MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kama vile Bwana wako KinoamiguuWewe ni hamnazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vile Bwana wako KinoamiguuWewe ni hamnazo.
Ati baada ya kujadili upotevu mkubwa wa pesa za serikli kama ulivyobainishwa na CAG anajadili ml 20 za raisi kwa goli moja? Hivi anajua kwamba hicho kinachofanywa hapo anaweza kufanya mtu yyte?Watu wengine wanasikitisha kwa kweli.
Watu wengine wanasikitisha kwa kweli.Ana jiita mwenye akili kubwa chizi huyu
Chuki na wivu vinamsumbua.Ati baada ya kujadili upotevu mkubwa wa pesa za serikli kama ulivyobainishwa na CAG anajadili ml 20 za raisi kwa goli moja? Hivi anajua kwamba hicho kinachofanywa hapo anaweza kufanya mtu yyte?
Halafu anatukana watuWatu wengine wanasikitisha kwa kweli.
Chuki na wivu vinamsumbua.
Meno ya umbwa hayaumani
Taarifa kutoka ndani ya TAKUKURU zinadai kuwa taasisi hiyo imefungua jalada la uchunguzi wa tuhuma kuwa Waziri wa Nishati, January Makamba, alitoa rushwa kwa wabunge ili wapitishe bajeti ya wizara yake ya 2023/24 wiki iliyopita.
Inadaiwa Makamba alitumia taasisi zilizo chini ya Wizara yake ikiwemo TANESCO, EWURA na TPDC kugawa rushwa kwa wabunge kwa kisingizio cha kufanya semina ya wabunge siku mbili mfululizo kabla ya kuwasilisha bajeti ya wizara yake.
Pia aligawa mitungi 100 ya gesi kwa kila mbunge kama sehemu ya rushwa hiyo, iliyofanikisha bajeti yake kupitishwa licha ya malalamiko makubwa ya wabunge kuhusu huduma mbovu za kukatikatika kwa umeme na usimamizi hafifu wa sekta ya nishati.
Tayari baadhi ya wabunge wameanza kuhojiwa na TAKUKURU ili kukusanya ushahidi wa rushwa hiyo ya mchana ambayo inakadiriwa kutumia karibu Shilingi Bilioni 2.
Idara ya Usalama wa Taifa, TISS, nayo inasemekena kuwa inachunguza taarifa hizo ili iweze kupeleka faili kwa mamlaka ya uteuzi.
Unategemea atashughulikiwa?
Huyu jamaa ni hatari mno kwa Rushwa. Na wao watahongwa tu
Taarifa kutoka ndani ya TAKUKURU zinadai kuwa taasisi hiyo imefungua jalada la uchunguzi wa tuhuma kuwa Waziri wa Nishati, January Makamba, alitoa rushwa kwa wabunge ili wapitishe bajeti ya wizara yake ya 2023/24 wiki iliyopita.
Inadaiwa Makamba alitumia taasisi zilizo chini ya Wizara yake ikiwemo TANESCO, EWURA na TPDC kugawa rushwa kwa wabunge kwa kisingizio cha kufanya semina ya wabunge siku mbili mfululizo kabla ya kuwasilisha bajeti ya wizara yake.
Pia aligawa mitungi 100 ya gesi kwa kila mbunge kama sehemu ya rushwa hiyo, iliyofanikisha bajeti yake kupitishwa licha ya malalamiko makubwa ya wabunge kuhusu huduma mbovu za kukatikatika kwa umeme na usimamizi hafifu wa sekta ya nishati.
Tayari baadhi ya wabunge wameanza kuhojiwa na TAKUKURU ili kukusanya ushahidi wa rushwa hiyo ya mchana ambayo inakadiriwa kutumia karibu Shilingi Bilioni 2.
Idara ya Usalama wa Taifa, TISS, nayo inasemekena kuwa inachunguza taarifa hizo ili iweze kupeleka faili kwa mamlaka ya uteuzi.
Sawa tu Makonda na Sabaya wakati wa awamu ya tano.Huyo yupo kwenye list ya wasiogusika awamu ya 6 hivyo hao Takuukuru na Teeth hawawezi ingia kina hiko maji siyo size Yao. Dereva wa wizara ya Nishati kajua kujizolea maadui uenda akamzidi Bashite.
Fikra kama hizi za kwako ndiyo chanzo cha nchi huu kuwa duni.Vita inaendelea. Ni walewale jamaa zetu wa legacy. Piga kazi January
Ulivyoandika utadhani huwa unapanda hizo ndege na kuchangia pato linalopatikana.Mimi ningewaona hawa Wanaochunguza wana Akili kama wangeanza Kwanza kumchunguza anayetoa Pesa hovyo kwa Klabu ya Yanga SC, anatoa Ndege kufanya Majukumu ya Kipuuzi yasiyo ya Faida huku Fedha za walipa Kodi Masikini zikitumika kuzilinda.
HAKUNA JIPYA CAG KATAJA WALIOPIGA FEDHA ZA UMMA MPAKA LEO KIMYA KAMA VILE REPORT YA CAG ILIKUWA FAKE
Taarifa kutoka ndani ya TAKUKURU zinadai kuwa taasisi hiyo imefungua jalada la uchunguzi wa tuhuma kuwa Waziri wa Nishati, January Makamba, alitoa rushwa kwa wabunge ili wapitishe bajeti ya wizara yake ya 2023/24 wiki iliyopita.
Inadaiwa Makamba alitumia taasisi zilizo chini ya Wizara yake ikiwemo TANESCO, EWURA na TPDC kugawa rushwa kwa wabunge kwa kisingizio cha kufanya semina ya wabunge siku mbili mfululizo kabla ya kuwasilisha bajeti ya wizara yake.
Pia aligawa mitungi 100 ya gesi kwa kila mbunge kama sehemu ya rushwa hiyo, iliyofanikisha bajeti yake kupitishwa licha ya malalamiko makubwa ya wabunge kuhusu huduma mbovu za kukatikatika kwa umeme na usimamizi hafifu wa sekta ya nishati.
Tayari baadhi ya wabunge wameanza kuhojiwa na TAKUKURU ili kukusanya ushahidi wa rushwa hiyo ya mchana ambayo inakadiriwa kutumia karibu Shilingi Bilioni 2.
Idara ya Usalama wa Taifa, TISS, nayo inasemekena kuwa inachunguza taarifa hizo ili iweze kupeleka faili kwa mamlaka ya uteuzi.
Kweli afya ya akili ni tatizo sanaMimi ningewaona hawa Wanaochunguza wana Akili kama wangeanza Kwanza kumchunguza anayetoa Pesa hovyo kwa Klabu ya Yanga SC, anatoa Ndege kufanya Majukumu ya Kipuuzi yasiyo ya Faida huku Fedha za walipa Kodi Masikini zikitumika kuzilinda.
Kuna nchi saa hizi yangekuwa mengine kabisa