Uchaguzi 2020 Takwimu hazidanganyi: CCM wameshashinda Uchaguzi kwa Idadi ya Kura za Kanda ya Ziwa

Uchaguzi 2020 Takwimu hazidanganyi: CCM wameshashinda Uchaguzi kwa Idadi ya Kura za Kanda ya Ziwa

Wapinzani wanajua kabisa hawapiti isipokua sasa zile pesa walizopata kupitia ruzuku zinakaguliwa na CAG lazima zionekane zimetumikaje. Hapo ndipo watu wanapopiga pesa sasa mwisho wa siku wewe mlala hoi unaenda kupigwa kwenye maandamano unapigwa na jua mchana ili yaonekane mafuriko lakini wengine wameishavuta mipigo yao wametulia kimya. Wanapiga kwenye utengenezaji wa tshirt, kofia, kuandaa magri ya muziki, kupamba jukwaa nk
Hpo wamepewa takwimu basi kama wanajua na wana hija wajibu kwa takwimu sasa wao tunajua kazi yao ni mitusi tuu hawana data ni kelele tuu
 
niliona watu kiduchu wakimsikikiza lissu dodoma niliogopa sana
 
Hii ni hoja ya hovyo katika utetezi na ni dalili za hofu, hajaanza kukusanya watu wengi kipindi hiki pekee Magufuli ni kipenzi cha watanzania wenye kupenda maendeleo na wazalendo

Mbona unawasemea watu? Sema ni kipenzi chako na familia yako
 
Wapinzani wanajua kabisa hawapiti isipokua sasa zile pesa walizopata kupitia ruzuku zinakaguliwa na CAG lazima zionekane zimetumikaje. Hapo ndipo watu wanapopiga pesa sasa mwisho wa siku wewe mlala hoi unaenda kupigwa kwenye maandamano unapigwa na jua mchana ili yaonekane mafuriko lakini wengine wameishavuta mipigo yao wametulia kimya. Wanapiga kwenye utengenezaji wa tshirt, kofia, kuandaa magri ya muziki, kupamba jukwaa nk
Lisu kasababisha ajira za ualimu zitangazwe,kasababisha sengerema barabara order imetoka itengenezwe,hadi October naamini mashekh wa uamsho wataachiwa.
 
Tukiachana na siasa za kinafiki tu, rais magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kizito mnoo kutokana na Mambo Makubwa aliyo yafanya wakati wa utawala wake.
 
Mwaka 2015 ilikuwaje ? Mbona unakimbilia mambo ya 1995 ? Ukweli ni kwamba ukiniambia eti Mara upinzani na CCM ni nusu kwa nusu siwezi kukubaliana na hilo.
Mkuu na wewe unaonekana huifahamu vizuri Mara, ni mkoa wa kipinzani kwa miaka yote tangu chaguzi za vyama vingi zianze. Ebu niambie ni jimbo gani la mkoa wa Mara halijawahi kuwa chini ya upinzani.

Hesabu mnazopiga ndio zinakuwa ngumu kutokea kivitendo. Majimbo yote hayo JPM mwaka 2015 alikuwa anashinda kwa tofauti ndogo sana, sio kwamba majimbo wanayoshinda wabunge wa CCM basi wapiga kura wote ni CCM na yale ya CHADEMA si wapiga kura wote ni CHADEMA.

Nina uvivu wa kuandika lakini ningekupa historia ya mkoa huo tangu siasa za 1995 ambako baba wa taifa (RIP) mwenyewe alikuwa chini ya mbunge wa upinzani, huku Rorya ikienda kwa Mabere Nyaucho Marando, Mwibara ikienda kwa kijana wa upinzani na tangu hapo Musoma mjini imeshakuwa chini ya upinzani, Bunda ndio usiseme kabisa bila kusahau Serengeti na Tarime ambayo inatupa taabu sana na hata figisu za kuligawa jimbo hilo lilipelekea majimbo yote mawili kuwa upinzani. Kiufupi Mara na Kagera upinzani hupo na inabidi tuchange karata zetu vizuri sana na tuache blabla.
 
Ulikuwepo Mwanza au unaongozwa na mihemuko. Jibu matalipata 28/10
Utafiti wa hili poyoyo ni wa kijinga kabisa! Eti Lissu alipata mapokezi hafifu Mwanza hivi lilikuwa na macho hili? CCM walijaza watoto wa shule ndiyo mapokezi hayo?
 
kwa MAZINGIRA ya siasa za upinzani yalivyo awamu hii ni kweli kbs Magufuli atashinda uchafuzi mkuu...anatumia dola, mamlaka yake vby, ukabila, kuzuia habari za washindani zisitangazwe na ushenzi mwingne kibao ambao haukubaliki kidemokrasia.

kungekuwa na uchaguzi huru na haki Magufuli angepata wakati mgumu sana tofauti kbs na inavyo sasa.

kujaza mikutano yake sio kigezo cha kukubalika...TL angekuwa anasomba watu kwa malori na kutumia wasanii watu ungekuta wanakufa kwa kukanyagana kwenye mikutanoni yake!.
 
niliona watu kiduchu wakimsikikiza lissu dodoma niliogopa sana
mkutano wa magufuli watu walisombwa hadi kutoka vijijini hapa dom nilishuhudia kwa macho, wasanii pia walikuwepo wa kutosha show ya bure.
kwa TL ni kweli watu walikuwepo wachache ila waliohudhuria bila ulaghai wowote
 
mkutano wa magufuli watu walisombwa hadi kutoka vijijini hapa dom nilishuhudia kwa macho, wasanii pia walikuwepo wa kutosha show ya bure.
kwa TL ni kweli watu walikuwepo wachache ila waliohudhuria bila ulaghai wowote
katika kuwafikia wapiga kura ni lazima utumie mbinu zozote kuwapata
acha kutoa kauli za kinyonge,kuwasomba watu na kuwawekea wasanii ni njia bora ya kuwapata watu wasikie sera zako
 
MARA kura zetu ni kwa magufuli wabunge wa CCM na madiwani ni kwa CCM
Acha uongo ww. Huku Mara miaka yote Kuna wabunge wa upinzani pamoja na wizi unaofanywa na ccm. Hilo lichama halitakiwi huku. Labda ungesema Dodoma
 
Back
Top Bottom