TAKUKURU yaingilia kati sakata la Makonda na GSM. GSM aliripoti hati ya kiwanja kupotea

Mwaka 2013 Makonda alikua hohehai hana hela ya kununua kiwanja mikocheni kwa 120M

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Makonda atuonyeshe bank transfer aliyomlipa GSM, aonyeshe pia malipo ya serikali kwa ajili ya transfer na pia atuonyeshe baada ya kununua kiwanja aliingiza kwemye daftari za mali za watumishi wa umma.

Kama vyote hana basi alitaka kupora eneo la watu, pili kesi ya uhujumu uchumi kwa kuinyima serikali mapato inamhusu na pia kesi ya utakatishaji pia inamhusu.

Hili jambo sio dogo kama tunavyoona kwemye kesi ya maimuna na Ngoswe wakigombea kiwanja.
 
Baba alifariki watoto ni yatima wanateseka Sana hawa ila mama yao hana mpango nao maana walivimba endi za uhai wa baba
 
GSM anadai kafanya mkataba wa ujenzi wa milioni 640 na kampuni ya Group 6 International mnamo mwaka 2016, hapohapo Makonda anadai yeye ndiyo anafanya ujenzi pale unaosimamiwa na mdogo wake tokea 2018 na kanunua kila kitu kwenye eneo hadi AC na vifaa vingine vya ujenzi na risiti anazo. Hapo nani anadanganya?
 
Baba alifariki watoto ni yatima wanateseka Sana hawa ila mama yao hana mpango nao maana walivimba endi za uhai wa baba
Nyie baba yenu akiwa na nguvu mlikuwa mnatuonea Sana na kutudharau.
Maisha ama binadamu na Mali na pesa ujue kuvitenganisha ili uishi vizuri. Ukianguka na gari lako no watu watakaokusaidia na sio mipesa yako ndnai ya gari lako..sio upate pesa uwe limbukeni ujione kuwa waweza kuiendesha dunia Kama familia yako.
 
umeongea ukweli
 
Ni kweli ukifuatilia mazingira ya maelezo haya inaonekana Makonda alipewa kiwanja enzi zile za utawala ulee ambao mtoto kipenzi akikufanyia dhuruma yoyote mahali pakukimbila hapakuwepo zaidi ya kukubaliana na mtoto kipenzi wa baba mwenye nyumba.

Na watakuwa walifanya hivyo kwa usalama wao, tofauti na hivyo habari za kuhusika na madawa ya kulevya zingewahusu, kuvamiwa na watu wasiojulikana pengine na hata kuvamiwa na mtoto kipenzi wa baba mwenye nyumba kungewahusu.
 
Patamu hapo
 

Hamduni ananyatia kichwa cha Makonda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…