Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Kuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.
Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Ni za WHO?Hizo ndio takwimu zilizopo, kazitafute google
Wanasema alikuwa na leukemia na ndicho kilichopelekea kifo chake ingawa tahadhali ni muhimu.Kuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.
Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Ndio hao wanakuwa na pre-existing conditions za kiafya hivyo ikija Corona ni kama inakuja kuwamalizia tu, ila hao ndio wako ndani ya hiyo 0.2%
Ungesoma hiyo habari hadi mwisho ungejua kuwa huyo kocha alikuwa ana kansa ya dam na muda hata hiyo corona inamkuta alikuwa mahututi..
Tena hiyo asilimia waloko chini ya 50 years ni wale ambao tayari wana magonjwa hatarishi kama kansa,wavutaji wa sigara kupindukia au wenye hali mbaya ya afya...
Sikuipitia habari yote kwa undani.
Hapa tumezidiHii makitu ime trend kote mkuu. Sio bongo tu asee
Alikua na kansa ya damu ndo maana corona ilimuweza.rKuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.
Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Wavuta chiga kupindukia nao tupo hatarini?fafanua vizuri hapo sijakuerewa mkuu!Ungesoma hiyo habari hadi mwisho ungejua kuwa huyo kocha alikuwa ana kansa ya dam na muda hata hiyo corona inamkuta alikuwa mahututi..
Tena hiyo asilimia waloko chini ya 50 years ni wale ambao tayari wana magonjwa hatarishi kama kansa,wavutaji wa sigara kupindukia au wenye hali mbaya ya afya...
Alikuwa na kansa ya damu before.Kuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.
Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Na hicho ndo muhimu mkuu, lolote laweza tokeaSikuipitia habari yote kwa undani.
Lakini wakuu hakuna kitu kizuri kama kujikinga kwa uwezo ulionao wala tusibweteke.
Kuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.
Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Alikua na cancer pia nadhani hyo ndo sababuKuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.
Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Ni 0.2 au 0.02 kama ulivyoandika huko juu? nyie shobokeeni tu hizo mambo mtanyea ndoo.Ndio hao wanakuwa na pre-existing conditions za kiafya hivyo ikija Corona ni kama inakuja kuwamalizia tu, ila hao ndio wako ndani ya hiyo 0.2%
Nimeashiria kwamba jinsi ilivyongumu kwa jogoo kutaga mayai ndivyo ilivyo ngumu kwa mtu wa umri wa chini ya50yrs kufa kwa Corona. Legeza ubongo basi khaa...
Mkuu kwahyo ukipona wewe ulie under 50 alafu dingi na maza ako wakang'ata shuka kwako ni furesh tu au sio man.Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?