DOKEZO TAKUKURU Wakamateni Sheikh, Alhad Mussa Salum, RITA, Mkurugenzi, Ardhi na Polisi kwa kuvunja Msikiti wa Mwenge kwa Mabavu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mleta mada ni mnufaika wa msikiti kiuchumi na katengeneza document fake. Nenda mahakamani kama ww Kidume. Na hakimu anaifahamu issue yote hii na document zako fake
Anajaribu kuwaongopea watu wasioelewa hii issue , kiongozi usipochaguliwa unatakiwa ukubali matokeo na usapoti viongozi wapya hasa wanapoleta maendeleo ya kweli ambayo wew hukuweza kuleta
 
Jamaa kaingia mkataba na hao watu wa miaka 15 kujenga maduka kuzunguka msikiti then ndan atajenga msikiti mkubwa wa gorofa. na unajengwa muda huu sambamba na maduka. Atamiliki miaka 15 then anawaachia. Mbona ni kawaida kila mahali inafanyika hivyo.
Huyu mleta habari anaongopea uma kwa masilahi yake binafsi, Msikiti umetengewa eneo lake na utajengwa wa ghorofa 4 awamu ya kwanza ni ujenzi wa maduka yanayozunguka eneo la nje( rejea kibali alichopost mleta habari ni kwaajili ya ujenzi wa msikiti na maduka)
 
mbona jambo ni simple tu watu wakae kwa week nzima aliliwe tu mungu kwa muda wa week nzima kwa kila aliyehusika iwe polis,rita,hao mashehe,na kila atakahechukua frem hapo limkute jambo then muone kama hawatokuja hapo kuwajengea kabisa msikiti na si kurudisha tena eneo
 
Wewe unaona inamake sense kujenga maduka kwanza kabla ya msikiti?
 
Wewe unaona inamake sense kujenga maduka kwanza kabla ya msikiti?
Kuna sababu iliyosababisha yaazwe maduka, wakandarasi wanaojenga ni wawili tofauti Mkandarasi wa Maduka alikuwa yuko tayari wakati Mkandarasi wa Msikiti alikuwa anamalizia ujenzi wa Msikiti mwingine na hawa wote wanatakiwa wafanye kazi kwa kupishana. Ungekuwa wew ungefanyaje?
 
Kama ni kweli wanajenga madula katika kiwanja cha msikiti ni dhulma kubwa sana. Serikali iingilie kati itende haki
Habari hii haina ukweli wowote Serikali iko macho sana halafu mleta habari wala hakutakiwa kuileta huku JF alitakiwa aipeleke TAKUKURU moja kwa moja huku kaileta ham a msaada wowote anatafuta huruma ya watu tu
 
dubu Bodi of trusrees kwanini wasiende mahakamani? Wanaogopa nini kenda Mahakamani? Utapata hai zako bila shda ingawa itachelewa
Hawawezi kwenda mahakamani kwakuwa wanaongea vitu vya uongo kwa masilahi yao ya kidunia, kama ni kweli walitakiwa wapeleke malalamiko TAKUKURU sio kupost JF
 
Alafu nasikia huyo tajiri kaingia mkataba wa miaka 30 ndio awaachie eneo lenu,dah kweli wajinga ndio waliwao,hivi umeshawahi kusikia kanisa linaingia ubia na muwekezaji kweli?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Miaka 20 iliyoingiwa mkataba ni upande wa uwekezaji wa Maduka upande wa Msikiti hakuna mkataba unajengwa bure na huyo Mwekezaji wa Maduka amejitolea sadaka ya kujenga Msikiti for free na utakuwa chini ya Wanachama wa Mwenge.
 
Alafu nasikia huyo tajiri kaingia mkataba wa miaka 30 ndio awaachie eneo lenu,dah kweli wajinga ndio waliwao,hivi umeshawahi kusikia kanisa linaingia ubia na muwekezaji kweli?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Miaka 20 iliyoingiwa mkataba ni upande wa uwekezaji wa Maduka upande wa Msikiti hakuna mkataba unajengwa bure na huyo Mwekezaji wa Maduka amejitolea sadaka ya kujenga Msikiti for free na utakuwa chini ya Wanachama wa Mwenge
Waleta habari ni viongozi waliopigwa chini kwenye uongozi kwakuwa walikuwa hawaleti maendeleo Msikiti ulikuwa dhalili leo viongozi waliochaguliwa wamekuja na mawazo mapya ya kuuendeleza uislamu Mwenge wanapigwa maneno. Kama wana hoja za msingi wapeleke hili jambo TAKUKURU AU Mahakamani sio kulileta JF kutaka huruma ya watu wasiokuwa na taarifa za upande wa pili
 
Lakin pia kutoka hapo ujenz ulipo mita 200 kuna msikiti mwingine so kama ni ibada kama kawaida.
 
Kuweni wakakamavu mpaka hilo jengo livunjwe au mupewe nyinyi.Huu utakuwa ni uhuni kwamba mtu asiye na hatia anaweza kufanya jambo kama hilo.Itaondoa dhana ya utawala wa kisheria.
 
Tusizunumzie maendeleo kabla kupata ufatanuzi wa hati.ikiwa wanaotaka maendeleo hawana hati maendeleo yao ni feki na hayatakuwa kwa maslahi ya uislamu.
 
HV kwanin huyu shehe azingolewe ktk nafsi hyo kwani kuwa shek mkuu wa mkoa Ni mkataba wa muda gani mnk naoan analalmikiwa sna na muft mkuu ataki kumngoaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tusizunumzie maendeleo kabla kupata ufatanuzi wa hati.ikiwa wanaotaka maendeleo hawana hati maendeleo yao ni feki na hayatakuwa kwa maslahi ya uislamu.
Uongozi ulioondolewa madarakani uligoma kukabidhi vitendea kazi ikiwamo hati, Viongozi waliochaguliwa wakaenda kuifuta hati na kuprocess hati mpya ipo na ndio imetumika kuombea vibali
 
Hawa waleta taarifa ni waongo, kwanini wanaogopa kulipeleka hili jambo TAKUKURU wawasaidie wanalileta huku????
Sasa wewe umeshaambiwa kuna watu wana mkono mrefu hadi kufikia hatua ya kusingizia kuwabambikizia watu kesi ya Ugaidi. Unafikiri kitu cha mchezo hicho?

Ndiyo maana wamelileta hilo suala kwa wananchi ili nguvu ya umma iweke shinikizo na Haki itendeke kwa pande zote mbili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…