Takwimu: Mtu mwenye umri wa chini ya miaka 50 kufa kwa Corona ni sawa na jogoo kutaga mayai, sasa kwanini tunapanic?

Takwimu: Mtu mwenye umri wa chini ya miaka 50 kufa kwa Corona ni sawa na jogoo kutaga mayai, sasa kwanini tunapanic?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.2 ya ya watu wenye umri chini ya 50yrs hufa wanapougua Corona, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Maana katika kila watu 500 wenye umri chini ya 50yrs wanapougua Corona ni mmoja tu ndio anaweza kufa endapo atakuwa na matatizo mengine ya kiafya (ana ugonjwa mwingine ambao ulikwisha mdhoofisha)

EC4F8E64-54CB-42AA-AC07-7BAE5D188062.png
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50yrs ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Wewe pia umechanganyikiwa!
Kwani kuku hufa kwa kutaga mayai?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Hakiki kwanza andishi lako kabla ya kulisambaza.
Kichwa kinaeleza kitu ambacho ni tofauti na habari yenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.

Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Ungesoma hiyo habari hadi mwisho ungejua kuwa huyo kocha alikuwa ana kansa ya dam na muda hata hiyo corona inamkuta alikuwa mahututi..
Tena hiyo asilimia waloko chini ya 50 years ni wale ambao tayari wana magonjwa hatarishi kama kansa,wavutaji wa sigara kupindukia au wenye hali mbaya ya afya...
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?

Hizi takwimu sina uhakika nazo, lakini tatizo si kufa mwenye huo umri, bali huyo mwenye huo umri anaweza kuambukiza wengine wenye umri chini ya 50 na kizazi kizima kikaisha
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
So kwako it sounds Okay kwa sisi babu zenu kufa?
 
Hizi takwimu sina uhakika nazo, lakini tatizo si kufa mwenye huo umri, bali huyo mwenye huo umri anaweza kuambukiza wengine wenye umri chini ya 50 na kizazi kizima kikaisha
Wataishaje wakati hawafi?
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Huko Italy vifo 600,umeshajua vijana chini 50 ni wangapi?
Au ni porojo za vijiweni MZEE nyerere!!
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Yap sema vifo ni kwa asilimia ndogo sana kwa chini ya umri huo lakini kuchukua tahadhari pia ni muhumu sana maana ule ni ugonjwa huwezi jua nani ataondoka kweye hiyo asilimia ndogo.

Na pia muathirika mwenye umri wa chini ya 50 ni threat kwa wenye zaidi ya hapo,kama unavyo jua huo ugonjwa unavyo enea kirahisi.

So tahadhari ni muhimu.
 
Back
Top Bottom