Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hii ni ya kweli Tanzania tunajeshi lenye watu wengi tu ila silaha hatuna
Chanzo cha taarifa kinatia mashakaUnatumia blog l za Kenya kujustify taarifa za kesho letu kweli
Lete takwimu sahihiYamkini tuna idadi ndoho ya vifaa ila sio kwa kiasi hiko hio takwimu ni ya wakenya
unaruhusiwa kurekebishaChanzo cha taarifa kinatia mashaka
elfu moja kwa mia hamsiniHuo ndio ukweli ukitaka kujua hatuna silaha ni kwenye maonyesho tumekazana na matofali tu muda wote, silaha za kisasa Uganda na kenya wametuacha mbali sana
inferiority complex tu!! Hatujadili sisi kwene international platform yanajadiliwa !! nini maana yakeWakati wa sakata la kivuko tukiambiwa Kuna mambo sio ya kujadili.
inferiority complex tu!! Hatujadili sisi kwene international platform yanajadiliwa !! nini maana yake
Mkuuu usiww kama mzaramo!! Kama ww unazo sahihi toa zilizo sahihi acha kuleta maneno!! Hoja inapigwa kwa hoja ni kwa ajili ya kujifunzaUnatumia blog l za Kenya kujustify taarifa za kesho letu kweli, yaani hatuna towed artillery ata Moja na wewe unaamini tunavifaru 47 duh..mara nyingi bloger wa Kenya Huwa wanatwiat hizi habari kupata view nyingi.
Uhakika wa hizo taarifa ukoje
Yaan zipo nchi 4 za kwetu tu hazipo sahihi?… au taarifa yote!!!…
Tanzania yenye Kambi za jeshi kigoma,tabora,mwanza,kagera,pwani,dar,tanga, Arusha,mbeya,mtwara iwe na vifaru 47!?..fikiri babuMkuuu usiww kama mzaramo!! Kama ww unazo sahihi toa zilizo sahihi acha kuleta maneno!! Hoja inapigwa kwa hoja ni kwa ajili ya kujifunza
Mkuu kwamba nchi nzima ina vifaru 42? Kwamba mtu akiwa na Javelin 1 tayari anamalizana na jeshi la ardhini!mkuu hii ni ya kweli Tanzania tunajeshi lenye watu wengi tu ila silaha hatuna
zile za fireIndex huwa zinatoka wap?? unataka kusema wanatabiri!!…Taarifa yote mkuu. Sijaongelea nchini kwetu peke yake. Ukizingatia unyeti wa