Takwimu za Prince Dube striker mpya wa Yanga

Takwimu za Prince Dube striker mpya wa Yanga

Mhsasibu anatukosea sana
Hatujakuzoea hivyo
Hasibu linaenda kwa step.

Limeckoka kuandamwa.

Anaandika kijanja sana.

Upande mmoja anaponda upande mwingine anasifia hili ngoma iki back fire apate cha kujitetea.
 
View attachment 3035762
Prince Dube, muuaji anayetabasamu katika misimu minne aliyokuwa akiitumikia Azam FC alifanikiwa kufunga magoli 34 ndani ya Ligi Kuu ๐Ÿ‡น
๐Ÿ—“๏ธ 04 Misimu
โšฝ๏ธ 34 Mabao

Mwana Mfalme ni mali ya Wananchi

My Take
Dube kapendeza sana jezi ya Yanga
Huu usajili ni hasara au sio hasara?
 
Bila kusahau Mangungu FC walipeleka offer kumtaka mfalume wa majeruhi
1720366580974.jpg

Mfalme ๐Ÿ‘‘ majeruhi atua jangwani .
 
Ficha upumbavu basi, kwani hapa mada ni nini au kuna mashindano? Kama huna cha kuchangia kausha
I guess wewe ndio mpumbavu kutokana na post zako za kipumbavu thus y baadae unaonekana kituko kwenye thread zako mwenyewe,usingekua mpumbavu ungeona aibu kwa yaliyokutokea on the past,ila kwa vile ni mpumbavu huwezi kuuona upumbavu wako
Screenshot_20240707_133824_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom