DOKEZO TAKUKURU Nendeni Mikocheni Sekondari mkaone Walimu wanavyodai Rushwa Waziwazi Kwa Waliomaliza Form4

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Waanze kwanza na taharifa ya CAG
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†,
Mkuu hivi vitoto vinavyogongwa Rushwa tangu vikiwa Sekondari ndio vinavyokuja kuwasumbua Takukuru na CAG wajao.
 
Unaweza ukakuta Mzazi TAKUKURU, na yeye ameshotoa hicho unachokiita RUSHWA.
 
Walimu nao wameona wajilipe Kwa namna hyo eti hivi ni haki kweli, imagine nchi Ina wafanyakazi wa Takukuru lkn hawafanyi chochote. Ivi ni lini umeskia Takukuru wamekamata mtu Kwa Rushwa ivi karibuni
Mambo ya kujiongeza [emoji1]

Ova
 
Ulipata zeroo?!!!kama huna KAZI na cheti[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] nakutania broohhh
πŸ˜„πŸ˜πŸ˜„kwani
 
Acha unoko kwa issue ndogo
 
Mpwayungu njoo huku uwashauri walimu mambo wanayostahili kufanya
 
Nikajua yakuburashia viatu kumbe ya Pepsi tu acha roho mbaya [emoji16]
 
Nikajua yakuburashia viatu kumbe ya Pepsi tu acha roho mbaya [emoji16]
Hizi shule darasa moja hufika mpaka 120. Hawa wote wakitoa buku buku kumpa kila mwalimu kwani wanakunywa soda kreti ngapi?
 
Huu ni uongo.....mwanao anadaiwa huyo
Wewe ni mwalimu wa pale imekugusa kua exposed. Sina mtoto au ndugu anaesoma hapo. Ngoja TAKUKURU watakapofika hapo wakawahoji ndio mtaelewa.
 
Hao ni Wale wazazi lia lia, wao ni kulalamika tu

Hata Mwanae akimwomba hela ya kununua kitabu cha Physics au Biology Practical atamnyima na kusema Waalimu watakula hizo pesa

Hovyo sana
 
Rushwa na michango ya lazima kwa wanafunzi kwenye mashule yote siku hizi imekuwa kawaida.
 
Walimu wakiwagongea vibinti vyenu mnalalamika... Wakiwagongea wake zenu wanapo peleka watoto shule mnalalamika... Wanadai hela kama police na daktari bado mnalalamika...? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…