ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hata GSM ni Simba we don't care mapenzi ya mtu hatuingiliiTj
Huyo Privaa ni Simba lia lia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata GSM ni Simba we don't care mapenzi ya mtu hatuingiliiTj
Huyo Privaa ni Simba lia lia
Guys Top Scorer anapimwa kwa Wingi wa magoli pekee, sio lazima awe mchezaji bora sana.Hahahaha, top scorer wa ligi ya bongo 2021/22 Yuko wapi? (George Mpole)
Kwa hiyo mnamuacha kusevu nauli?Kazi yake inaumhimu wa kusafiri na timu?
Basi sawaaaHata GSM ni Simba we don't care mapenzi ya mtu hatuingilii
unajifanya smart kumbe empty set, umeombwa source unakuja na habari za kina PrivaMimi siwezo kubishana na Mwana Yanga yeyote kuhusu uwezo wa akili katika Soka.
Katika Soka, Mimi Yanga huwa napenda kuwaweka Special Group Kabisa. Na huwa nawa-treat kwa care sana. Ikitokea nimeku-offend kwa namna yeyote. Nikumbushe nitakuomba msamaha kabisa Mkuu.
Mkuu mambo mengine tusichoshane fika pale makao makuu utatatuliwa shida zako unanihoji mimi mambo ambayo sio yanguKwa hiyo mnamuacha kusevu nauli?
Hata Nabi na Mayele wote ni Simba lia liaBasi sawaaa
Na Ashura cheupe Simba lepe lepe yaniii
Basi usimtetee kwa hoja ya kudai majukumu yake hayamuhitaji yeye kusafiriMkuu mambo mengine tusichoshane fika pale makao makuu utatatuliwa shida zako unanihoji mimi mambo ambayo sio yangu
Sawa Mkuu.unajifanya smart kumbe empty set, umeombwa source unakuja na habari za kina Priva
Sijamtetea nmekuuliza majukumu yake ni lazima asafiri na timu?Basi usimtetee kwa hoja ya kudai majukumu yake hayamuhitaji yeye kusafiri
Mkuu hivi inakuingia akilini top scorer wa ligi atolewe kwa mkopo?Sawa Mkuu.
Ila unge-quote reply nzima ingependeza sana MR. SMART.
Majukumu gani?Sijamtetea nmekuuliza majukumu yake ni lazima asafiri na timu?
Kwahiyo nawewe ukaona uchukue source ya muongo ili kuthibitisha kitu gani humu?Umeni-disappoint sana Mkuu. Mbona nimeeleza kila kitu katika ile reply?
Wait...Kusema huu ni ubishi wako tu au hujaelewa kile nilichoandika kuhusu ligi ya Congo?
Karudie kusoma ile reply yangu Mkuu.
N.B. Kwani Yanga ni mara ya kwanza kudanganywa? Bora hili la Konde Boy ni kweli Yanga walifanya some moves lakini ikashindikanaa. BM3 alitangazwa Siku ya Mwananchi wakati ni mchezaji halali wa Simba, Mliaminishwa Chama atarudi Yanga, Phiri atacheza Yanga, Last Weeks mliambiwa Feisal atakuwepo uwanjani na Mengine Mengi.
Wewe ndio unayajua hayo majukumu coz unataka asafiri na timu unashangaa kwanini anapigwa bechiMajukumu gani?
Unahangaika na mleviKwahiyo nawewe ukaona uchukue source ya muongo ili kuthibitisha kitu gani humu?
Kama hakuna trusted source inayoonesha kuwa Baleke alikuwa top scorer basi hauna haki ya kulisemea hilo kwasababu halithibitishiki kwenye vyanzo vya kueleweka
Soma ulichokiandika halafu jisonye kwa ulichoandika. Top scorer wa Azam Federation cup huwa wanamuhesabia magoli tu aliyoyafunga kwa timu zilizopo ligi kuu?Kwa ligi zote na timu kuanzia ya premier...kwa sasa ana mlima wa kulipa ile hat trick ya Baleke.
Kwani mlimuajiri aje atumikie kazi gani ambazo zinam-limit?Wewe ndio unayajua hayo majukumu coz unataka asafiri na timu unashangaa kwanini anapigwa bechi
Ajabu sanaunajifanya smart kumbe empty set, umeombwa source unakuja na habari za kina Priva
Yes, kuna sababu nyingi za kumtoa mchezaji kwa mkopo mkuu.Mkuu hivi inakuingia akilini top scorer wa ligi atolewe kwa mkopo?