Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanuaubora wa bidhaa una uhusiano 100% la rushwa.
Mimi nlijikongoja niliweka milango 5, mbao ya mkongo..... Mbao nmenunua mwenyewe keko mkongo original pisi kadhaaaa...... Tena hakuna mtu mbishi kama mm maana nayajua machocho yteIzo ndo bei mkuu za mlango bado fremu mm naona ata mzabuni nae hayupo serious kisa kusainishwa milion 28.
Kwa Dar unaongelea sio chini ya 900,000/- top na fremu yake. Sijajua Manyara wao mbao za mninga wanatoa wapiMbao ngumu mfano ni mininga na mkongo
Hivi bei ya mlango mninga au mkongo Pamoja na frame yake bei inakwendaje? Tuanze hapo kwanza
Ova
ilikua 1990Mlango wa mbao ngumu ikizidi sana 150,000/=. Mi nshawahi kusimamia nyumba ya mzee
Majungu na umbeya
Mbaongumu nibeiDah hii hatari yan mlango mmoja 337,000/=hakuna kazi apo na fremu je ukiskia mbuzi kala goat ndo uko.
450,000 hadi laki 5 fremu pamoja na top yake kwaMbao ngumu mfano ni mininga na mkongo
Hivi bei ya mlango mninga au mkongo Pamoja na frame yake bei inakwendaje? Tuanze hapo kwanza
Ova
Bei ya wapi hiyoKwa bei ya 337,000 sio sawa mninga, mkola na mkongo sijui kwa maana mbao ngumu ikizid sana 230, 000 kwa bei ya Serikali kwa watu binafsi inacheza 150,000 mpaka 200,000 so kwa mazingira hayo hapo kuna shida fulani
Ni kweliMlango wa mbao ngumu ikizidi sana 150,000/=. Mi nshawahi kusimamia nyumba ya mzee
Wewe hujui hata kinachoongelewa hapa.nenda kapikeMlango wa mbao ngumu ikizidi sana 150,000/=. Mi nshawahi kusimamia nyumba ya mzee
Sana mkuu na huwa hazifiki futi 10 au 12 nyingi huishia futi 8 hasa mninga na mkongo.Mbaongumu nibei
Hapo kuna deal. Katoa cha juu, kapewa tenda na ili kupata faida katengeneza milango iliyo chini ya kiwango. Mkataba unambana na hivyo imekula kwake.Kwa hiyo bei nina mashaka kama MTU anaweza kupata Mlango Wa mbao ngumu..
Bado unaishi kwa babako bei ya mlango utaifahamu vipi?Siyo kweli. Jaribu kutunga uongo mwingine. Huu umebuma
Nyamaza tu we hujui kituMlango wa mbao ngumu ikizidi sana 150,000/=. Mi nshawahi kusimamia nyumba ya mzee
Kweli mm hapo tu mlangoKwa Dar unaongelea sio chini ya 900,000/- top na fremu yake. Sijajua Manyara wao mbao za mninga wanatoa wapi
We unaishi kwa baba bado mambo haya huwez kujuaSiyo kweli. Jaribu kutunga uongo mwingine. Huu umebuma
TBS/CAG/IGP/JUDGES/ name others
Labda surplus hzoMlango wa mbao ngumu ikizidi sana 150,000/=. Mi nshawahi kusimamia nyumba ya mzee