TAKUKURU: Watu 8 wakiwamo Watumishi 7 wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kushitakiwa kwa makosa ya rushwa na Uhujumu Uchumi

TAKUKURU: Watu 8 wakiwamo Watumishi 7 wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kushitakiwa kwa makosa ya rushwa na Uhujumu Uchumi

kwahio ilitaka huyu askari aachwe. mbona unashindwa ku reason. kutokamatwa kwa wengine hakumfanyi huyo asksri kuachwa
Pole sana, Uwe unasoma comment nzima na kuielewa, may be una hitilafu za kiufundi kwenye uelewa.
 
Na jana mh. Rais amewasamehe watu(maafisa wa zimamoto) tulioambiwa wameingia mkataba ulioli ingizia taifa hasara ya Tsh. Bil 1000 yaani Trilion 1.
Mkataba ulifutwa haukuwa effected. Hakuna malipo yoyote yaliyofanyika, hata laptop zilichukuliwa
 
Mkataba ulifutwa haukuwa effected. Hakuna malipo yoyote yaliyofanyika, hata laptop zilichukuliwa
Then alikua na haja gani ya kuwa-harass hadharani,tambo nyiiingi wkt hakuna kitu wamefanya.

Ameshawafanyia watu wangapi mambo ya hivo na hajarudi hadharani kuwaomba msamaha kwa kuwachafulia image yao huku yeye akijichukulia credit?
 
Duu!!!! Mara nne ya Gawio la TTCL kwa mwaka! Ama kweli hawa jamaa wanachezea sharubu za King Lion.
Ttcl wanatoa gawio halafu linapokuja suala la miundombinu chakavu ya Kampuni yao wanasema tunaisubiri serikali itupatie fedha za ukarabati,ajabu sana hio.
 
kama yule bwana alikula na wao wacha wale nnakataza rushwa wakati wenyewe walaji wazur tyu mkidhurumiana ndio mnajifanya ooh tumeshika watu 8 kumbe kwenye dili hukuwekwa mbavuuuuu
 
Asilimia kubwa kwenye Hilo kundi wanatoka Kilimanjaro aisee
Una chuki na kilimanjaro tangu siku nyingi
Makosa hayachagui kabila
Vipi rugemalila,Seth não ni wa kilimanjaro ?
Endelea kucheza baikoko kwenu mkuranga huko sisi tunaendelea kupiga kitabu ndio maana kila idara tupo
 
Dah nilijua tu kina Minja,Lema,Temba lazima wapate namba,huwezi kuwaweka sub hawa watu
Vijitu ambavyo havijasoma Vina wivu sana
Hizi ni tuhuma tu mkuu
Na wizi hauna Kabila,Seth, rugemalila não ni kina temba?
Sisi na elimu endelea kucheza baikoko hapo kimazichana
 
Ma-tamthilia yanaendelea, huwa nasikitika sana nikikumbuka ishu ya yule askari aliyefukuzwa kazi baada ya video yake akipokea rushwa kutoka kwa dereva wa daladala kusambaa.

Nasikitika Kwasababu alitolewa kafara wakati kuna watu wanapiga mipunga mizito inayoadhiri karibia kila MTANZANIA.

Hivi wale waliopunguza gawio la SERIKALI kwenye madini wako wapi?

Wale waliomsafirisha Twiga mpaka Uarabuni, je?

Lugumi naye alipotelea wapi?

Yule mkubwa na zile pesa za pembejeo?!

HUU MSUMENO WA TAKUKURU UKO UPANDE MMOJA TU?
Leo mko Kasi kwa CHADEMA wakati masoo kibao mmeyalia ganzi?

Elf 2 kwa nesi au daktari au askari anapoteza ajira na jela inamsubiri wakati kuna watu WALITIA SAINI MIKATABA MIBOVU YENYE HARUFU YA RUSHWA LEO BADO WAPO NA VYEO BUNGENI.

NB:
SITETEI KUPOKEA WALA KUTOA RUSHWA YA AINA WALA KIASI CHOCHOTE BALI HAYA NI MAWAZO YANGU YA RUSHWA INAVYOSHUGHULIKIWA HAPA KWETU TZ.
Alafu tunalilia ukombozi eti, wakati tunaishi kwa maigizo. Ndo maana Mimi huwa nakaa nawatazama tu na sinema zao
 
Then alikua na haja gani ya kuwa-harass hadharani,tambo nyiiingi wkt hakuna kitu wamefanya.

Ameshawafanyia watu wangapi mambo ya hivo na hajarudi hadharani kuwaomba msamaha kwa kuwachafulia image yao huku yeye akijichukulia credit?
Kwa sababu ulipelekwa mezani kwake ili usainiwe!
 
Unaposamehe bahadhi na wengine ukawaacha, sio sawa kabisa. Inatakiwa vigezo vya kusamehe viwe wazi ili kila mtu aweze kuvitumia.

Mungu pekee ndiye mwenye hukumu ya haki, wengine magumashi tu
 
Hii adhabu imepitishwa lini na Bunge? 😂😂😂😂 Kwahiyo ni majambazi wangapi nao wamepewa hii adhabu?
Linganisha wizi wa kalamu na wizi wa bunduki SMG, G3, AK 47, nk. Atangulie wa kalamu kukuvamia!! Aaa utammudu kirahisi sana!! Siku nyingine aje wa AK47, (hapa utatoa mrejesho mwenyewe), halafua uniambie bunge lilipitisha lini sheria ya kumuwahi mtu hatari wa namna hiyo kama una uwezo wa kufanya hivyo.
 
Linganisha wizi wa kalamu na wizi wa bunduki SMG, G3, AK 47, nk. Atangulie wa kalamu kukuvamia!! Aaa utammudu kirahisi sana!! Siku nyingine aje wa AK47, (hapa utatoa mrejesho mwenyewe), halafua uniambie bunge lilipitisha lini sheria ya kumuwahi mtu hatari wa namna hiyo kama una uwezo wa kufanya hivyo.
Anayeiba kwa kalamu na anayeiba kwa AK47(nakunukuu 😎) wote ni wezi maana wote wameiba ila tofauti ni adhabu watakazopata kwa mujibu wa Sheria za TANZANIA.
Ndo maana nimeuliza hii adhabu ya kusamehe mwizi imepitishwa lini na Bunge??
Kuhusu huyo mwenye Ak47 akija na kuiba atapewa kesi ya WIZI kama ya hao waliosamehewa 😂😂 na akiua ataongezewa ya MAUAJI.
Mrejesho ndo huo.
 
Anayeiba kwa kalamu na anayeiba kwa AK47(nakunukuu 😎) wote ni wezi maana wote wameiba ila tofauti ni adhabu watakazopata kwa mujibu wa Sheria za TANZANIA.
Ndo maana nimeuliza hii adhabu ya kusamehe mwizi imepitishwa lini na Bunge??
Kuhusu huyo mwenye Ak47 akija na kuiba atapewa kesi ya WIZI kama ya hao waliosamehewa 😂😂 na akiua ataongezewa ya MAUAJI.
Mrejesho ndo huo.
Poor IQ!!!
 
Back
Top Bottom