kinondoniilala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 987
- 766
Kwani Sheikh Ponda Issa Ponda anasemaje???Poleni! Haya yanatokea Kwa kuwa huyo mama yenu ni rushwa tupu!
Kwani Sheikh Ponda Issa Ponda anasemaje???Hana hadhi ya kuitwa shehe huyo bali tapeli tu
Huyo ana majibu mengi siku ya hukumu kama anaamini
Ila wanamuogopa kwa kutishia ushirikina
Unajua waswahili wanavyoamini mambo hayo
Kwani Sheikh Ponda Issa Ponda anasemaje???Kiukweli huyu sheh wa mkoa ni mtu wa dilidili sana hata sishangai
Ova
Kwani Sheikh Ponda Issa Ponda anasemaje???Aione Camilius Wambura Insipekta Wa Jeshi La Polisi
Kwani Sheikh Ponda Issa Ponda anasemaje???Inasikitisha sana, tumerudi zama za mwenye nacho anafanya lolote.
Kwani Sheikh Ponda Issa Ponda anasemaje???Wasilianane na sheikh Ponda ndio mtu pekee ambaye anaweza kuwasaidia, huwa namkubali sana yule mpambananji
Issue NI kwamba kibali NI cha ujenzi WA Msikiti lakini Wananchi wanaona ujenzi WA madukaMbona hiyo barua inaonyesha kibali kilisitishwa cha ujenzi wa MADUKA na MSIKITI baada ya kuvunja msikiti wa zamani, issue hapo ni nini hasa mkuu...kiwanja kimeuzwa? au amepewa mwekezaji bila kushirikisha wenye msikiti maana bango la ujenzi linaonyesha CLIENT ni Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre which means kiwanja bado ni mali ya Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre
Kwani Sheikh Ponda Issa Ponda anasemaje???Duh,ukiwasikiliza wanavyoongea utadhani kweli Wana hofu ya Mungu ya dhati,kumbe matapeli wakubwa!
Hapana wameuza eneo[emoji44][emoji44][emoji44]wanauza Hadi msikiti
Wala haina haja ya kustrike, wana nyaraka zote muhimu....waende Mahakamani tu watashinda smoothly.Ndugu zetu mmekuwaje tena ? Mpaka sasa hivi bado kanzu hazijakunjwa mpaka magotini kweli mmekuwa soft like a woman.
Hebu wewe tuambie ukweli. Tuoneshe picha ya huo Msikiti unaojengwa kwa ndani.Huyu mtoa hoja hasemi ukweli vingine kaficha. Je kweli ndani hakujengwi msikiti au kote ni maduka.
πππππKwani Sheikh Ponda Issa Ponda anasemaje???
Sasa kwanini hawaendi mahakamani wakati wana vielelezo vyote halali?