<br /><br /><br />
<br /><br />
acha kuvunja wenzio moyo dogo.
<br />
Samahani wakuu kama nimemvunja mtu moyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br /><br /><br />
<br /><br />
acha kuvunja wenzio moyo dogo.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Samahani wakuu kama nimemvunja mtu moyo.
<br /><br /><br />
<br /><br />
usirudie tena.
<br />duh, kweli ni noma...sasa waliokosa ndio hawapati tena nini?
<br />Nilijua tu member mwenye akili ya kufikiria angeuliza hili swali. Yaani hata mimi sielewi ni changa la macho au?
<br />Huyu Lubambula Machunda kumbe bado yupo? aisee huyu mkulu niligombana nae sana miaka ile bado wizara ya elimu ya juu inashughulika na mikopo moja kwa moja kabla ya kuwepo loan board, alikuwa mnoko na mbabaishaji, sishangai hata huko loan board efficincy yao ni zero kwa kuwa na watu kama huyu.<br />
<br />
Ningependa kufahamu utaratibu wa kupata mikopo kwa wale waliochaguliwa kwa "equivalent" entry nao wamepata mikopo na majina yao yametoka ama bado "michakato" inaendelea??
<br /><br /><br />
<br /><br />
hao ni wale wandawazi.mu ambao walishaaply mwaka jana na mwaka huu pia wame apply kama fisrt time applicants,kompyuta hizi jaman jitu liko mwaka wa pili lina apply kama mwaka wa kwanza
<br /><br /><br />
<br /><br />
hao ni wale wandawazi.mu ambao walishaaply mwaka jana na mwaka huu pia wame apply kama fisrt time applicants,kompyuta hizi jaman jitu liko mwaka wa pili lina apply kama mwaka wa kwanza
duh! Hao jamaa hawana akili au? Maana hawajui wanawaaribia watu risiki.<br /><br />
<br /><br />
hao ni wale wandawazi.mu ambao walishaaply mwaka jana na mwaka huu pia wame apply kama fisrt time applicants,kompyuta hizi jaman jitu liko mwaka wa pili lina apply kama mwaka wa kwanza
<br />Ivi iyo jtatu kweli kuna maandamano tujipange au ni rumaz tu izi nazoziskia
kata rufaa ikiwa huna wazazi wote wawili, vingnevyo utapoteza muda wako tu, hawana aibu hawa jamaa<br /><br />
<br /><br />
ofcoz ntajtahd nfanye hvo ndg yng, thanx
<br />kata rufaa ikiwa huna wazazi wote wawili, vingnevyo utapoteza muda wako tu, hawana aibu hawa jamaa
<br />kata rufaa ikiwa huna wazazi wote wawili, vingnevyo utapoteza muda wako tu, hawana aibu hawa jamaa
<br />Anaejua mucobs wanafungua lini chuo anisaidie pls
<br /><br /><br />
<br /><br />
i hav my friend pale,nadhan ni tar 25/october.