Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Jamaa alikuwa Chelsea kumbeHata De Bruyne wa Chelsea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa Chelsea kumbeHata De Bruyne wa Chelsea
Fei amewahi kucheza wapi nje ya nchi?Mkuu. .....yaan unamfananisha chama ...aliefeli mpira wa moroco ......na kiungo fundi FEI
"Kule Yanga mwenye akili ni Baba yangu MZee Sunday Manara na Mzee Jakaya Kikwete basi,walioabaki wote hawana akili" By Msemaji wa Yanga Haji ManaraNyie ndio maana Rage aliwaita mbumbumbu. Hapo Morocco tu palimtoa kamasi, Chama ni Mwaikimba aliyechangamka.
Hizi hoja sijui huwa mnaziokota wapi, Chama alisajiliwa Simba kwenda Morocco kucheza mpira. Kila siku alikuwa bench,na ni wazi alishindwa kuonesha kama ana kiwango sahihi cha soka la kimataifa. Kuhusu watoto hizo ni hoja za kujitetea tu.Ieleweke kwamba: Chama hajafeli Morocco, hali ya mazingira na sababu kuu nyingine ni watoto wake, maana wanasoma hapa Tanzania, mazingira yalimshinda na hivyo kuamua kuja kuwa karibu na watoto wake ambao mara nyingi walikuwa wakimsumbua aje kuwa nao.
Chanzo ni Triple C mwenyewe.
My comment; hakuna kiungo yeyote kwa ukanda huu wa CECAFA anayeweza kumfikia Clatous Chota Chama.
Yanga hawana kiungo yoyote ( attacking midfielder) wa kumkaribia Chama.
Chama ni genius wa football.
Over!!
Tofautisha hawa watu, Rage aliyasema hayo akiwa kama kiongozi wa Simba, akiwaasa Simba wenzake wawe na akili. Manara aliyasema hayo akiwa msemaji wa Simba kwenda timu pinzani, na ukizingatia ulopo lopo aliokuwa nao akiwa Simba, huwezi shangaa kauli hiyo."Kule Yanga mwenye akili ni Baba yangu MZee Sunday Manara na Mzee Jakaya Kikwete basi,walioabaki wote hawana akili" By Msemaji wa Yanga Haji Manara
Basi tufanye zawadi mauya ni bora kuliko Chama ili ukenue magego hayo yenye mboga za majani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi hoja sijui huwa mnaziokota wapi, Chama alisajiliwa Simba kwenda Morocco kucheza mpira. Kila siku alikuwa bench,na ni wazi alishindwa kuonesha kama ana kiwango sahihi cha soka la kimataifa. Kuhusu watoto hizo ni hoja za kujitetea tu.
Mboga za majani ni chakula mujarab kabisa, na tuseme Chama ni bora duniani ili uweze kuchanua kishundu vizuri.Basi tufanye zawadi mauya ni bora kuliko Chama ili ukenue magego hayo yenye mboga za majani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uspaniki mtani, utani tu huo mkuu[emoji869]Mboga za majani ni chakula mujarab kabisa, na tuseme Chama ni bora duniani ili uweze kuchanua kishundu vizuri.
Kwamba hujui kuwa chama ndiyo kinara wa assist miaka miwili iliyopita, na sasa anaenda kutetea nafasi yake.Assist kwa timu ya Daraja la tatu?
Huyu alie shindwa kucheza hata nusu msimu Morocco?Haya ndio matumizi mabaya ya uhuru yaani mtu kabisa anamfananisha Chama na mchezaji mwengne wa Ligi hii NBC premier league?
Sio Fei tu bali ni ligi nzima hii na ligi jirani ukanda huu wote wa Cecafa hakuna mchezaji anayekaribia uwezo wa Chama Triple C
...👊👊👊...Acheni ujinga, fei toto ni mchezaji mzuri ila hajafikia level ya kumfananisha na chama.
Najua inaumiza lakini ndiyo hivyo tena,kule Yanga wote hamna akili isipokuwa watu wawili tu😂Tofautisha hawa watu, Rage aliyasema hayo akiwa kama kiongozi wa Simba, akiwaasa Simba wenzake wawe na akili. Manara aliyasema hayo akiwa msemaji wa Simba kwenda timu pinzani, na ukizingatia ulopo lopo aliokuwa nao akiwa Simba, huwezi shangaa kauli hiyo.