TAKUKURU waonesha Rushwa ya ngono ilivyokithiri vyuoni

TAKUKURU waonesha Rushwa ya ngono ilivyokithiri vyuoni

Ndo maana nasemaga kuolewa na mhadhiri inataka moyo mkuu....ukiwa mke wake ujiandae kisaikolojia kupokea kesi na malalamiko na magonjwa juu!!! It's funny that almost 50 percent ya wahadhiri wenza wao ni wanafunzi waliowafundisha chuoni...[emoji1]
Nimesoma UD and as I write napata memories za cases kama hizo ninazokumbuka zilizonipata mimi na wanafunzi wenzangu kipindi hicho!
Japo huu utafiti una bias umeegemea upande mmoja tu wa wahadhiri.Wapo pia wanafunzi ambao wanajirahisi kwa wahadhiri ili maisha yao chuoni yawe mepesi...huu utafiti ulitakiwa uangalie upande huo pia.
Sure mkuu Kuna bias awajangalia upande wa pili..
 
Analogia Malenga Takukuru mbona kazi yake ni kupeleleza na kushitaki baada ya kukusanya vielelezo husika? Hii inayofanya utafiti ni Takukuru ipi? Wamegeuka watafiti kumbe?
 
Analogia Malenga Takukuru mbona kazi yake ni kupeleleza na kushitaki baada ya kukusanya vielelezo husika? Hii inayofanya utafiti ni Takukuru ipi? Wamegeuka watafiti kumbe?
Kwa elimu yangu ndogo Taasisi yoyote ile ili kuongeza ufanisi katika utendaji lazima ifanye utafiti.
Halafu TAKUKURU hawawezi kufungua mashtaka bila kupata malalamiko au tip .Kwa mazingira ya Chuo wanafunzi hao ni watu wazima na elimu yao inapaswa iwasaidie kujua kua akiombwa rushwa ya ngono anapaswa kupeleka malalamiko sehemu husika yafanyiwe kazi sasa akikaa kimya either hajui haki yake au kaona sawa tu.
Utafiti unaofanywa na TAKUKURU utawasaidia kujua mbinu na mazingira ya rushwa na kuja na mikakati ya kuondoa au kupambana nayo.
Kumbuka pamoja na mambo mengi Research inakazi ya ku identify gaps katika eneo husika, ku inform pamoja na kucreate solutions or recommendations so TAKUKURU hawajakosea kufanya Reserach.Lengo lao ni zuri tu ni litawasaidia wao pia kuji evaluate utendaji wao maana waomba rushwa kila siku wanakuja na mbinu mpya so ili TAKUKURU waende na hiyo kasi mpya RESERACH ni sahihi kabisa kufanyika.
 
Ingekua 2000 tungekubali hiyo ripoti. Ila siku hizi wanafunzi ndo wanawafuata wahadhiri.
Kama nimesoma vizuri, kuna maeneo matatu ambayo pengine utafiti haujatilia mkazo. Maeneo haya ni: Ahadi ya ufadhiri kwa mwanafunzi kuwa atapata ufadhari kama vile wa shahada ya uzamili au uzamivu. Pil ni ahadi ya kazi kwa wale ambao hawaajiriwa kuwa atapata ajira pale pale chuoni kupitia nafasi ya anayetaka rushwa. Na mwisho ni wale ambao wako katika ajira lakini anagependa kuhama kutoka kwa mwajiri wa awali kwenda chuo anaposoma.
 
Kifupi mkuu rushwa ya ngono iko Kila mahalo sema vyuon ndo imezidi na kule inasababishwa na Mambo ya academic.
Sawa ni mambo ya academic lkn root cause ni wanafunzi wenyewe kwa kutojituma kwenye masomo ni wavivu halafu wanapenda kubebwa.
Jiulize kwa nini kwenye shule za msingi na sekondari hakuna hizo rushwa za ngono
 
Pia kuna rushwa katika shule za sekondari. Ni taarifa hazitolewi kwa umma au haujafanyika utafiti wa kina kubaini vyanzo, mazingira na aina ya rushwa ya ngono
 
Pia kuna rushwa katika shule za sekondari. Ni taarifa hazitolewi kwa umma au haujafanyika utafiti wa kina kubaini vyanzo, mazingira na aina ya rushwa ya ngono
 
Pia kuna rushwa katika shule za sekondari. Ni taarifa hazitolewi kwa umma au haujafanyika utafiti wa kina kubaini vyanzo, mazingira na aina ya rushwa ya ngono
Mkuu sidhani kama kuna rushwa huko,mwanafunzi atoe rushwa ya ngono kwa mwalimu wake ili iweje?

Na kama kuna hali ya matendo ya ngono huko basi tambua hiyo siyo rushwa ni ubakaji maana wale ni watoto hivyo wahusika hama wapo lazima wakubane na makosa ya ubakaji na sio rushwa
 
Sawa ni mambo ya academic lkn root cause ni wanafunzi wenyewe kwa kutojituma kwenye masomo ni wavivu halafu wanapenda kubebwa.
Jiulize kwa nini kwenye shule za msingi na sekondari hakuna hizo rushwa za ngono
Lazima ujue shule ya msingi ni watoto na fine yake 30 years jail, na mtu akiwa mzembe Kuna procedure sio kutumia ngono eti kisa uvivu wa jambo, wewe wasema hvo kwa vile ni mwanaume hujui changamoto wanazokutana watoto wa kike vyuoni na hivi waalimu Wana power ya kukufelisha imagine ingekuwa mwanao hata ka Ni uwezo mdogo au uvivu, ndio utumie ngono ili kumzalilisha?
Jamii tu mfano wewe unaona sawa tu kisa uvivu wa wanawake imagine Sasa wanawake wakiwa wanatoa rushwa wote hapo sikupata wataalamu fake, kwanza mahusiano ya kingono makazini au na subordinate's huwa ni kosa maana Lina haribu utendaji wa kazi. Wanaume acheni kutetea ukatili wa kijinsia hamjui tu mtu vile una shida then mtu awe anatumia shida yako kukutaka kilazims tena ukigoma unafeli
 
Lazima ujue shule ya msingi ni watoto na fine yake 30 years jail, na mtu akiwa mzembe Kuna procedure sio kutumia ngono eti kisa uvivu wa jambo, wewe wasema hvo kwa vile ni mwanaume hujui changamoto wanazokutana watoto wa kike vyuoni na hivi waalimu Wana power ya kukufelisha imagine ingekuwa mwanao hata ka Ni uwezo mdogo au uvivu, ndio utumie ngono ili kumzalilisha?
Jamii tu mfano wewe unaona sawa tu kisa uvivu wa wanawake imagine Sasa wanawake wakiwa wanatoa rushwa wote hapo sikupata wataalamu fake, kwanza mahusiano ya kingono makazini au na subordinate's huwa ni kosa maana Lina haribu utendaji wa kazi. Wanaume acheni kutetea ukatili wa kijinsia hamjui tu mtu vile una shida then mtu awe anatumia shida yako kukutaka kilazims tena ukigoma unafeli
Hujanielewa kabisa.
Sijahalalisha au kutetea rushwa ya ngono.
Ninachosema ni hivi wasichana wanajirahisisha wenyewe yaani hao ndio huwa waanzilishi wa mitego
 
Ndo maana nasemaga kuolewa na mhadhiri inataka moyo mkuu....ukiwa mke wake ujiandae kisaikolojia kupokea kesi na malalamiko na magonjwa juu!!! It's funny that almost 50 percent ya wahadhiri wenza wao ni wanafunzi waliowafundisha chuoni...[emoji1]
Nimesoma UD and as I write napata memories za cases kama hizo ninazokumbuka zilizonipata mimi na wanafunzi wenzangu kipindi hicho!
Japo huu utafiti una bias umeegemea upande mmoja tu wa wahadhiri.Wapo pia wanafunzi ambao wanajirahisi kwa wahadhiri ili maisha yao chuoni yawe mepesi...huu utafiti ulitakiwa uangalie upande huo pia.
Kuna dada wa hapo mhadhiri alikuwa ana mtaka kinguvu na kumtaftia sababu a disco Hadi kumsingizia dada ka report Ila walivokaa hao wahadhiri wakamlinda mfanyakazi mwenzao then mwanafunzi akaondoka chuoni, so mwanafunzi ajirahisishe au lah kutoka na mwanamke ili apate favors flani naona ni kosa, na wahadhiri wengi ni wagonjwa so kazi yao kutumia hyo nafasi kueneza maradhi na kusumbua wanawake
 
Hujanielewa kabisa.
Sijahalalisha au kutetea rushwa ya ngono.
Ninachosema ni hivi wasichana wanajirahisisha wenyewe yaani hao ndio huwa waanzilishi wa mitego
Hamna mtu anayejirahisisha vile wewe sio mwanamke, wale watu hutumia kila mbinu vile Wana power kubwa ya kukufelisha makusudi, hivi wewe wahadhiri wengine wanajulikana status zao za ngoma ni Nani ajipeleke kisa marks, hyo ya kujirahisisha nalipinga kabisa, vipi na kukomoa wanaume wengine kisa swala la mademu?
Uzalilishaji ni wakupingwa either mtu kajipeleka au lala kwanini utumie nafasi yako kujifaidisha binafsi
 
Mbona enzi za nyuma haya mambo hayakuwepo? Walimu walifundisha kwa uadilifu na kwa uhakika; hawa wa sasa hivi, competence poor, halafu wanatanguliza mihemko yao mbele! SHAME!
Na wanawafunzi walikuwa wanavaa vizuri sio hawa wa sasa mapaja nje nje
 
Mimi sidhani kama mtu mzima huwa analazimishwa kufanya jambo baya.
Na kama unasema huwa wanatoa ngono kwa sababu ya kutishiwa kufelishwa ni wanafunzi wangapi waliwahi kwenda kushitaki na kuweka wazi?
Hamna mtu anayejirahisisha vile wewe sio mwanamke, wale watu hutumia kila mbinu vile Wana power kubwa ya kukufelisha makusudi, hivi wewe wahadhiri wengine wanajulikana status zao za ngoma ni Nani ajipeleke kisa marks, hyo ya kujirahisisha nalipinga kabisa, vipi na kukomoa wanaume wengine kisa swala la mademu?
Uzalilishaji ni wakupingwa either mtu kajipeleka au lala kwanini utumie nafasi yako kujifaidisha binafsi
 
Ndo maana nasemaga kuolewa na mhadhiri inataka moyo mkuu....ukiwa mke wake ujiandae kisaikolojia kupokea kesi na malalamiko na magonjwa juu!!! It's funny that almost 50 percent ya wahadhiri wenza wao ni wanafunzi waliowafundisha chuoni...[emoji1]
Nimesoma UD and as I write napata memories za cases kama hizo ninazokumbuka zilizonipata mimi na wanafunzi wenzangu kipindi hicho!
Japo huu utafiti una bias umeegemea upande mmoja tu wa wahadhiri.Wapo pia wanafunzi ambao wanajirahisi kwa wahadhiri ili maisha yao chuoni yawe mepesi...huu utafiti ulitakiwa uangalie upande huo pia.
Katika kufanya tafiti huwa tunatoa nafasi ya AREAS FOR FURTHER STUDIES,,,Ambacho ndo hicho wewe umetem kama bias!!!
 
Back
Top Bottom