwakuwa skua na shida na hko cheti sjui certificate nkawaachia wanitunzie sjafqta mpka leo unakuta wanadai elfu 5Wewe unaoushahidi?
Au umesimuliwa na mtoto wako ambaye pengine alitaka pesa ya matumizi yake binafsi ila akasingizia Waalimu wanataka Rushwa ndo apewe leaving certificate?
Usipende kuchafua taasisi pasipo na ushahidi.
Kumaliza shule mwanao isiwe kigezo Cha kuwadharirisha Waalimu.
Walimu wamekufundishia mtoto wako miaka minne halafu Leo unakuja kuwazushia maneno ya kuwadharirisha kiasi hiki?
Nimesema wanatoa Rushwa ili wasainiwe Clearance Forms, sio wapewe Living Certificates. Yaani maandishi niliyoyaandika bado yapo na bado unabisha? Au umesoma kijuu juu tu?kama wewe ni mwanafunzi wa kidato cha nne na hujui hata maana ya neno Rushwa, tutakuaminije ulicho kiandika?
Sasa shida hata asiedaiwa chochote bado anatakiwa (sio kuombwa) atoe chochote ili wamsainieMwanangu na yeye mhanga, kapoteza vitabu 2 hivyo leaving yake wameizuia. Ananidai mimi sasa elfu 40 za vitabu vya library. Walau yeye kasema ukweli wake
MWANA UNATAKIWA KWENYE TUME YA KUIBANA DP WORLD.Amemaliza form four au form six maana waliomaliza sikuchache zilizopita n F6 form 4 wamemaliza mwaka Jana waliopo watamaliza mwez wa kumi mwaka huu
Sasa huyo aliyemaliza siku Chache amemaliza mtihan wa baraza lipi?
Wengi huwa wanadaiwa mali ya shule hasa vitabu wengi huazima na kuamini kuwa sio lazima warudishe Sasa ukisign kwamba umechukua lazima urudishe ukishindwa kurudisha utalipa hii hata vyuoni IPO hivyoStory kama hizi hazi ingii akilini
Kwa kawaida Mwalimu hawezi kudai mwanafunzi rushwa eti ampe leaving certificate ya kidato cha nne?
Isije kuwa wanafunzi wanadaiwa kutokana na uharibifu mbalimbali walifaonya shuleni au upotevu wa vitabu/vifaa vya shule ambapo ni utaratibu wa kawaida
Tena huenda sio mwanae ni kidem chake kimempiga kizinga cha buku anakuja kuwananga walimu huku.Wewe unaoushahidi?
Au umesimuliwa na mtoto wako ambaye pengine alitaka pesa ya matumizi yake binafsi ila akasingizia Waalimu wanataka Rushwa ndo apewe leaving certificate?
Usipende kuchafua taasisi pasipo na ushahidi.
Kumaliza shule mwanao isiwe kigezo Cha kuwadharirisha Waalimu.
Walimu wamekufundishia mtoto wako miaka minne halafu Leo unakuja kuwazushia maneno ya kuwadharirisha kiasi hiki?
Ulipata zeroo?!!!kama huna KAZI na cheti[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] nakutania broohhhHii ni ukweli sio hata uongo mm mwaka flan nikienda magomeni pale turiani waalimu wakakataa kunisainishia na skwenda na hela kwakuwa skua na shida na hko cheti sjui certificate nkawaachia wanitunzie sjafqta mpka leo unakuta wanadai elfu 5
Nikikule kitoto Cha Sekondari kwani sijui kuhusu 30years behind bars?Tena huenda sio mwanae ni kidem chake kimempiga kizinga cha buku anakuja kuwananga walimu huku.
Nani asiejua vitoto vya siku hizi visivyo na adabu, havichelewi kusema ticha kataka rushwa ya ngono.