TAKUKURU yaagiza milango 83 ya kituo kipya cha Afya kuondolewa kutokana na kukosa ubora uliohitajika

Acha akipate.Ni nani aliyemwambia ku tender bei ndogo ili tu ashinde zabuni!
 
Hii bei waliyoweka hapo (Tshs 28,000,000/) ni ya milango ya mbao za mti wa Mtundu kwa Mninga milango 83 ingegharimu Tshs 40,000,000/ almost
 
Kwa bei ya 337,000 sio sawa mninga, mkola na mkongo sijui kwa maana mbao ngumu ikizid sana 230, 000 kwa bei ya Serikali kwa watu binafsi inacheza 150,000 mpaka 200,000 so kwa mazingira hayo hapo kuna shida fulani
Wapi naweza pata kwa bei hiyo Boss?
 
Nakazia hapa!!
Usiangalie rushwa katika small circle, iangalie katika mapana yake. Value for money inahusika na rushwa. Pale unapotengeneza kitu kisichoendana na thamani au ubora uliokusudiwa inategemea ni nini kama sio mazingira yabrushwa na ubadhilifu. Kuna mtandao hapo unakuwa umejipanga
 
Nakubaliana na wewe 100%.Nilitarajia wafatilie kama kuna mgawo ulitembea hadi mzabuni kuweza kuweka miliango isiyo ubora,bila kizuizi chochote.
 
Bila picha ya milango siriziki .... Niko siti ya mbele
Nimetafuta kwenye kamusi hili neno “siriziki”,nimeambulia patupu. Hii ni aina ya milango,au ni mti au mzizi fulani?
 
Duh TAKUKURU wanafanya kazi za uhandisi siku hizi! Wanaweza kunijengea nyumba yangu niwape tenda?
 
Aiyetakiwa kuwajibishwa ni Afisa manunuzi na "Inspection Team" yake. Wote hao wamekula rushwa. Pia "Advance Payment" huwa ni "discouraged" sana katika manunuzi ya Serikalini. Walitumia kigezo gani, yeye, Bosi wake, na Mhasibu?
 
T
Tender huwa ni hiari, ila usidanganye bei na material, matokeo yake ndiyo hayo
 
Kufanya hizi kazi mnaita za force acc ni ujinga mtupu maana tenda bei chini kila mtu msimamizi anataka akutoe hela yaani Kuna lundo la maafisa wasimamizi kuanzia wanakamati Hadi wauguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…