Hii story ya hati ya kiwanja kupotea kuna mahali ililetwa nikaiona, kumbe ni kweli huu mchezo GSM atakuwa alitoa kiwanja kwa Makonda wakati Makonda akiwa mkubwa sasa wamemgeuka baada ya "godfather" wake kuondoka, huu mchezo naona umechezwa na "wajanja" huko wizarani.
Kweli kutesa kwa zamu, naona TAKUKURU wameiwahi hii issue mapema ili kuwatuliza walioshika mpini kwa sasa, TAKUKURU ni ofisi fulani inayotumiwa na watawala na marafiki zao kwa mapenzi yao binafsi, sio kwa manufaa ya umma kwani wizi unaotokea huko serikalini kwa viongozi kuhusika huwa hawasemi chochote.