Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,159
- 1,313
Mimi na wewe tu...Najua inaumiza lakini ndiyo hivyo tena,kule Yanga wote hamna akili isipokuwa watu wawili tu[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi na wewe tu...Najua inaumiza lakini ndiyo hivyo tena,kule Yanga wote hamna akili isipokuwa watu wawili tu[emoji23]
Luc Eymael aliwaita lile jina mlipendalo akiwa timu gani?Tofautisha hawa watu, Rage aliyasema hayo akiwa kama kiongozi wa Simba, akiwaasa Simba wenzake wawe na akili. Manara aliyasema hayo akiwa msemaji wa Simba kwenda timu pinzani, na ukizingatia ulopo lopo aliokuwa nao akiwa Simba, huwezi shangaa kauli hiyo.
🤣🤣🤣 pambana na takwimuMkuu. .....yaan unamfananisha chama ...aliefeli mpira wa moroco ......na kiungo fundi FEI
Umeona eenhh??!!Bahati mbaya Feitoto hajawahi kuuliziwa na timu yoyote ya nje iwe ya shelisheli , somalia hata jibout. Usimlinganishe Chama na takataka feitoto
Assist kwa timu ya Daraja la tatu?
Umempiga kichwaBahati mbaya Feitoto hajawahi kuuliziwa na timu yoyote ya nje iwe ya shelisheli , somalia hata jibout. Usimlinganishe Chama na takataka feitoto
Hata kwa mnada hachukuliwi kimataifaEpuka matapeli,Fei hauzwi.
Atakwambia Tanzania bara akitokea Z'barFei amewahi kucheza wapi nje ya nchi?
Kwani hizo zako umezitoa wapi?Hizi hoja sijui huwa mnaziokota wapi, Chama alisajiliwa Simba kwenda Morocco kucheza mpira. Kila siku alikuwa bench,na ni wazi alishindwa kuonesha kama ana kiwango sahihi cha soka la kimataifa. Kuhusu watoto hizo ni hoja za kujitetea tu.
Chama ni mchezaji ambaye hawezi kucheza timu yoyote ile duniani zaidi ya Simba. Mafanikio yeke huwa yapo Simba kwengine kote zero. Huwezi kufananisha mzee na kijana,Huwezi kumfananisha Mtu aliyefeli na ambaye hajafeliWanabodi nawasalimia...
Kumekuwa na kumfananisha Chama na Fei Toto siku za hivi karibuni. Takwimu hizi hapa
View attachment 2123586
Naomba mjibu swali langu.Acheni ujinga muda mwingine muwe mnatumia akili kufikiri na sio vinginevyo Fei bado sana ni mchezaji mzuri lkn hajafika levo ya Chama
Kufeli Morocco sio kigezo cha yeye kuwa mbaya ila kitendo cha kutakiwa na club kubwa inaonyesha uwezo wake...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2124396
Mkuu,hiyo ni timu ya daraja la ngapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Feisal ni mchezaji wa utopolo pekee, yule hata APR ya Rwanda hawezi kusajiliwa[emoji1787]Chama ni mchezaji ambaye hawezi kucheza timu yoyote ile duniani zaidi ya Simba. Mafanikio yeke huwa yapo Simba kwengine kote zero. Huwezi kufananisha mzee na kijana,Huwezi kumfananisha Mtu aliyefeli na ambaye hajafeli
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unabdaili mjadala badala ya kuwa takwim sasa tunajadili umri au sioNaomba mjibu swali langu
Tajeni hapa umri wa Chama na wa Fei Toto? Kisha tuendelee na mjadala
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kaishiwa . Nadhani ni ndiye yule roporopoKwa hiyo unabdaili mjadala badala ya kuwa takwim sasa tunajadili umri au sio
Na alishindwa Nini kuwahamishia huko hao watoto wake? Je angesajiliwa na PSG angerudi bongo.. hawa makolo bure kabisa.Hizi hoja sijui huwa mnaziokota wapi, Chama alisajiliwa Simba kwenda Morocco kucheza mpira. Kila siku alikuwa bench,na ni wazi alishindwa kuonesha kama ana kiwango sahihi cha soka la kimataifa. Kuhusu watoto hizo ni hoja za kujitetea tu.
Makolo yana utetezi wa kijinga sanaNa alishindwa Nini kuwahamishia huko hao watoto wake? Je angesajiliwa na PSG angerudi bongo.. hawa makolo bure kabisa.