Asha Ommary
Member
- Sep 1, 2020
- 97
- 90
JPM anaingia katika uchaguzi akiwa na kofia mbili, ni mgombea vile vile ni Rais wa JMT sasa ashindwe kukemea uovu na uzembe eti anyenyekee ili na hao wazembe wampe kura? kufanya hivyo unaweza pata kura za wazembe wawili na ukapoteza na weledi watanoKwa mwendu huu wa kufokea watu na kuwapiga mikwara pamoja na kupaniki? Labda abadilike.