DOKEZO TAKUKURU Wakamateni Sheikh, Alhad Mussa Salum, RITA, Mkurugenzi, Ardhi na Polisi kwa kuvunja Msikiti wa Mwenge kwa Mabavu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mleta mada ni mnufaika wa msikiti kiuchumi na katengeneza document fake. Nenda mahakamani kama ww Kidume. Na hakimu anaifahamu issue yote hii na document zako fake
 
Hebu wewe tuambie ukweli. Tuoneshe picha ya huo Msikiti unaojengwa kwa ndani.
Jamaa kaingia mkataba na hao watu wa miaka 15 kujenga maduka kuzunguka msikiti then ndan atajenga msikiti mkubwa wa gorofa. na unajengwa muda huu sambamba na maduka. Atamiliki miaka 15 then anawaachia. Mbona ni kawaida kila mahali inafanyika hivyo.
 
Endeleeni na Gwajima na Mwamposya kumbe yenu yanawafika puani
 
dubu Bodi of trusrees kwanini wasiende mahakamani? Wanaogopa nini kenda Mahakamani? Utapata hai zako bila shda ingawa itachelewa
 
AAh, sheria itafata mkondo wako, si jambo la kustusha sana, Bakwata mbona wameuza viwanja vya wakf kwa Manji siku nyingi sana.

Silioni tatizo, Waislam kama wana hasira wajenge mwengine mzuri zaidi na mkubwa kuliko uliovunjwa.
Sa ingine unakuaga na akili 👏👏
 
Jamaa kaingia mkataba na hao watu wa miaka 15 kujenga maduka kuzunguka msikiti then ndan atajenga msikiti mkubwa wa gorofa. na unajengwa muda huu sambamba na maduka. Atamiliki miaka 15 then anawaachia. Mbona ni kawaida kila mahali inafanyika hivyo.
Bora wangetoa miaka 90.
Sasa kobazi watakua wamekula advance imeisha ndo wanaanza kokoro.
 
Alafu nasikia huyo tajiri kaingia mkataba wa miaka 30 ndio awaachie eneo lenu,dah kweli wajinga ndio waliwao,hivi umeshawahi kusikia kanisa linaingia ubia na muwekezaji kweli?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Adui wa muislamu ni muislam mwenyewe
Kazi ya bakwata ni kutangaza mwezi muandamo tu ila wamefilisi mali nyingi sana za waislamu
Amkeni mpambane
 
NASHAURI ACHANENI HAO HUO MSIKITI... TAFUTENI MSIKITINI MWINGINE MSWALI... RUDINI CHINI MUMUOMBE ALLAAH MAGHFIRAH... ALAFU WA KUMUOMBA MSAADA NI ALLAAH SIO KIUMBE... HAO VIUMBE MNAOWAOMBA MSAADA HAWANA MSAADA WOWOTE...

ALAFU SIKU NYINGINE... MSIKITI SIO MALI YA WAUMINI... LAZIMA UWE CHINI YA MMILIKI MMOJA... HAKUNA MALI YA WOTE...HIVI HAMJIFUNZI KWA MTU KAMA GWAJIMA AU KAKOBE NA WACHUNGAJI WENGINE WA MAKANISA MBALIMBALI YANAIBUKA... MBONA WAO HAWANA MIGOGORO... ILE NI MALI YAKE MCHUNGAJI... HAO BAKWATA... PALE HAMNA DINI PALE... WALE WALISHAJIKATIA TAMAA NA AKHERA...HUYO ALHAD NI SHEIKH WA KIYAHUDI AMBAYE ALLAAH ALIMTAJA KATIKA SUURAT TAWBA AYA YA 34...Msimwangalie kama mwenzenu huyo.

RUDINI CHINI NYUMA... MRUDIENI MOLA WENU... MUOMBENI MSAMAHA... ALAFU ATAWASAIDIENI...

HAINA HAJA YA VURUGU WALA NINI... WACHA WACHUKUE... MSIKITI KAMA NI WA ALLAAH... ALLAAH MWENYEWE ATAULINDA MSIKITI WAKE... KAMA SIO WA ALLAAH... BASI HILO MLILOPATA NDIO LINAWASTAHIKI...

Mkishindwa nendeni mahakamani... Ila bado nachelea kuamini kuwa mtapata hiyo iitwayo haki...

ALLAAH ATUONGOZE...
 
Adui wa muislamu ni muislam mwenyewe
Kazi ya bakwata ni kutangaza mwezi muandamo tu ila wamefilisi mali nyingi sana za waislamu
Amkeni mpambane
Hilo eneo japo ni la bakwata wale jamaa wa kaptula waliwapindua wazee na wameendesha hapo muda wanakula ela tu
 
Ukiona hivyo hakuna tasisi imara wengi wamejaa tamaa na njaa tupu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Salaam,hiyo ni habari ya upande mmoja mkiskia upande wa pili mtawaona hawa walioleta habari hii ni chuki na hasad tu Waislamu wengi hawapendi maendeleo yanayoletwa na watu wengine.
 
Ukweli ni kuwa eneo hilo linajengwa maduka ya kisasa upande wa mbele halafu Msikiti wa kisasa wa ghorofa 4 unajengwa katika eneo la ndani. Yameanza maduka kwakuwa isingekuwa vizuri uanze Msikiti kisha watu wakianza kufanya ibada huku ujenzi wa maduka ungesumbua wanaofanya ibada kwani ibada inahitaji mahala tulivu( rejea kibali alichopost mleta habari kuwa ni kwaajili ya kujenga Msikiti na maduka ya biashara)
 
Wataendaje mahakamani na ushahidi wa kutunga. Huyu kaja kutaka huruma za watu
Ni kweli kabisa, siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli ndio maana ameenda ofisi zote wamepuuzwa kwakuwa viongozi waliopo madarakani ni halali na wanafanya maendeleo kubadilisha mambo ya ovyo yaliyokuwa yanarudisha maendeleo nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…