mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Fafanua
kama bidhaa ni bora kama ilivyokusudiwa,rushwa haiwezi kuwepo eneo hilo,ikiwa mbovu rushwa iko around tena nyuma ya nyumba hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua
Labda Kama ulikuwa mlango wa kibanda cha Kuku.Mlango wa mbao ngumu ikizidi sana 150,000/=. Mi nshawahi kusimamia nyumba ya mzee
Sawa Jane msambwandaNnajua maisha kuliko wewe mbilikimo
Sawa Bibi Jane.Nna pesa kuliko wewe.
Nishanunuaga mwenyewe mbao ngumu mkongo
Mbao moja waliniuzia kwa 87000 mkongo
Nlichukua pisi kadhaa ilitengeneze milango 5
Mlango mmoja ulinigarimu 450,000 hyo mpaka finishing yake mpaka polish etc
Chini ya hapo huwez kupata mbao ngumu utauziwa au kuwekewa mbao iliyopigwa rangi tu
Kwa waliyofanya ujenzi wanaelewa
Sasa hyo milango wanayosema wao Labda size zake ni vidogo
Ova
Mzee wako kajenga banda sio nyumba hivyo kaa tulia bandani.Mlango wa mbao ngumu ikizidi sana 150,000/=. Mi nshawahi kusimamia nyumba ya mzee
Nakazia hapa!!Hivi takukuru wanahusika na ubora wa bidhaa au rushwa[emoji15]?
Wapi naweza pata kwa bei hiyo Boss?Kwa bei ya 337,000 sio sawa mninga, mkola na mkongo sijui kwa maana mbao ngumu ikizid sana 230, 000 kwa bei ya Serikali kwa watu binafsi inacheza 150,000 mpaka 200,000 so kwa mazingira hayo hapo kuna shida fulani
Maana yake Taasisi ya kupambana na kudhibiti rushwa.
Usiangalie rushwa katika small circle, iangalie katika mapana yake. Value for money inahusika na rushwa. Pale unapotengeneza kitu kisichoendana na thamani au ubora uliokusudiwa inategemea ni nini kama sio mazingira yabrushwa na ubadhilifu. Kuna mtandao hapo unakuwa umejipangaNakazia hapa!!
Hizi bei hazipoKwa bei ya 337,000 sio sawa mninga, mkola na mkongo sijui kwa maana mbao ngumu ikizid sana 230, 000 kwa bei ya Serikali kwa watu binafsi inacheza 150,000 mpaka 200,000 so kwa mazingira hayo hapo kuna shida fulani
Nakubaliana na wewe 100%.Nilitarajia wafatilie kama kuna mgawo ulitembea hadi mzabuni kuweza kuweka miliango isiyo ubora,bila kizuizi chochote.Usiangalie rushwa katika small circle, iangalie katika mapana yake. Value for money inahusika na rushwa. Pale unapotengeneza kitu kisichoendana na thamani au ubora uliokusudiwa inategemea ni nini kama sio mazingira yabrushwa na ubadhilifu. Kuna mtandao hapo unakuwa umejipanga
Nimetafuta kwenye kamusi hili neno “siriziki”,nimeambulia patupu. Hii ni aina ya milango,au ni mti au mzizi fulani?Bila picha ya milango siriziki .... Niko siti ya mbele
Duh TAKUKURU wanafanya kazi za uhandisi siku hizi! Wanaweza kunijengea nyumba yangu niwape tenda?Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa wilayani Hanang mkoa wa Manyara imemuamuru Mzabuni Ayubu Iyaka aliyepewa kazi ya kutengeneza na kupachika milango kwenye jengo la kituo cha Afya cha Hirbadaw, kuondoa milango yote 83 aliyoweka kwenye kituo hicho baada ya kubainika haina Ubora.
Takukuru imebaini hayo baada ya maafisa wake kufanya ukaguzi kwenye kituo hicho ambapo aliingia mkataba na Halmashauri hiyo kutengeneza na kupachika milango 83 yenye ubora iliyotengenezwa kwa kutumia mbao ngumu kwa gharama ya shilingi Milioni 28,000,000.
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Manyara Holle Makungu Septemba 24,2020, amesema wamejiridhisha kuwa kwa makusudi Mzabuni huyo aliamua kukiuka mkataba akatengeneza na kuweka kwenye jengo hilo la Kituo cha Afya milango hiyo isiyokuwa na ubora.
Pamoja na hayo amesema Halmashauri ilishamlipa shilingi Milioni 14,000,000 ambazo ni nusu ya fedha walizoingia mkataba.
Makungu amesema milango hiyo ambayo inadaiwa kuwa ni mipya, imeonekana ikiwa imepasuka,mingine imepinda na kuvunjika kabla ya kituo kuanza kutumika.
Amesema kufuatia hayo Takukuru wilayani Hanang, imemuamuru Mzabuni huyo kuondoa milango yote 83 na kutengeneza mingine yenye ubora unaokubalika katika majengo ya serikali na kwa mujibu wa mkataba alioingia na Halmashauri, na kwamba ataruhusiwa kuweka milango hiyo baada ya kukaguliwa na kujiridhisha kama ubora wake umekidhi vigezo.
Takukuru imewaasa Wazabuni wanaopenda kufanya kazi na serikali kuwa waadilifu na kuzingatia mikataba ya kazi, huku ikitoa rai kwa watumishi wa Umma waliopewa dhamana ya kusimamia miradi ya Umma kutimiza wajibu wao kwa kuhakikisha miradi inatekelezwa katika ubora unaokubalika.
Aiyetakiwa kuwajibishwa ni Afisa manunuzi na "Inspection Team" yake. Wote hao wamekula rushwa. Pia "Advance Payment" huwa ni "discouraged" sana katika manunuzi ya Serikalini. Walitumia kigezo gani, yeye, Bosi wake, na Mhasibu?Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa wilayani Hanang mkoa wa Manyara imemuamuru Mzabuni Ayubu Iyaka aliyepewa kazi ya kutengeneza na kupachika milango kwenye jengo la kituo cha Afya cha Hirbadaw, kuondoa milango yote 83 aliyoweka kwenye kituo hicho baada ya kubainika haina Ubora.
Takukuru imebaini hayo baada ya maafisa wake kufanya ukaguzi kwenye kituo hicho ambapo aliingia mkataba na Halmashauri hiyo kutengeneza na kupachika milango 83 yenye ubora iliyotengenezwa kwa kutumia mbao ngumu kwa gharama ya shilingi Milioni 28,000,000.
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Manyara Holle Makungu Septemba 24,2020, amesema wamejiridhisha kuwa kwa makusudi Mzabuni huyo aliamua kukiuka mkataba akatengeneza na kuweka kwenye jengo hilo la Kituo cha Afya milango hiyo isiyokuwa na ubora.
Pamoja na hayo amesema Halmashauri ilishamlipa shilingi Milioni 14,000,000 ambazo ni nusu ya fedha walizoingia mkataba.
Makungu amesema milango hiyo ambayo inadaiwa kuwa ni mipya, imeonekana ikiwa imepasuka,mingine imepinda na kuvunjika kabla ya kituo kuanza kutumika.
Amesema kufuatia hayo Takukuru wilayani Hanang, imemuamuru Mzabuni huyo kuondoa milango yote 83 na kutengeneza mingine yenye ubora unaokubalika katika majengo ya serikali na kwa mujibu wa mkataba alioingia na Halmashauri, na kwamba ataruhusiwa kuweka milango hiyo baada ya kukaguliwa na kujiridhisha kama ubora wake umekidhi vigezo.
Takukuru imewaasa Wazabuni wanaopenda kufanya kazi na serikali kuwa waadilifu na kuzingatia mikataba ya kazi, huku ikitoa rai kwa watumishi wa Umma waliopewa dhamana ya kusimamia miradi ya Umma kutimiza wajibu wao kwa kuhakikisha miradi inatekelezwa katika ubora unaokubalika.
Tender huwa ni hiari, ila usidanganye bei na material, matokeo yake ndiyo hayoNishanunuaga mwenyewe mbao ngumu mkongo
Mbao moja waliniuzia kwa 87000 mkongo
Nlichukua pisi kadhaa ilitengeneze milango 5
Mlango mmoja ulinigarimu 450,000 hyo mpaka finishing yake mpaka polish etc
Chini ya hapo huwez kupata mbao ngumu utauziwa au kuwekewa mbao iliyopigwa rangi tu
Kwa waliyofanya ujenzi wanaelewa
Sasa hyo milango wanayosema wao Labda size zake ni vidogo
Ova