Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well..Katika Ligi ambazo hazipo well published/documented hasa kidigitali basi ni Ligi ya Congo. Unaweza taafuta taarifa muhimu kabisa lakini ukashindwa kuzipata online.Njoo na source inayoonesha Baleke akiwa top scorer.. naahidi hapa sitaingia JF kwa mwezi mzima endapo utakuja na trusted source itakayoonesha hilo
Mkuu safii..umemalizaWell..Katika Ligi ambazo hazipo well published/documented hasa kidigitali basi ni Ligi ya Congo. Unaweza taafuta taarifa muhimu kabisa lakini ukashindwa kuzipata online.
Kama ulijaribu either ku-google, basi utapata taarifa nyingi baada ya kutua Simba au alivyokwenda Lebanon ila kabla ya hapo utakua kwenye grey area.
Sasa ukitaka kupata taarifa za Congo ni bora uka-opt kutumia social media zaidi kuliko website/blogs.
Simple: Kama wewe ni Shabiki wa Yanga basi moja ya watu unao-waamini ni Digital Manager(Privadinho).
Ingia kwenye account yake(twitter), then search Baleke, utapata majibu(Japo nitapost screenshot pia).
N.B. Sitopenda ukose maarifa ya jamiiforums mwezi mzima, kisa tu hukuamini Jean Baleke alikua Top Scorer mbele ya Mayele. Sisi wewe tu, Ni wengi hawatambui hili. Kwahiyo personally navunja hicho kiapo na uendelee ku-enjoy madini na Vayolence za hapa jukwaani.
Mangungu endelea kuburuza hawa MbumbumbuNimejitolea kukuletea Namba za Mr. Musonda, Kijana mwenye wastani wa Magoli 4.2 kila msimu.
To rub more salt into Yanga's Wound. Huyo Baleke alikua Top Scorer(Juu ya King Mayele)
Hapa nimetafuta vayolence, sitabaki salama.
Sijawahi kuona top scorer anatolewa kwa mkopoWell..Katika Ligi ambazo hazipo well published/documented hasa kidigitali basi ni Ligi ya Congo. Unaweza taafuta taarifa muhimu kabisa lakini ukashindwa kuzipata online.
Kama ulijaribu either ku-google, basi utapata taarifa nyingi baada ya kutua Simba au alivyokwenda Lebanon ila kabla ya hapo utakua kwenye grey area.
Sasa ukitaka kupata taarifa za Congo ni bora uka-opt kutumia social media zaidi kuliko website/blogs.
Simple: Kama wewe ni Shabiki wa Yanga basi moja ya watu unao-waamini ni Digital Manager(Privadinho).
Ingia kwenye account yake(twitter), then search Baleke, utapata majibu(Japo nitapost screenshot pia).
N.B. Sitopenda ukose maarifa ya jamiiforums mwezi mzima, kisa tu hukuamini Jean Baleke alikua Top Scorer mbele ya Mayele. Sisi wewe tu, Ni wengi hawatambui hili. Kwahiyo personally navunja hicho kiapo na uendelee ku-enjoy madini na Vayolence za hapa jukwaani.
Yaani duniani nzima anayejua/ mwenye taarifa kuhusu utop scorer wa Baleke ni Privadinho peke yake? Kitu ambacho kwenye ulimwengu wa utandawazi hakiwezekani. Kapekue google ulete hapa Baleke akiwa top scorer sio ulete habari za PrivadinhoWell..Katika Ligi ambazo hazipo well published/documented hasa kidigitali basi ni Ligi ya Congo. Unaweza taafuta taarifa muhimu kabisa lakini ukashindwa kuzipata online.
Kama ulijaribu either ku-google, basi utapata taarifa nyingi baada ya kutua Simba au alivyokwenda Lebanon ila kabla ya hapo utakua kwenye grey area.
Sasa ukitaka kupata taarifa za Congo ni bora uka-opt kutumia social media zaidi kuliko website/blogs.
Simple: Kama wewe ni Shabiki wa Yanga basi moja ya watu unao-waamini ni Digital Manager(Privadinho).
Ingia kwenye account yake(twitter), then search Baleke, utapata majibu(Japo nitapost screenshot pia).
N.B. Sitopenda ukose maarifa ya jamiiforums mwezi mzima, kisa tu hukuamini Jean Baleke alikua Top Scorer mbele ya Mayele. Sisi wewe tu, Ni wengi hawatambui hili. Kwahiyo personally navunja hicho kiapo na uendelee ku-enjoy madini na Vayolence za hapa jukwaani.
Kwahiyo mnamlipa mshahara ili awe anawadanganyaYaani duniani nzima anayejua kuhusu magoli ya Baleke ni Privadinho peke yake? Kitu ambacho kwenye ulimwengu wa utandawazi hakiwezekani. Kapekue google ulete hapa Baleke akiwa top scorer sio ulete habari za Privadinho
La pili kwangu huyu sio trusted source labda kwako, kipindi cha usajili kadanganya sana kuhusu Luis Miquisone.
Priva ni source ya kuaminika huko kwenu umbumbumbuniKwahiyo mnamlipa mshahara ili awe anawadanganya
Hahahaha, top scorer wa ligi ya bongo 2021/22 Yuko wapi? (George Mpole)Sijawahi kuona top scorer anatolewa kwa mkopo
Kwani huu ni uzi wa takwimu za Musonda vs Baleke kwenye ligi kuu au kwa mashindano yote?Kwani huyo muzonda ana bao ngapi ligi kuu?
yupo kwa mkopo?Hahahaha, top scorer wa ligi ya bongo 2021/22 Yuko wapi? (George Mpole)
NImeuliza tuu jamenii..basi usiku mwemaKwani huu ni uzi wa takwimu za Musonda vs Baleke kwenye ligi kuu au kwa mashindano yote?
Yuko wapi?yupo kwa mkopo?
Umeni-disappoint sana Mkuu. Mbona nimeeleza kila kitu katika ile reply?Yaani duniani nzima anayejua kuhusu magoli ya Baleke ni Privadinho peke yake? Kitu ambacho kwenye ulimwengu wa utandawazi hakiwezekani. Kapekue google ulete hapa Baleke akiwa top scorer sio ulete habari za Privadinho
La pili kwangu huyu sio trusted source labda kwako, kipindi cha usajili kadanganya sana kuhusu Luis Miquisone.
Ndio maana anapigwa benchi kila mechi ya kusafiri kimataifa ye anaiangalia kwenye big screen ya HaierKwahiyo mnamlipa mshahara ili awe anawadanganya
Huyo Privaa ni Simba lia liaNdio maana anapigwa benchi kila mechi ya kusafiri kimataifa ye anaiangalia kwenye big screen ya Haier
Kazi yake inaumhimu wa kusafiri na timu?Ndio maana anapigwa benchi kila mechi ya kusafiri kimataifa ye anaiangalia kwenye big screen ya Haier
Mimi siwezo kubishana na Mwana Yanga yeyote kuhusu uwezo wa akili katika Soka.Mangungu endelea kuburuza hawa Mbumbumbu