Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Je mkeo ni kisu ..??Anasoma college gani..course gani....tuanzie hapo ili akija umpimage na ukimwiNina mke wangu anasoma Udom dah aiseee sijui atamaliza salama chuo au Ndio chakula cha wahadhiri
Ni kutembeza na kutandaza miti tu hamna namna. Don't let eligible poosey pass you untouched
🤪😃😃😀😄😁😆😅🤣😂Nina mke wangu anasoma Udom dah aiseee sijui atamaliza salama chuo au Ndio chakula cha wahadhiri
Naomba tu siku iyo nikamatwe na afisa takukuru wa kikeWewe endelea tu kutembeza na kutandaza hiyo miti! Ila siku tukikukamata, basi ujiandae kwa mashtaka ya uhujumu uchumi.
Wewe endelea tu kutembeza na kutandaza hiyo miti! Ila siku tukikukamata, basi ujiandae kwa mashtaka ya uhujumu uchumi.
Hilo nalo nenoIngekua 2000 tungekubali hiyo ripoti. Ila siku hizi wanafunzi ndo wanawafuata wahadhiri.
Ushetani tu, hamna lolote!Dress codes za maadili hazizingatiwi vyuoni. Kwa pande zote, pia wanafunzi hawataki kujituma na hawajihamini!
Bila kusahau dereva wa bodaboda hawa ni very important from bus stop to homeWahadhiri,konda wa daladala, Wanafunzi wenziwe na mwalimu wa tuition hawa lazima waonje papuchi za watu.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na hata kwenye mbio za mwenge ngono zipomm ndio maana sivitaki hivi vitoto vya chuo, kwanza sio visafi na vina mitego mingi ya ushswishi
vikija ofisini ndio kabisa ata barua za maombi hawajui sembuse taarifa
TAKKURU waongo ngono ni kila mahali hata kweny siasa na wajumbe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Swali muhimu sana hiliWahadhiri wangapi wamefukuzwa?
Na rushwa ya ngono Kwa wagombea ubunge Viti maalum je??