Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waanze kwanza na taharifa ya CAGRushwa
Unaweza ukakuta Mzazi TAKUKURU, na yeye ameshotoa hicho unachokiita RUSHWA.Kwema Wakuu,
Hapa mtaani nilipo kuna ka binti kamemaliza Form4 na majibu ndio yametoka siku chache zilizopita. Shule aliyomaliza inaitwa Mikocheni Sekondari, na ilipo ni njia ya Kawe (Old Bagamoyo Road) kituo kimoja kabla ya Clouds.
Sasa wanafunzi hawa waliomaliza form 4 ili wakabidhiwe Leaving Certificates zao basi inabidi wapite kwa walimu wao mbalimbali na idara mbalimbali pia kusainisha "Clearance Forms", zikishasainiwa pote ndipo wapewe Leaving Certificate.
Walimu kwa kujua kua Wanafunzi wanazihitaji hizo Clearance Certificates wana mchezo wa kuwadai Chochote wanafunzi hao kisha ndio wawasainie. Wanaita hela ya soda lakini imekua ni lazima na mwanafunzi ukiweka ngumu kutoa chochote kitu basi husainiwi.
Iliwahi kutokea hapo kabla kua Wanafunzi kadhaa huchangishana, kuandika majina yao na kukusanya form kisha mmoja huzipeleka kwa mwalimu husika kusaini.
Hata kama ndio motisha lakini isiwe lazima basi, kama mwanafunzi kweli humdai basi ni wajibu wako kumsainia form yake bila kudai chochote kitu.
Watu mnaopokea mishahara Mnajidhalilisha kumkomalia mwanafunzi ambae hana kazi yoyote akupe wewe hela ya soda wakati ni wajibu wako.
Mambo ya kujiongeza [emoji1]Walimu nao wameona wajilipe Kwa namna hyo eti hivi ni haki kweli, imagine nchi Ina wafanyakazi wa Takukuru lkn hawafanyi chochote. Ivi ni lini umeskia Takukuru wamekamata mtu Kwa Rushwa ivi karibuni
😄😁😄kwaniUlipata zeroo?!!!kama huna KAZI na cheti[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] nakutania broohhh
Kwani wanaovikula hawajui, ni basi tu mnaziba macho, masikio na kujitoa ufahamu.Nikikule kitoto Cha Sekondari kwani sijui kuhusu 30years behind bars?
Acha unoko kwa issue ndogoKwema Wakuu,
Hapa mtaani nilipo kuna ka binti kamemaliza Form4 na majibu ndio yametoka siku chache zilizopita. Shule aliyomaliza inaitwa Mikocheni Sekondari, na ilipo ni njia ya Kawe (Old Bagamoyo Road) kituo kimoja kabla ya Clouds.
Sasa wanafunzi hawa waliomaliza form 4 ili wakabidhiwe Leaving Certificates zao basi inabidi wapite kwa walimu wao mbalimbali na idara mbalimbali pia kusainisha "Clearance Forms", zikishasainiwa pote ndipo wapewe Leaving Certificate.
Walimu kwa kujua kua Wanafunzi wanazihitaji hizo Clearance Certificates wana mchezo wa kuwadai Chochote wanafunzi hao kisha ndio wawasainie. Wanaita hela ya soda lakini imekua ni lazima na mwanafunzi ukiweka ngumu kutoa chochote kitu basi husainiwi.
Iliwahi kutokea hapo kabla kua Wanafunzi kadhaa huchangishana, kuandika majina yao na kukusanya form kisha mmoja huzipeleka kwa mwalimu husika kusaini.
Hata kama ndio motisha lakini isiwe lazima basi, kama mwanafunzi kweli humdai basi ni wajibu wako kumsainia form yake bila kudai chochote kitu.
Watu mnaopokea mishahara Mnajidhalilisha kumkomalia mwanafunzi ambae hana kazi yoyote akupe wewe hela ya soda wakati ni wajibu wako.
[emoji2][emoji2][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1751][emoji1][emoji16][emoji1]kwani
🤣🤣[emoji2][emoji2][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1751]
Hao ni Wale wazazi lia lia, wao ni kulalamika tuWewe unaoushahidi?
Au umesimuliwa na mtoto wako ambaye pengine alitaka pesa ya matumizi yake binafsi ila akasingizia Waalimu wanataka Rushwa ndo apewe leaving certificate?
Usipende kuchafua taasisi pasipo na ushahidi.
Kumaliza shule mwanao isiwe kigezo Cha kuwadharirisha Waalimu.
Walimu wamekufundishia mtoto wako miaka minne halafu Leo unakuja kuwazushia maneno ya kuwadharirisha kiasi hiki?
Form 6. AsanteWew hongera una kijana wakumaliza form 4 eehhhh