TAKUKURU yaingilia kati sakata la Makonda na GSM. GSM aliripoti hati ya kiwanja kupotea

TAKUKURU yaingilia kati sakata la Makonda na GSM. GSM aliripoti hati ya kiwanja kupotea

Walikua wapi siku zote wakati anapora mali za watu kwa kigezo cha cheo cha ukuu wa mkoa? nchi hii ina mavituko sana , hata mahakama ndio hivyo hivyo hadi waelekezwe hawana cha kufanya kwa akili zao wenyewe bila kuambiwa
 
Kwa hiyo Mr. Makonda hakuona tangazo la kupotea kwa hati?
Wanasheria walishatoa angalizo kuwa, GSM alimuuzia Makonda, na ktk mauziano GSM hakuweka vitu sahihi mfano alihakikisha picha na mihuri tofauti na pia alihakikisha mamlaka zingine hazijaweka sahihi lakini pia GSM alihakikisha anaweka sahihi za uongo na baada ya hapo akatangaza kupotelewa hati. Kwa ufupi GSM ni tapeli.
 
Yaani inawezekana walimpa hati halafu wakaripoti kupotea
Nijuavyo Mimi huu mchezo makonda aliucheza wakati wa Baba
Inawezekana wakati huo walipeana hicho kiwanja kibabe or otherwise, na mtoaji hakuridhika. Kwa nguvu iliyokuwepo kabla, mtoaji akawa mpole na kusema hewala. Nguvu ilipoyeyuka akili ikamcheza mtoaji kuwa why? Umafia ukarudi kazini, connections hapa na pale, ripoti za upotevu na shahidi mbali mbali zikaundwa......mtoaji akarudi barabarani na single yake....aliyebaki kazi kwake kuuhakikishia umma kuwa ni mmiliki halali.

Haiingii akilini, kwa uswaiba tuliokuwa tunauona, kama ulikuwa feki hilo lao, leo hii hawa ni wa kudaiana viwanja....?
 
Huko nyuma,inawezekana Bashite, alipita eneo la kiwanja namba 60,alipouliza mmiliki,akaambiwa ni GSM akatoa amri hati ipelekwa ofisini kwa Bashite kwa hiari kwa kuwa walikuwa marafiki au nguvu kwa kuogopa mkono wa chuma ukikaidi,(watu wasiojulikana).
Baada ya Bashite kuvuliwa u-RC ,GSM ndiyo ameanza kufuatilia haki zake.
Serikali ya awamu ya tano nilikuwa na vijana,wadhulumati hapa Dar es Salaam,Hai na Arusha kwa sababu walikuwa vipenzi vya Mamlaka ya Juu
 
Hii story ya hati ya kiwanja kupotea kuna mahali ililetwa nikaiona, kumbe ni kweli huu mchezo GSM atakuwa alitoa kiwanja kwa Makonda wakati Makonda akiwa mkubwa sasa wamemgeuka baada ya "godfather" wake kuondoka, huu mchezo naona umechezwa na "wajanja" huko wizarani.

Kweli kutesa kwa zamu, naona TAKUKURU wameiwahi hii issue mapema ili kuwatuliza walioshika mpini kwa sasa, TAKUKURU ni ofisi fulani inayotumiwa na watawala na marafiki zao kwa mapenzi yao binafsi, sio kwa manufaa ya umma kwani wizi unaotokea huko serikalini kwa viongozi kuhusika huwa hawasemi chochote.
Hapo kuna kitu hakisemwi makussudi. Anaweza kushinda mtu kwa hoja za kisheiria lakini ku.mbe nadiya akawa mdhulumaji.

Inawezekana bashite anayo hati hiyo iliyopotea kihalali kabisa ila anageuziwa kibao
 
Hapa inaonekana Kuna makubaliano halali yalifanyika kati ya GSM na Makonda kuhusu ununuzi wa kiwanja.Na yalifanyika wakati Makonda Ni mkuu wa mkoa.Sasa GSM amegeuka hayo makubaliano.Anaanza uongo.GSM anashirikiana na Ridhiwani Kikwete kudanganya umma.GSM inaonekana hana elimu .
Kama makubaliano yao yalikuwa ya halali kabisa,sidhani kama wangegeukana,bila shaka kulikuwa na vitisho ndani yake ,Kama vitisho havipo tena kwanini usidai haki yako.
 
Hapa inaonekana Kuna makubaliano halali yalifanyika kati ya GSM na Makonda kuhusu ununuzi wa kiwanja.Na yalifanyika wakati Makonda Ni mkuu wa mkoa.Sasa GSM amegeuka hayo makubaliano.Anaanza uongo.GSM anashirikiana na Ridhiwani Kikwete kudanganya umma.GSM inaonekana hana elimu .
Sasa mwenye elimu hakuona tangazo la GSM la kupotewa hati? si angejitokeza na kupinga hilo tangazo..ona sasa elimu yake ilipomfikisha hadi "kuwasingizia" polisi kuwa "wanatumika" kumtapeli!...Ridhiwani kaingiaje hapa? kwanini asiwe Anjela Mabula?....Karibuni mjini!
 
Sasa mwenye elimu hakuona tangazo la GSM la kupotewa hati? si angejitokeza na kupinga hilo tangazo..ona sasa elimu yake ilipomfikisha hadi "kuwasingizia" polisi kuwa "wanatumika" kumtapeli!...Ridhiwani kaingiaje hapa? kwanini asiwe Anjela Mabula?....Karibuni mjini!
Kwa mtu yeyote mwenye akili akiangalia issue nzima,utagundua tu kulikuwa na makubaliano kati ya hao wawili.Huyu anayejiita GSM ni marafiki wa Kikwete wanaotumia vibaya ,madaraka ya Kikwete Kama Rais msataafu kupora mali za watu.Yaan bongo ,mambo mengi yanaendeshwa kihuni tu.Unaingia mkataba ,baadae utawala umebadilika.Unadai umeibiwa hati.Watu wa aina hii ni hatari Sana.Swali .Kwann GSM aliuza hicho kiwanja?Kwanini amebadilika?Eti Sasa ameibiwa hati.Huo ni uhuni.
 
Hii story ya hati ya kiwanja kupotea kuna mahali ililetwa nikaiona, kumbe ni kweli huu mchezo GSM atakuwa alitoa kiwanja kwa Makonda wakati Makonda akiwa mkubwa sasa wamemgeuka baada ya "godfather" wake kuondoka, huu mchezo naona umechezwa na "wajanja" huko wizarani.

Kweli kutesa kwa zamu, naona TAKUKURU wameiwahi hii issue mapema ili kuwatuliza walioshika mpini kwa sasa, TAKUKURU ni ofisi fulani inayotumiwa na watawala na marafiki zao kwa mapenzi yao binafsi, sio kwa manufaa ya umma kwani wizi unaotokea huko serikalini kwa viongozi kuhusika huwa hawasemi chochote.
TAKUKURU ndiyo dodoki rasmi la kuwasafisha watawala wa CCM na wapendwa wao.
 
GSM walipona kuhusiwa na biashara ya madawa sababu walijisalimisha mapema kwa mtoto wa mfalme. Hata kiwanja awakutoa kwa hiari
 
Wanachobishana ni kitu simple sana..

Kila mtu apeleke vithibitisho kwenye mamlaka husika... Au kuna ugumu gani hapo????

Au ndio wanataka kumaliza tu muda wa watu.
 
Hapa inaonekana Kuna makubaliano halali yalifanyika kati ya GSM na Makonda kuhusu ununuzi wa kiwanja.Na yalifanyika wakati Makonda Ni mkuu wa mkoa.Sasa GSM amegeuka hayo makubaliano.Anaanza uongo.GSM anashirikiana na Ridhiwani Kikwete kudanganya umma.GSM inaonekana hana elimu .
bashite ndio hamna shule! kama kiwanja ni chake kwanini asipeleke document?

yule alikuwa anapora watu mali zao kwa kutumia wadhifa wake

tuliona hata kipindi kile alipowapora watu magari yao

sasa kwa utawala huu bashite hatobaki salama sababu pindi alipokuwa madarakani alitengeneza sana maadui

kwa sasa walioshika hatamu ni watoto wa mjini !
 
Back
Top Bottom