Takwimu hizi zinamaana gani kwa sera zetu za kijeshi. Tumekua kama Ujerumani?

Takwimu hizi zinamaana gani kwa sera zetu za kijeshi. Tumekua kama Ujerumani?

Hizi data always ni classified. Let not be fooled guys.
 
zile za fireIndex huwa zinatoka wap?? unataka kusema wanatabiri!!…
Naamini zina usahihi ila zinatofautiana accuracy tu

Kama accuracy inatofautiana, kwanini kwingine Nako kusiwe na tofauti mkuu?

Naona inakua ni zaidi juu ya nchi husika kuamua kipi kiwekwe wazi na kipi kisiwekwe hadharani.

Any way, ni maoni yangu ambayo si lazima yawe na usahihi au ukweli wowote.
 
Kama accuracy inatofautiana, kwanini kwingine Nako kusiwe na tofauti mkuu?

Naona inakua ni zaidi juu ya nchi husika kuamua kipi kiwekwe wazi na kipi kisiwekwe hadharani.

Any way, ni maoni yangu ambayo si lazima yawe na usahihi au ukweli wowote.
kumbe wameitoa fireindex ( nimesearch google hapo)
 

Attachments

  • 3E67413A-F489-496A-A93B-019744E7BF47.jpeg
    3E67413A-F489-496A-A93B-019744E7BF47.jpeg
    69.9 KB · Views: 13
Ebu kuwa professional bas mkuu!!… Usijadili data Vs Hisia zako
Mbona swali rahisi tu, professional in which aspect? Unaamini kabisa Tanzania hatuna towed artillery hata Moja, yaani tuna zero kabisa kama hizo taarifa zinazoonyesha hapo?
 
Mbona swali rahisi tu, professional in which aspect? Unaamini kabisa Tanzania hatuna towed artillery hata Moja, yaani tuna zero kabisa kama hizo taarifa zinazoonyesha hapo?
professional means jadili Data kwa Data si Data Vs imani..
 
Taarifa yote mkuu. Sijaongelea nchini kwetu peke yake. Ukizingatia unyeti wa mambo yanayojadiliwa.
Hizo taarifa za vifaru Tanzania haziko mbali na ukweli. Huwa nawaambia watu silaha hazifichiki, hakuna siri kali katika hilo. Sanasana tunatamba na Chinese Type 59G na modernization ya tanks ambazo Nyerere alinunua. Vifaru vyetu vingi vilinunuliwa na Nyerere, yani ukiangalia silaha ambazo Mwalimu alinunua ni nyingi sana kwenye inventory tuliyonayo sasa. Zimechoka na kupitwa na wakati, serviceability ndogo.

MBT nyingine ni VT-2 kutoka kampuni ya Norinco ya China. Units zake tunazo chache ila ndio angalau ni modern. Hapo tunaongeza na idadi kidogo ya Scorpion vifaru vidogo kutoka Uingereza vya miaka ya 70s uko.

Kwenye IFV ndio hamna kitu. APC za Soviet Union na amphibious vehicles za China kadhaa. Hatutoi budget ya kutosha kuwa armed. Tuache kujitetea wala sio uzalendo huo. Kama silaha hamna tuseme hamna, kusingizia zipo maana yake hujiamini na unajua kuna madhara kutokuwepo. Mambo ya siri si kwa bongo hii
 
Hizo taarifa za vifaru Tanzania haziko mbali na ukweli. Huwa nawaambia watu silaha hazifichiki, hakuna siri kali katika hilo. Sanasana tunatamba na Chinese Type 59G na modernization ya tanks ambazo Nyerere alinunua. Vifaru vyetu vingi vilinunuliwa na Nyerere, yani ukiangalia silaha ambazo Mwalimu alinunua ni nyingi sana kwenye inventory tuliyonayo sasa. Zimechoka na kupitwa na wakati, serviceability ndogo.

MBT nyingine ni VT-2 kutoka kampuni ya Norinco ya China. Units zake tunazo chache ila ndio angalau ni modern. Hapo tunaongeza na idadi kidogo ya Scorpion vifaru vidogo kutoka Uingereza vya miaka ya 70s uko.

Kwenye IFV ndio hamna kitu. APC za Soviet Union na amphibious vehicles za China kadhaa. Hatutoi budget ya kutosha kuwa armed. Tuache kujitetea wala sio uzalendo huo. Kama silaha hamna tuseme hamna, kusingizia zipo maana yake hujiamini na unajua kuna madhara kutokuwepo. Mambo ya siri si kwa bongo hii
wachangiaji wengi wanaamini kuukata ukweli ndyo uzalendo!! Kama huna kitu huna ni chachu ya kujipanga!! Huwezi jipanga pasipo kujua madhaifu yako
 
Haujaelewa nilichomaanisha.
Umemaanisha imani yako viko vifaru 1000 😀😀
Nanukuu: Silaha hazijifichi !! contract za kununua silaha huwa n ngumu kuzificha!!
lakini naelewa mtazamo wako bro
 
Tanzania yenye Kambi za jeshi kigoma,tabora,mwanza,kagera,pwani,dar,tanga, Arusha,mbeya,mtwara iwe na vifaru 47!?..fikiri babu
Nakuunga mkono. Vikosi vyetu na silaha zake data zake zimefichika sana.
Idadi ya askari wetu haijulikani.
 
Hizo taarifa za vifaru Tanzania haziko mbali na ukweli. Huwa nawaambia watu silaha hazifichiki, hakuna siri kali katika hilo. Sanasana tunatamba na Chinese Type 59G na modernization ya tanks ambazo Nyerere alinunua. Vifaru vyetu vingi vilinunuliwa na Nyerere, yani ukiangalia silaha ambazo Mwalimu alinunua ni nyingi sana kwenye inventory tuliyonayo sasa. Zimechoka na kupitwa na wakati, serviceability ndogo.

MBT nyingine ni VT-2 kutoka kampuni ya Norinco ya China. Units zake tunazo chache ila ndio angalau ni modern. Hapo tunaongeza na idadi kidogo ya Scorpion vifaru vidogo kutoka Uingereza vya miaka ya 70s uko.

Kwenye IFV ndio hamna kitu. APC za Soviet Union na amphibious vehicles za China kadhaa. Hatutoi budget ya kutosha kuwa armed. Tuache kujitetea wala sio uzalendo huo. Kama silaha hamna tuseme hamna, kusingizia zipo maana yake hujiamini na unajua kuna madhara kutokuwepo. Mambo ya siri si kwa bongo hii
Angalia vizuri taarifa yako.
Fanya assignment. Dsm kuna vikosi vingapi unavyovijua. Halafu nitajua kama unajua.
 
Wakati wa sakata la kivuko tuliambiwa Kuna mambo sio ya kujadili.
ni aina fulanj ya ujinga ambao umetawala kwenye vichwa vya baadhi ya wakuu huko kwenye vitengo vya serikali.

ujinga mwingine ni ule wa kumkamata raia, kumtesa mpaka kumpa ulemavu, kisa tu katoa simu yake mfukoni halafu akajipiga selfie jirani na eneo la kambi ya jeshi wakati kuna mataifa yanauwezo wa kupiga picha kambi zetu za majeshi kwa kutumia satellite.
 
Back
Top Bottom