TAKUKURU waonesha Rushwa ya ngono ilivyokithiri vyuoni

TAKUKURU waonesha Rushwa ya ngono ilivyokithiri vyuoni

Ni kutembeza na kutandaza miti tu hamna namna. Don't let eligible poosey pass you untouched

Wewe endelea tu kutembeza na kutandaza hiyo miti! Ila siku tukikukamata, basi ujiandae kwa mashtaka ya uhujumu uchumi.
 
Dress codes za maadili hazizingatiwi vyuoni. Kwa pande zote, pia wanafunzi hawataki kujituma na hawajihamini!
 
Rushwa ya ngono ni kila mahali na ni vigumu kuepukika
 
watoto wa chuo watam sanaaa, asikwambie mtu
maprof wanafaidi kinoma
 
Dress codes za maadili hazizingatiwi vyuoni. Kwa pande zote, pia wanafunzi hawataki kujituma na hawajihamini!
Ushetani tu, hamna lolote!

Hivi una habari nikiona mtoto kavaa baibui tu hapo hapo mnara unaanza kunesanesa juu-chini, chini-juu ku-search network kwa kasi ya kutisha hata kama ndo nimetoka mzigoni?!

Halafu hapo awe amenipigia baibui, na eyeglasses... salaaleh!

Sa' hapo nitasingizia nini?!

Akili zingine bhana... sa' sijui akili hapo huwa inawaza kilichokichwa huko ndo kitakuwa more amazing vinginmevyo isingefanyika jitihada ya kuficha namna hiyo; yaani hata sielewi!!
 
mm ndio maana sivitaki hivi vitoto vya chuo, kwanza sio visafi na vina mitego mingi ya ushswishi
vikija ofisini ndio kabisa ata barua za maombi hawajui sembuse taarifa
TAKKURU waongo ngono ni kila mahali hata kweny siasa na wajumbe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na hata kwenye mbio za mwenge ngono zipo
 
Ndo maana nasemaga kuolewa na mhadhiri inataka moyo mkuu....ukiwa mke wake ujiandae kisaikolojia kupokea kesi na malalamiko na magonjwa juu!!! It's funny that almost 50 percent ya wahadhiri wenza wao ni wanafunzi waliowafundisha chuoni...[emoji1]
Nimesoma UD and as I write napata memories za cases kama hizo ninazokumbuka zilizonipata mimi na wanafunzi wenzangu kipindi hicho!
Japo huu utafiti una bias umeegemea upande mmoja tu wa wahadhiri.Wapo pia wanafunzi ambao wanajirahisi kwa wahadhiri ili maisha yao chuoni yawe mepesi...huu utafiti ulitakiwa uangalie upande huo pia.
 
Back
Top Bottom