SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Pole sana, Uwe unasoma comment nzima na kuielewa, may be una hitilafu za kiufundi kwenye uelewa.kwahio ilitaka huyu askari aachwe. mbona unashindwa ku reason. kutokamatwa kwa wengine hakumfanyi huyo asksri kuachwa
Duu!!!! Mara nne ya Gawio la TTCL kwa mwaka! Ama kweli hawa jamaa wanachezea sharubu za King Lion.
Mkataba ulifutwa haukuwa effected. Hakuna malipo yoyote yaliyofanyika, hata laptop zilichukuliwaNa jana mh. Rais amewasamehe watu(maafisa wa zimamoto) tulioambiwa wameingia mkataba ulioli ingizia taifa hasara ya Tsh. Bil 1000 yaani Trilion 1.
Then alikua na haja gani ya kuwa-harass hadharani,tambo nyiiingi wkt hakuna kitu wamefanya.Mkataba ulifutwa haukuwa effected. Hakuna malipo yoyote yaliyofanyika, hata laptop zilichukuliwa
Ttcl wanatoa gawio halafu linapokuja suala la miundombinu chakavu ya Kampuni yao wanasema tunaisubiri serikali itupatie fedha za ukarabati,ajabu sana hio.Duu!!!! Mara nne ya Gawio la TTCL kwa mwaka! Ama kweli hawa jamaa wanachezea sharubu za King Lion.
Una chuki na kilimanjaro tangu siku nyingiAsilimia kubwa kwenye Hilo kundi wanatoka Kilimanjaro aisee
Vijitu ambavyo havijasoma Vina wivu sanaDah nilijua tu kina Minja,Lema,Temba lazima wapate namba,huwezi kuwaweka sub hawa watu
Kuna ajabu gan? Wao ndio wa kwanza kushtakiwa? Chuki dhidi ya wasomi wa kilimanjaro inakutafunaTemba na Minja wanatuwakilisha vyema kabisa
Alafu tunalilia ukombozi eti, wakati tunaishi kwa maigizo. Ndo maana Mimi huwa nakaa nawatazama tu na sinema zaoMa-tamthilia yanaendelea, huwa nasikitika sana nikikumbuka ishu ya yule askari aliyefukuzwa kazi baada ya video yake akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa daladala kusambaa.
Nasikitika Kwasababu alitolewa kafara wakati kuna watu wanapiga mipunga mizito inayoadhiri karibia kila MTANZANIA.
Hivi wale waliopunguza gawio la SERIKALI kwenye madini wako wapi?
Wale waliomsafirisha Twiga mpaka Uarabuni, je?
Lugumi naye alipotelea wapi?
Yule mkubwa na zile pesa za pembejeo?!
HUU MSUMENO WA TAKUKURU UKO UPANDE MMOJA TU?
Leo mko Kasi kwa CHADEMA wakati masoo kibao mmeyalia ganzi?
Elf 2 kwa nesi au daktari au askari anapoteza ajira na jela inamsubiri wakati kuna watu WALITIA SAINI MIKATABA MIBOVU YENYE HARUFU YA RUSHWA LEO BADO WAPO NA VYEO BUNGENI.
NB:
SITETEI KUPOKEA WALA KUTOA RUSHWA YA AINA WALA KIASI CHOCHOTE BALI HAYA NI MAWAZO YANGU YA RUSHWA INAVYOSHUGHULIKIWA HAPA KWETU TZ.
Haijaondoa dhamira yao ya kutaka kupiga dili. Kwani hawa wanatofauti gani na majambazi wanaokamatwa wakielekea eneo la tukio.Mkataba ulifutwa haukuwa effected. Hakuna malipo yoyote yaliyofanyika, hata laptop zilichukuliwa
Kwa sababu ulipelekwa mezani kwake ili usainiwe!Then alikua na haja gani ya kuwa-harass hadharani,tambo nyiiingi wkt hakuna kitu wamefanya.
Ameshawafanyia watu wangapi mambo ya hivo na hajarudi hadharani kuwaomba msamaha kwa kuwachafulia image yao huku yeye akijichukulia credit?
Waliaibishwa hadharani na kufukuzwa kazi!Haijaondoa dhamira yao ya kutaka kupiga dili. Kwani hawa wanatofauti gani na majambazi wanaokamatwa wakielekea eneo la tukio.
Hii adhabu imepitishwa lini na Bunge? ππππ Kwahiyo ni majambazi wangapi nao wamepewa hii adhabu?Waliaibishwa hadharani na kufukuzwa kazi!
Linganisha wizi wa kalamu na wizi wa bunduki SMG, G3, AK 47, nk. Atangulie wa kalamu kukuvamia!! Aaa utammudu kirahisi sana!! Siku nyingine aje wa AK47, (hapa utatoa mrejesho mwenyewe), halafua uniambie bunge lilipitisha lini sheria ya kumuwahi mtu hatari wa namna hiyo kama una uwezo wa kufanya hivyo.Hii adhabu imepitishwa lini na Bunge? ππππ Kwahiyo ni majambazi wangapi nao wamepewa hii adhabu?
Ila wao ni waoga kinyamaa,wanajitungia sheria wakitoka madarakani wapate kinga ya kutokamatwa,hahaha.Kwa sababu ulipelekwa mezani kwake ili usainiwe!
Ndo maana nikawasifu kabisaKuna ajabu gan? Wao ndio wa kwanza kushtakiwa? Chuki dhidi ya wasomi wa kilimanjaro inakutafuna
Na bado wapo idara zote
Anayeiba kwa kalamu na anayeiba kwa AK47(nakunukuu π) wote ni wezi maana wote wameiba ila tofauti ni adhabu watakazopata kwa mujibu wa Sheria za TANZANIA.Linganisha wizi wa kalamu na wizi wa bunduki SMG, G3, AK 47, nk. Atangulie wa kalamu kukuvamia!! Aaa utammudu kirahisi sana!! Siku nyingine aje wa AK47, (hapa utatoa mrejesho mwenyewe), halafua uniambie bunge lilipitisha lini sheria ya kumuwahi mtu hatari wa namna hiyo kama una uwezo wa kufanya hivyo.
Poor IQ!!!Anayeiba kwa kalamu na anayeiba kwa AK47(nakunukuu π) wote ni wezi maana wote wameiba ila tofauti ni adhabu watakazopata kwa mujibu wa Sheria za TANZANIA.
Ndo maana nimeuliza hii adhabu ya kusamehe mwizi imepitishwa lini na Bunge??
Kuhusu huyo mwenye Ak47 akija na kuiba atapewa kesi ya WIZI kama ya hao waliosamehewa ππ na akiua ataongezewa ya MAUAJI.
Mrejesho ndo huo.