David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Litre 10 kwa mwaka ? Bora angesema lita 120
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mapato ya taifa kushuka, TBL ni vinara wa kulipa kodi.Ummy unataka kufanya Baa zikose mapato na pia MUHIMBILI wakose watu wa dialysis?
Lita 10 kwa mwaka?WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema takwimu zinaonesha kuwa wanywaji wa pombe wameongezeka nchini hali inayofanya kuanza uhamasishaji wa kupunguza unywaji wa pombe.
Takwimu alizotoa zinaonesha kuwa mtu mmoja anakunywa lita 10.4 kwa mwaka ambapo awali mtu mmoja alikuwa anakunywa lita 9.1.
Akizungumza katika Mkutano wa Kwanza wa Mipango Mikakati wa Kukabiliana na Magonjwa yasiyoambukiza Afrika (ICPPA) Ummy amesema takwimu za mwaka 2016 watu waliokuwa wanakunywa pombe walikuwa asilimia 26 na walipunguza hadi asilimia 20 lakini kiwango cha unywaji pombe kimeongezeka kwa sasa.
“Tunahamasisha kupunguza unywaji wa pombe ulipitiliza tumeongeza kiwango mtu mmoja anakunywa lita 10.4 kwa mwaka hii ni hatari kwa afya,”amesisitiza ummy
Ummy amesema kuwa Tanzania kama nchi zingine inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kudhibiti na wanaona ongezeko kubwa la watu wenye magonjwa yasiyoambukiza husani shinizo la juu la damu, kisukari, masuala ya afya ya akili, selimundu na mengine ikiwemo ajali.
“Tutaendelea kuwekeza katika mikakati ya kinga na kuhakikisha wananchi wanapata huduma na kwenye kinga tutajikita katika kutoa elimu ya afya kwa wananchi kujikinga na tumekuwa na wataalamu kama Prof Janabi wamekuwa wakihamasisha kuzingatia ulaji unaofaa.
Aidha amewasisitiza vijana kufanya mazeozi na wasisubiri wapate magonjwa hayo ndio waanze kufanya mazoezi.
Chanzo: Habari Leo
Huo ni wastani Kuna wengi wasio kunywa pombe +watoto. Hivyo Ina maana watu wanakunywa sana pombe🤣🤣🤣🤣🤣📌Lita 10 chache sana, sawa na safari kubwa 20tu,
Tena mwaka mzima?
Hiyo ni kwa siku?wiki?mwezi? Au mwaka? Maana kuna jamaa zangu wanakunywa hadi bia 10 kwa siku,sasa hao wanapigiwaje hesabu?
Hata Mimi nadhani Kuna makosa Kwa kizi takwimu🤣🤣🤣🤣Lt. 10 kwa mwaka ni hatari!
Wakati dr. Janabi anashauri mtu mmoja kupata bia mbili kwa siku ambayo ni lt. 1 (Balimi na Safari .. 0.5 lt)
ie: 1x365 /10(crete) =lt 365.5 ama crete 36 na nusu kwa mwaka.
Tena huo ni unywaji kwa afya.
Sasa hizo crete 2 kwa mwaka halafu ni hatari kwa afya kwa nini wasiifute pombe?
Jamani au hizi ni takwimu za kupika Waziri kabambikwa?
Mi hainiingii akilini ati!
Watu wengi hamjaelewa kabambikwa kwa nini?Lt. 10 kwa mwaka ni hatari!
Wakati dr. Janabi anashauri mtu mmoja kupata bia mbili kwa siku ambayo ni lt. 1 (Balimi na Safari .. 0.5 lt)
ie: 1x365 /10(crete) =lt 365.5 ama crete 36 na nusu kwa mwaka.
Tena huo ni unywaji kwa afya.
Sasa hizo crete 2 kwa mwaka halafu ni hatari kwa afya kwa nini wasiifute pombe?
Jamani au hizi ni takwimu za kupika Waziri kabambikwa?
Mi hainiingii akilini ati!
Hiyo imegawanywa kwa idadi ya watu wote, hata wasiokunywa.Hata Mimi nadhani Kuna makosa Kwa kizi takwimu🤣🤣🤣🤣
Ni hivi: bia za walala hoi kipimo cha chupa moja ni 0.5lt yaani nusu lita.Watu wengi hamjaelewa kabambikwa kwa nini?
Ok, nilidhani unabishia takwimu, kumbe unahoji usahihi wa madhara ya kiafya, hapo nimeelewa.Ni hivi: bia za walala hoi kipimo cha chupa moja ni 0.5lt yaani nusu lita.
Na kiafya unashauriwa unywe bia2 kwa siku, maana yake lita 1 kwa siku.
Mwaka mmoja una siku 365, hapo maana yake ni bia crete36. 5.
Kwa ufafanuzi huo, mtu mmoja anatakiwa kunywa kwa afya Sim tank zima la bia lenye ujazo wa lt 350 na kidogo peke yake kwa mwaka.
Je kwa maelezo yangu na takwimu alizozitoa Waziri ni yapi sahihi?
Ndonikasema kuwa kama lita 10 za bia kwa mwaka mzima ni hatari kwa afya, basi bia zifutwe.
Au wewe umeelewaje?