Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Bahati mbaya Feitoto hajawahi kuuliziwa na timu yoyote ya nje iwe ya shelisheli , somalia hata jibout. Usimlinganishe Chama na takataka feitotoMkuu. .....yaan unamfananisha chama ...aliefeli mpira wa moroco ......na kiungo fundi FEI
Epuka matapeli,Fei hauzwi.Bahati mbaya Feitoto hajawahi kuuliziwa na timu yoyote ya nje iwe ya shelisheli , somalia hata jibout. Usimlinganishe Chama na takataka feitoto
kwa kiwango gani basi mkiambiwa mashabiki wa uto hamna akili mnalia lia tuEpuka matapeli,Fei hauzwi.
leo mnamkana kabisa, kweli uto hamna akiliMkuu. .....yaan unamfananisha chama ...aliefeli mpira wa moroco ......na kiungo fundi FEI
Utopolo mnahitaji kuombewa kwa Mwamposa,siyo kwa kujitoa ufahamu kwa kiwango hikiAcha kufananisha fei na matakataka
Nyie ndio maana Rage aliwaita mbumbumbu. Hapo Morocco tu palimtoa kamasi, Chama ni Mwaikimba aliyechangamka.
huna akiliNyie ndio maana Rage aliwaita mbumbumbu. Hapo Morocco tu palimtoa kamasi, Chama ni Mwaikimba aliyechangamka.
umenena ukweli kabisa ila uto wengi hawana akili na ni mashabiki maandaziAcheni ujinga muda mwingine muwe mnatumia akili kufikiri na sio vinginevyo Fei bado sana ni mchezaji mzuri lkn hajafika levo ya Chama
Kufeli Morocco sio kigezo cha yeye kuwa mbaya ila kitendo cha kutakiwa na club kubwa inaonyesha uwezo wake
Kuna wachezaji lukuki waliwahi kufeli sehemu moja kwenda sehemu na sehemu walipotoka walikuwa mastaa wameenda sehemu nyingine wamekuwa mdebwedo mfano Mohamed Salah wa Chelsea Torres wa Chelsea Shevichenko wa Chelsea Veron wa man u hao baadhi tu
Kwa Tanzania hakuna kama chama kwa miaka angalia hizo takuwim ngoja mwisho wa msimu utakuja kuona utofautiumenena ukweli kabisa ila uto wengi hawana akili na ni mashabiki maandazi
Sitaki kusema huna akili, unazo japo za kula na kunya.
Acheni ujinga muda mwingine muwe mnatumia akili kufikiri na sio vinginevyo Fei bado sana ni mchezaji mzuri lkn hajafika levo ya Chama
Kufeli Morocco sio kigezo cha yeye kuwa mbaya ila kitendo cha kutakiwa na club kubwa inaonyesha uwezo wake
Kuna wachezaji lukuki waliwahi kufeli sehemu moja kwenda sehemu na sehemu walipotoka walikuwa mastaa wameenda sehemu nyingine wamekuwa mdebwedo mfano Mohamed Salah wa Chelsea Torres wa Chelsea Shevichenko wa Chelsea Veron wa man u hao baadhi tu